Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine huwa ni maradhi kuna mpwa wangu hiyo hali ilimsumbua mpaka form six babu yake akamtafutia dawa za kienyeji ndio kupona. Mpaka leo yuko powa,mwingine ni mshikaji nae amepona hivi ukubwani kwa dawa za kienyejimi nimesoma na mtu five na six moshi tech alikuwa anajikojolea mpaka tunamaliza shule
Babu[emoji137] [emoji137] miss uWe jamaa umenichekesha sana mamamamae...
Nimekumbuka mbali sana mkuu, kitu kilichonifanya niache kukojoa kitandani ni jioni tumetoka kwenye tohara usiku wake nikajikojolea, aisee kwa yale maumivu hakuna rangi niliacha kuona[emoji23][emoji23][emoji23]Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
I love you too Jovie...Babu[emoji137] [emoji137] miss u
Hivi wewe unazungumzia mkojo upi?Mi sikuwahi kukojoa kitandani nikiwa mdg, ila juzi na ukubwa huu nilikojoaa kitndani
Huoni aibu.Nilikojoa kitandani mpaka darasa la sita, zilitumika kila njia ili niache haikusaidia, siku mama aliponiambia kesho ukikojoa nakupeleka hospitali ndio siku ambayo niliacha.
Nakuona ujue... Sio kwa kojo lile mdogo wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana jaman sitaki hata kukumbuka aisee kikojozi hakijawahi muacha mtoto salama eti sasa hivi tumekuwa wahenga yaan me mtoto wangu simchapi jaman akijikojolea usiku
Eti samaki[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] ndio manini tena haya we na babu yako mnawekeana
Aibu ya nini? Unadhani hiyo hali watu wanaipenda au wanafanya makusudi?Huoni aibu.
Huoni aibu kujitangaza kikojozi?Aibu ya nini? Unadhani hiyo hali watu wanaipenda au wanafanya makusudi?