Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Good girl...Hata mimi najishangaa. Naacha kuanzia leo. Sometimes vitoto vinakera mno natamani kuvizaba vibao lkn ndo hivyo mkono mfupi haufiki huko
Babu yako nipo achana na watoto hao...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good girl...Hata mimi najishangaa. Naacha kuanzia leo. Sometimes vitoto vinakera mno natamani kuvizaba vibao lkn ndo hivyo mkono mfupi haufiki huko
Haya babuGood girl...
Babu yako nipo achana na watoto hao...
Ha haa ulikua unamuonea dogo aiseha haha me nilikuwa nakojoa mara moja moja halafu namchukua mdogo wangu alikuwa analala sana namsukumizia kwenye mikojo yangu..akiamka analia mama anampiga ila akirudi ananidunda ,,.. tatizo lingine mimi siyo muongeaji kujitetea sana siwezi na kumpiga siwezi ila dawa yake nilikuwa nasubiria niharibu nimsogeze na sijawahi kukamatwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi wa kwangu aliacha na miezi sita.
Nimekumiss mume wangu[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hata sijaelewa
Mpwa nakusalimia huko kuliko ma ofisi kubwa!
mimi pia mpenzi, nakuja na kuku hai kabisa tumle kisha nasi tulane kwa raha zetu
Yes najua, sasa sijui mmeanzia wapi labda nirudi nyuma nisome commentsunajua maana ya bazazi?
Hesabuuuuu ni nzuri sana weeeeee.... siwezi kukumbukaaaa, ,mwalimu nifundisheeee.....Huyo kuku tangu useme waja nae ni mwaka sasa umepita, aje na vifaranga vyake wote.
Eee mwalimu nifundisheee...Hesabuuuuu ni nzuri sana weeeeee.... siwezi kukumbukaaaa, ,mwalimu nifundisheeee.....
Mabata maodoodogo yanaogeleeea... katika shamba zuuuri la bustaniiiii....Eee mwalimu nifundisheee...