Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Hata mimi najishangaa. Naacha kuanzia leo. Sometimes vitoto vinakera mno natamani kuvizaba vibao lkn ndo hivyo mkono mfupi haufiki huko
Good girl...

Babu yako nipo achana na watoto hao...
 
ha haha me nilikuwa nakojoa mara moja moja halafu namchukua mdogo wangu alikuwa analala sana namsukumizia kwenye mikojo yangu..akiamka analia mama anampiga ila akirudi ananidunda ,,.. tatizo lingine mimi siyo muongeaji kujitetea sana siwezi na kumpiga siwezi ila dawa yake nilikuwa nasubiria niharibu nimsogeze na sijawahi kukamatwa
Ha haa ulikua unamuonea dogo aise
 
Back
Top Bottom