Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Hahaha hatari huyu kuku[emoji2] [emoji2]Huyo kuku tangu useme waja nae ni mwaka sasa umepita, aje na vifaranga vyake wote.
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hatari huyu kuku[emoji2] [emoji2]Huyo kuku tangu useme waja nae ni mwaka sasa umepita, aje na vifaranga vyake wote.
We mwite ite babu tu utajua kwa nini....[emoji13]Yes najua, sasa sijui mmeanzia wapi labda nirudi nyuma nisome comments
Na mikia juu juu walia kwee kweeeee!Mabata maodoodogo yanaogeleeea... katika shamba zuuuri la bustaniiiii....
Yanaanza kulia kokokokokooo....
Alafu kuna kitu nimekumbuka, ngoja naja kule.
Njoo mama na baridi hii mswanu kabisaAlafu kuna kitu nimekumbuka, ngoja naja kule.
Mababu wapo sweetWe mwite ite babu tu utajua kwa nini....[emoji13]
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Ila kuku sijasahau, yaani usije ukamsahau.
Kikombe alichonipa baba, sitakinywa?Mababu wapo sweet
Hahahaa na vifaranga je..[emoji41] [emoji33] [emoji33]Ila kuku sijasahau, yaani usije ukamsahau.
Teh...Kikombe alichonipa baba, sitakinywa?
Hii inawekwa kwenye kumbukumbu la torati...
Ndio aje na uzao wake wote.Hahahaa na vifaranga je..[emoji41] [emoji33] [emoji33]
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Dooh nimemkumbuka babu jamani, May his gentle soul continue to rest in perfect peaceNimekojoa sana sitaki.hata kujiwazia kuna kipindi hadi kuingia kulala naogopa basi natafuta nguo nazikusanya naziweka eneo la godoro nyingii ili nikikojoa nguo ndio zilowe na sio godoro, nikibahatika kuamka usiku napelek mkono kwenye godoro taratibu nijue kama nimeharibu
Nakuta sijaharibu, sasa kosa nikilala tena uhiii asubuhi mkojo mtupu.kwenye nguo, kuamka nashindwa naendaje kufua, uzuri mmoja nilikwa sipigwi nikikojoa ila kugombwa sasa uhiii nalia mapema,
Nilikuwa nasal sala zote nisikamatwe hapo.
Natoaje godoro nje kimbembe,
Siku nyingine nakojoa naenda shule lakin huko shule hapakaliki nawaza home lile godoro bibi akiingia si balaa, na bibi yangu kupiga alikuwa anajua haswAa sema alikuwa anamuhofia babu,
Utakuta narudi home nakuta godoro nje limeanikwa unajua kuwa na was was wa kusemwa, sasa ubaya wa bibi yangu ni mtu.wa kuweka vitu ndani siku ukifanya kosa tu ataunganisha yoote hadi kukojoa hasem ila nikawa naelewa tu.
Kwetu tulikuwa tuna utaratibu mnakula mapema baada ya muda mnapiga magoti mmoja anasali.
Na mimi katika sala zangu zote nilikuwa namwambia Mungu nisaidie niache kukojoa na mimi hata.kwa siku 100, siku 1000, yan nilikuwa nasema kwa miaka 100, miaka 1000 ,nisikojoe Mungu nisaidie nilikuwa mdogo hii ilikuwa std 2 had 3
It was serious bsnes prayer to my God. Nilikuwa naona aibu mnoo katoto kazuri halafu nakojoa too bad nimekojoa muda mrefu had la 4, huku la 4 ilikuwa naweza kaa hata miez 6 sikojoi mwanzoni. Jmn kukojoa ni aibuu ah ah ah sitak kuwaza mimi utoto
Basi utakuta watoto wengine wanasema ukiangalia mwez usiku unakojoa, ukihesabu nyota unakojoa,
Sasa mm ikifika usiku sithubutuu kuangalia juu. Kuogopa kulowanisha godoro
Nimekunywa maji.ya mchele mimi.aha ah ah uhii, bibi yangu alikuwa ananiambia kunywa ili usikojoe , na kwel siku ninayo kunywa sikojoi,
Naambiwa na dada yetu wa ndani panda juu ya mti ukojoe mimi huyo mtoto.wa kike paramia mti nakojoa juu ya mti ah ah naandika huku nacheka hapa.
Vuta picha mchana kweupe upande kwenye mti ukojoe jmn uhii acheni ile karaha.
Na hapi ukinikuta nimeogoa vzr sinuk hata mkojo utajua kama mm kikojozi
Ingiaa room sasa uhii harufu kali ajabu.
Acheni hili suala watu wametoka mbali
Hapo enz hizo baba yangu alikuwa anasafiri tu, akija kwa mama yake hapo utasikia yan sisafir na wew utanitia aibu bure kukojoa kwako roho inaniuma bas naachwa home kisa nakojoa
Kali sasa siku mchana kweupeee nimelala si nikakojoa, wee baba yangu mdogo kaja wrwe kwanini umekojoa? Kashika fimbo nililiaa nikasema nimeotaaa mama kafa ndio maana nikakojoa
Jamn baba yangu mdogo alichekaa fimbo.alitupa akasema aisee hii lazima nikaiandike ktk diary yangu
Kumbe mwenzio niliota nakojoa nikaliachia kitandani uhiii.
Amen,Yaan acha tu umaridad unaficha vingii, nilikuwa napata tabuu nikikojoa siku a ah achen hiz mambo nzur kusimulia ukipita sio kwa wakati huo ambao ndio unapata shidaDooh nimemkumbuka babu jamani, May his gentle soul continue to rest in perfect peace
Kwa kweli sijategemea kama ulikuwa kikojozi na usafi wote ule. I can imagine bibi akikugombeza maana tulikuwa tunamuogopa mweeh
Nimecheka hapo pa kudanganya eti uliota mama amekufa hahhahaha