Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Nimekojoa sana sitaki.hata kujiwazia kuna kipindi hadi kuingia kulala naogopa basi natafuta nguo nazikusanya naziweka eneo la godoro nyingii ili nikikojoa nguo ndio zilowe na sio godoro, nikibahatika kuamka usiku napelek mkono kwenye godoro taratibu nijue kama nimeharibu
Nakuta sijaharibu, sasa kosa nikilala tena uhiii asubuhi mkojo mtupu.kwenye nguo, kuamka nashindwa naendaje kufua, uzuri mmoja nilikwa sipigwi nikikojoa ila kugombwa sasa uhiii nalia mapema,
Nilikuwa nasal sala zote nisikamatwe hapo.
Natoaje godoro nje kimbembe,
Siku nyingine nakojoa naenda shule lakin huko shule hapakaliki nawaza home lile godoro bibi akiingia si balaa, na bibi yangu kupiga alikuwa anajua haswAa sema alikuwa anamuhofia babu,

Utakuta narudi home nakuta godoro nje limeanikwa unajua kuwa na was was wa kusemwa, sasa ubaya wa bibi yangu ni mtu.wa kuweka vitu ndani siku ukifanya kosa tu ataunganisha yoote hadi kukojoa hasem ila nikawa naelewa tu.
Kwetu tulikuwa tuna utaratibu mnakula mapema baada ya muda mnapiga magoti mmoja anasali.
Na mimi katika sala zangu zote nilikuwa namwambia Mungu nisaidie niache kukojoa na mimi hata.kwa siku 100, siku 1000, yan nilikuwa nasema kwa miaka 100, miaka 1000 ,nisikojoe Mungu nisaidie nilikuwa mdogo hii ilikuwa std 2 had 3
It was serious bsnes prayer to my God. Nilikuwa naona aibu mnoo katoto kazuri halafu nakojoa too bad nimekojoa muda mrefu had la 4, huku la 4 ilikuwa naweza kaa hata miez 6 sikojoi mwanzoni. Jmn kukojoa ni aibuu ah ah ah sitak kuwaza mimi utoto

Basi utakuta watoto wengine wanasema ukiangalia mwez usiku unakojoa, ukihesabu nyota unakojoa,
Sasa mm ikifika usiku sithubutuu kuangalia juu. Kuogopa kulowanisha godoro

Nimekunywa maji.ya mchele mimi.aha ah ah uhii, bibi yangu alikuwa ananiambia kunywa ili usikojoe , na kwel siku ninayo kunywa sikojoi,

Naambiwa na dada yetu wa ndani panda juu ya mti ukojoe mimi huyo mtoto.wa kike paramia mti nakojoa juu ya mti ah ah naandika huku nacheka hapa.

Vuta picha mchana kweupe upande kwenye mti ukojoe jmn uhii acheni ile karaha.
Na hapi ukinikuta nimeogoa vzr sinuk hata mkojo utajua kama mm kikojozi

Ingiaa room sasa uhii harufu kali ajabu.
Acheni hili suala watu wametoka mbali

Hapo enz hizo baba yangu alikuwa anasafiri tu, akija kwa mama yake hapo utasikia yan sisafir na wew utanitia aibu bure kukojoa kwako roho inaniuma bas naachwa home kisa nakojoa
Kali sasa siku mchana kweupeee nimelala si nikakojoa, wee baba yangu mdogo kaja wrwe kwanini umekojoa? Kashika fimbo nililiaa nikasema nimeotaaa mama kafa ndio maana nikakojoa
Jamn baba yangu mdogo alichekaa fimbo.alitupa akasema aisee hii lazima nikaiandike ktk diary yangu
Kumbe mwenzio niliota nakojoa nikaliachia kitandani uhiii.
 
Nimekojoa sana sitaki.hata kujiwazia kuna kipindi hadi kuingia kulala naogopa basi natafuta nguo nazikusanya naziweka eneo la godoro nyingii ili nikikojoa nguo ndio zilowe na sio godoro, nikibahatika kuamka usiku napelek mkono kwenye godoro taratibu nijue kama nimeharibu
Nakuta sijaharibu, sasa kosa nikilala tena uhiii asubuhi mkojo mtupu.kwenye nguo, kuamka nashindwa naendaje kufua, uzuri mmoja nilikwa sipigwi nikikojoa ila kugombwa sasa uhiii nalia mapema,
Nilikuwa nasal sala zote nisikamatwe hapo.
Natoaje godoro nje kimbembe,
Siku nyingine nakojoa naenda shule lakin huko shule hapakaliki nawaza home lile godoro bibi akiingia si balaa, na bibi yangu kupiga alikuwa anajua haswAa sema alikuwa anamuhofia babu,

Utakuta narudi home nakuta godoro nje limeanikwa unajua kuwa na was was wa kusemwa, sasa ubaya wa bibi yangu ni mtu.wa kuweka vitu ndani siku ukifanya kosa tu ataunganisha yoote hadi kukojoa hasem ila nikawa naelewa tu.
Kwetu tulikuwa tuna utaratibu mnakula mapema baada ya muda mnapiga magoti mmoja anasali.
Na mimi katika sala zangu zote nilikuwa namwambia Mungu nisaidie niache kukojoa na mimi hata.kwa siku 100, siku 1000, yan nilikuwa nasema kwa miaka 100, miaka 1000 ,nisikojoe Mungu nisaidie nilikuwa mdogo hii ilikuwa std 2 had 3
It was serious bsnes prayer to my God. Nilikuwa naona aibu mnoo katoto kazuri halafu nakojoa too bad nimekojoa muda mrefu had la 4, huku la 4 ilikuwa naweza kaa hata miez 6 sikojoi mwanzoni. Jmn kukojoa ni aibuu ah ah ah sitak kuwaza mimi utoto

Basi utakuta watoto wengine wanasema ukiangalia mwez usiku unakojoa, ukihesabu nyota unakojoa,
Sasa mm ikifika usiku sithubutuu kuangalia juu. Kuogopa kulowanisha godoro

Nimekunywa maji.ya mchele mimi.aha ah ah uhii, bibi yangu alikuwa ananiambia kunywa ili usikojoe , na kwel siku ninayo kunywa sikojoi,

Naambiwa na dada yetu wa ndani panda juu ya mti ukojoe mimi huyo mtoto.wa kike paramia mti nakojoa juu ya mti ah ah naandika huku nacheka hapa.

Vuta picha mchana kweupe upande kwenye mti ukojoe jmn uhii acheni ile karaha.
Na hapi ukinikuta nimeogoa vzr sinuk hata mkojo utajua kama mm kikojozi

Ingiaa room sasa uhii harufu kali ajabu.
Acheni hili suala watu wametoka mbali

Hapo enz hizo baba yangu alikuwa anasafiri tu, akija kwa mama yake hapo utasikia yan sisafir na wew utanitia aibu bure kukojoa kwako roho inaniuma bas naachwa home kisa nakojoa
Kali sasa siku mchana kweupeee nimelala si nikakojoa, wee baba yangu mdogo kaja wrwe kwanini umekojoa? Kashika fimbo nililiaa nikasema nimeotaaa mama kafa ndio maana nikakojoa
Jamn baba yangu mdogo alichekaa fimbo.alitupa akasema aisee hii lazima nikaiandike ktk diary yangu
Kumbe mwenzio niliota nakojoa nikaliachia kitandani uhiii.
Dooh nimemkumbuka babu jamani, May his gentle soul continue to rest in perfect peace

Kwa kweli sijategemea kama ulikuwa kikojozi na usafi wote ule. I can imagine bibi akikugombeza maana tulikuwa tunamuogopa mweeh

Nimecheka hapo pa kudanganya eti uliota mama amekufa hahhahaha
 
Nlikua nikijikojole naamka usiku godoro naligeuza juu chini bi mkubwa asilione., viboko vilinifanya nibuni njia mbadala... Simple [emoji4] [emoji4] [emoji1]

Ila godoro langu lilikua lina ramani za dunia nzima, kuanzia barani ulaya, asia mpaka africa... Kila nchi na mikoa yake, mpaka vijiji...
 
Dooh nimemkumbuka babu jamani, May his gentle soul continue to rest in perfect peace

Kwa kweli sijategemea kama ulikuwa kikojozi na usafi wote ule. I can imagine bibi akikugombeza maana tulikuwa tunamuogopa mweeh

Nimecheka hapo pa kudanganya eti uliota mama amekufa hahhahaha
Amen,Yaan acha tu umaridad unaficha vingii, nilikuwa napata tabuu nikikojoa siku a ah achen hiz mambo nzur kusimulia ukipita sio kwa wakati huo ambao ndio unapata shida
Bibi alikuwa mkax yan babu alinisaidia kuniteteea lasivyo ningechezea fimbo za mkojo kila siku.
Huo usafi ilibid tu niwe baba aliniambia yan ukipita karibu yangu kama mchafu hata salam usinipe sina mtoto mchafu mimi, yaan upite mbali kabisa, sasa hata nikikojoa usiku asubuh nahakikisha naoga nguo zangu safi nimenyoosha hata nikipita kazin kwake na hiv nina sura ya baba aa ananitambulisha bint yangu huyu jmn na hela ya shule napata, hivi hiv ah ah alijua ule mkojo ungemuaibisha siku naenda msalimia na kaharufu cha mkojo halafu mzee yupo very smart akaona hii aibu hii
 
Back
Top Bottom