FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Ha haaaaa hapana mzee never againLitarudi tena hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaaaa hapana mzee never againLitarudi tena hilo
ni noma sanaAh ah ah na wewe pia, hii hali haijamuacha mtu salama
Mkuu umeadimika sanani noma sana
Ah ah ah ah ah poleHili kitu nimelimwaga aisee.Lilikata std 5 eebana naanza form one likarudi walah niliteseka ule mwaka.Niliomba Mungu juu chini.ila baadae ikakata ndio ikawa mwisho wa fedheha ile.
Ila watu waliokojoa sana wengi ni smart sana kwa akili za darasani.tunahitaji research hapa.
Asante aisee.usiombe hii kitu.Ah ah ah ah ah pole
Mchape hase maana wengine hufanya makusudiKwakweli sijui kuna mahusiano gani kati ya kukojoa kitandani na kuota, lazima tu uote alafu ndoto yake mkojo haukatiki alafu rahaa kukojoa.
Siwezi kumchapa mwanangu kwasababu ya kukojoa kitandani aisee.
Kumbe nyie ni nduguDooh nimemkumbuka babu jamani, May his gentle soul continue to rest in perfect peace
Kwa kweli sijategemea kama ulikuwa kikojozi na usafi wote ule. I can imagine bibi akikugombeza maana tulikuwa tunamuogopa mweeh
Nimecheka hapo pa kudanganya eti uliota mama amekufa hahhahaha
Nimepitia naelewa vzrAsante aisee.usiombe hii kitu.
Raha ya ngozi unageuzia upande wa pili uzingizi unaendelea ila godoro ukiharibu ni mwisho wa usingiziMimi mwenyewe hapa niko hoi nikifikiria, nimebaki kucheka za wengine wanaopiga magodoro pasi kuzima msala.
Ngozi ni zaidi ya mwavuli, unajikuta uko swimming pool huna la kusema.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Raha ya ngozi unageuzia upande wa pili uzingizi unaendelea ila godoro ukiharibu ni mwisho wa usingizi
Ah ah ah ahKitanda changu kilikuwa bandari ya nchi kavu deile naelea
Asalalee!
kweli mkuu nimerejeaMkuu umeadimika sana
Haaaaaa mkuu karibu sanaaaa tumekumis sana jamvinikweli mkuu nimerejea
shukrani boss wanguHaaaaaa mkuu karibu sanaaaa tumekumis sana jamvini
Duh nakumbuka mara ya kwnza kukojoa kitandani nikiwa najitambua ilikua nipo darasa la nne, niliota tumeenda kucheza chandim sasa kabla mechi kuanza nikawaambia jamaa wanisubirie nitoe chururu basi nikaenda pembeni ya goli nkaanza kukojoa duh yani nlikua najiskia raha ajabu afu kojo haliishi yani kama robo saa hv minakojoa mdogo mdogo yani mpaka watuwazima wanapita mi nawasalimia huku nakojoa uleutamu haukua wakawaida ghafla nikanza kuhisi joto lenyeunyevu hapo ndipo nlipo gundua ulikua mtego na maumivu ya kibofu yalikua makali kiasi chakukatisha usingizi, ikabidi nitoke kwenye ndoto fasta nikawahi toi then nikachange nguo nikachukua na nguo chafu nikagandamizia pale palipo lowa bahati nzuri palikua hapajaloa sana sasa kazi asubuhi ikiwa kulinda lileeneo madogo wasijue kama bro niliharibu mambo usiku # good old days
Sijaelewa maana ya "upenuni" na "chandim"...Duh nakumbuka mara ya kwnza kukojoa kitandani nikiwa najitambua ilikua nipo darasa la nne, niliota tumeenda kucheza chandim sasa kabla mechi kuanza nikawaambia jamaa wanisubirie nitoe chururu basi nikaenda pembeni ya goli nkaanza kukojoa duh yani nlikua najiskia raha ajabu afu kojo haliishi yani kama robo saa hv minakojoa mdogo mdogo yani mpaka watuwazima wanapita mi nawasalimia huku nakojoa uleutamu haukua wakawaida ghafla nikanza kuhisi joto lenyeunyevu hapo ndipo nlipo gundua ulikua mtego na maumivu ya kibofu yalikua makali kiasi chakukatisha usingizi, ikabidi nitoke kwenye ndoto fasta nikawahi toi then nikachange nguo nikachukua na nguo chafu nikagandamizia pale palipo lowa bahati nzuri palikua hapajaloa sana sasa kazi asubuhi ikiwa kulinda lileeneo madogo wasijue kama bro niliharibu mambo usiku # good old days