Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Kwani Kuna sehemu nimetaja pure mathematics? Au una red eyes na wewNi Advanced mathematics siyo pure mathematics
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kuna sehemu nimetaja pure mathematics? Au una red eyes na wewNi Advanced mathematics siyo pure mathematics
Kongole mkuu, maisha ni fumbo! Kuna kitu Mungu alishakuandalia.Imagine natoka kibaha nakuja kupiga kipindi mchikichini kwa mudi physics (rip) ticha
Nilipiga division 4 o level lkn leo mimi ndo yule ambae matangazo yote ya mpira kutoka azam tv hayaendi hewani bila mimi kuhusika kwa asilimia 95%.
Sent from Tesla device phone
Huyo alisoma na akajiamini sanaaaa!! Nahisi hivyoAdvance unaenda unafundishwa na mtu lakini mwisho wa siku unakuja kumzidi kila kitu..
Kuna mwanangu alinipiga msasa Mechanics topics zote lakini akaja kuishia kupata three ya mwishoni..iliniuma sana hii.
Kwahiyo vijana wasiogope
Ni changamoto sanaa kwa kweli!!Wengi waliopiga One form six miaka ya 2010 kurudi nyuma wana maisha safi... wengi wapo vitengo vizuri wanakula mema ya nchi. Darasa nililomaliza nalo chuo kwa kozi niliyokuwa ninasoma nadhani zaidi ya 35% wako TRA. Tulikuwa kama 40 tu kwenye kozi yetu. Hawa vijana wa sasa wanafanya vizuri sana kitaaluma kwenye CSEE na ACSEE ila watakumbana na changamoto kubwa sana hata kupata sehemu ya field. Huko tuendako watu watakuwa na ONE kali za f4 na f6 huku wakiwa hawana kazi au wanafanya kazi za kuzuia tu msiba. Maendeleo huja na changamoto.
Mwamba anasoma qur an mwalimu anafundisha ukija mtihani ana bandaKuna mwenzake alikuwa anaitwa Jamal Juma Babu, huyu jamaa alikuwa kiboko😂
Mkuu hawa madogo wa sasa hivi ukiwakunjia zile za kizamani utaongeza tu boda boda mtaani, zamani zile pepa wale wazee waliokuwa wanazitunga walikuwa wana hatari sana.Sa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
Ulivyo na kichwa kibovu ni Bora hukuenda tuu maana ungepoteza miaka Yako 2 uanze Tena certificate 🤣🤣🤣🤣🤣Sijaona sababu ya msingi ya kwenda advance mpaka sasa
HahahahahaKuna dogo alikua nyuma yetu mwaka mmoja walikua wanamuita CNN, kuja kuulizia kwanini naambiwa jamaa anapumzika mchana, usiku hajawahi kulala 😃
Elimu ya bongo ndio inanishangaza hapo tu na ma t.o wengi huwa wanaishia kuwa walimu😀😀😀Nikajua atakuwa Harvard, oxford, Cambridge anafundisha au kaajiriwa TESLA , google na makampuni makubwa ila kaishia UDSM ,duu basi hatari sana
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mkuu hii michezo ipo sana advance ,ndio maana scientist wengi kibongo bongo hawawezi kuwa inventive,maana kiukweli hawajazoea kushika vifaa,kufanya setup na kupata majibu ,kitu ambacho dunia ya sayansi ndio inataka sasaPractical za physics aisee nilikua nazifoji mpaka sio poa
Pugu nayo ni special school?Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6
Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....
Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja
Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)
Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6
Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.
Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Ndo vi2 sipendi, nika jua kawa CEO fulaniMtanzania pekee aliyekuwa T.O O-level na Advanced level ni Martin Chegere,Akaenda mlimani akawa best student,masters akaongoza,PhD Sweeden pia akaongoza!
now yuko Udm anapiga madogo pindi.
Yaani ndo ki2 siki pendi, una ishia kuwa normal tu aisee.Nikajua atakuwa Harvard, oxford, Cambridge anafundisha au kaajiriwa TESLA , google na makampuni makubwa ila kaishia UDSM ,duu basi hatari sana
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Life in JF 🤣Nafurahi kugundua kuwa nakujua na vile ulisema wewe ni ngumi mkononi basi mpaka hapa wewe mimi nakujua vilivyo ndugu yangu .
Mwenzio mbali na kurukaruka ila nilienda Muhimbili na badae huko nje vipi mwanangu ulitobolea wapi mzee baba ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Bidii yake imemzalia matundaKuna watu walienda shule kusomea kijiji...yani kuna dada namkumbuka alikua anasoma mpk akapinda mgongo kila ukikutana nae yuko speed..kula anakula kama anafukuzwa awahi kusoma..siku hizi ni daktari wa macho...
Mkuu hiyo Tesla device phone ime toka lini 😄😂😂🤣.Imagine natoka kibaha nakuja kupiga kipindi mchikichini kwa mudi physics (rip) ticha
Nilipiga division 4 o level lkn leo mimi ndo yule ambae matangazo yote ya mpira kutoka azam tv hayaendi hewani bila mimi kuhusika kwa asilimia 95%.
Sent from Tesla device phone