Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Kongole mkuu, maisha ni fumbo! Kuna kitu Mungu alishakuandalia.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Advance unaenda unafundishwa na mtu lakini mwisho wa siku unakuja kumzidi kila kitu..

Kuna mwanangu alinipiga msasa Mechanics topics zote lakini akaja kuishia kupata three ya mwishoni..iliniuma sana hii.

Kwahiyo vijana wasiogope
Huyo alisoma na akajiamini sanaaaa!! Nahisi hivyo

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Ni changamoto sanaa kwa kweli!!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Nikajua atakuwa Harvard, oxford, Cambridge anafundisha au kaajiriwa TESLA , google na makampuni makubwa ila kaishia UDSM ,duu basi hatari sana

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Elimu ya bongo ndio inanishangaza hapo tu na ma t.o wengi huwa wanaishia kuwa walimuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Practical za physics aisee nilikua nazifoji mpaka sio poa
Mkuu hii michezo ipo sana advance ,ndio maana scientist wengi kibongo bongo hawawezi kuwa inventive,maana kiukweli hawajazoea kushika vifaa,kufanya setup na kupata majibu ,kitu ambacho dunia ya sayansi ndio inataka sasa
Mtu kamaliza PCM ana vibanda vya kutosha ,lakini anaogopa sakiti za umeme wa majumbani,bila kishoka hatoboi

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Pugu nayo ni special school?
 
Kuna watu walienda shule kusomea kijiji...yani kuna dada namkumbuka alikua anasoma mpk akapinda mgongo kila ukikutana nae yuko speed..kula anakula kama anafukuzwa awahi kusoma..siku hizi ni daktari wa macho...
Bidii yake imemzalia matunda
 
... huko ndipo hasa pa kuenda! ... we ukienda kuwa wa kwanza miongoni mwa super-vilaza si unataka kuambulia zero ya form six!!!1?
πŸ˜…
 
Mkuu hiyo Tesla device phone ime toka lini πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…