hapa tu shule ya serikali yakawaid tu ina one 80Ila siku hizi division one zimekuwa mchelemchele, yaani shule za kawaida tu wanatoa 1.7 nne , tatu daaah!
mimi wakati naripoti 4m five nilikutana na the same issue but ki ukweli maisha haya ni kuomba sana wakati unapambana .Unaweza kuwa best darasani but ukaja kupata kazi ya kawaida sanaHizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6
Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....
Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja
Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)
Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6
Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.
Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Hehehehe sahihi kbsaNikikujibu hili swali Kuna wafungua code wanaweza kunyaka I'd yangu chief
Útakuta mtu amemeza Lambert na Abbott zote.Nimesoma special school ila niwe mkweli kule kuna upuuzi sana. Sio waalimu sio wanafunzi.
Special school za sasa ndio chanzo cha kukosa wataalam wabobevu, watu wapo smart sawa lkn wanatumia uwezo wao kufanya mambo ambayo hayana tija yyt ile kwa future yao na jamii zao. Ni kama ulivosema huyo engineer, na kibaya TZ hawathamini wasomi. Nchi kama India wanathamini sana wasomi wao, na competition iliopo huko ni kama hiihii ya special schools zetu ingawa wao wamewekeza zaidi kwenye mambo muhimu. Tz msomi hauna thamani, huku tunathamini wafanyabiashara tu
Mimi niliwaachia kabisa shule yao, niliamua kuacha shule ila sio kuacha elimu, nikatengeneza syllabus yangu kutokana na ninachotaka kuwa. Now nafanya kazi na watu kutoka nchi kibao, I own companies and I'm creating more.... Sasa ningeendelea kumisuse potential yangu kipuuzi now ningekua nimeajiriwa na kimshahara cha labda 1.5m bado hujaweka makato humo.
Kwa madogo wanaojielewa, Highschool za Tanzania ni upotevu wa muda.
Mtanzania pekee aliyekuwa T.O O-level na Advanced level ni Martin Chegere,Akaenda mlimani akawa best student,masters akaongoza,PhD Sweeden pia akaongoza!Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6
Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....
Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja
Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)
Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6
Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.
Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Nikajua atakuwa Harvard, oxford, Cambridge anafundisha au kaajiriwa TESLA , google na makampuni makubwa ila kaishia UDSM ,duu basi hatari sanaMtanzania pekee aliyekuwa T.O O-level na Advanced level ni Martin Chegere,Akaenda mlimani akawa best student,masters akaongoza,PhD Sweeden pia akaongoza!
now yuko Udm anapiga madogo pindi.
Huyu niliyesoma nae alikua T.0 o level na advance pia... Yaani alivyokuja advance akawa anaitwa T.O nadhani Kuna watu hata jina lake walikua hawalijuiMtanzania pekee aliyekuwa T.O O-level na Advanced level ni Martin Chegere,Akaenda mlimani akawa best student,masters akaongoza,PhD Sweeden pia akaongoza!
now yuko Udm anapiga madogo pindi.
kuongoza kote kaangukia kufundidhaMtanzania pekee aliyekuwa T.O O-level na Advanced level ni Martin Chegere,Akaenda mlimani akawa best student,masters akaongoza,PhD Sweeden pia akaongoza!
now yuko Udm anapiga madogo pindi.
Haha jamaa umenikumbusha jina mmenye..... Vipi ulipita hapo nikupe 1,2,3 za hapo?
Afu usikariri, si mwaka wetu Kuna watu wawili walipata div 4... Sio kwamba special school Kila mtu anatoboa chief
Elimu ya bongo konyo sana, jamaa alikua T.0 hata scholarship hakupata Kila siku tukawa nae tunapigwa vumbi tu kwenye vimbweta vya coetNikajua atakuwa Harvard, oxford, Cambridge etc ,ila Kwa kumbukumbu nilizonazo Martin chegere O'level alipata Div one ya point 10 na hakuwa T.O na alimaliza mwaka 2003 au 2004 o'level
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hehehehehe ,embu piga hesabu top ten wote kuanzia 2000 Hadi Leo 2024 anza kuwafanyia analysis walipo sasa Yani utakuja kuchoka wengine wanamiliki stationary mjini na kupambana na usafiri wa mwendokasiElimu ya bongo konyo sana, jamaa alikua T.0 hata scholarship hakupata Kila siku tukawa nae tunapigwa vumbi tu kwenye vimbweta vya coet
Huyu ukimsimamia ukampeleka technical college atakuwa kuwa mtaalamu mzuri Sana. Usimpeleke A level. Mpeleke DIT, ARUSHA TECH au MBEYA UNIVERSITY au hata DMI akapige Diploma ya Uhandisi miaka 3Msaada kijana wangu ana Phy-D,Bios-CGeog-C,Chem-C na Maths-D napo probably anaangukia Comb gani A level?
Basi umenyeni hapo ndo nimepiga, weekend kwenda mjini ilikua ruksa tulikua tunasikia raha kweli kuvaa vile vi t shirt vya shule... Mi mwenyewe nilikua hustler nimefanya sana deals nyingi shule, ila kunywa Yale maji ya mtoni pale ni kitu kilinishinda... Jioni ikifika Kuna mademu tulikua tunawapigisha tizi kwenye kile kimlima Cha kupanda pitch hukosi hata buku 2 ya kusogeza siku😃😃Ndio lakini sio miaka uliyotaja, nyuma kidogo...
Waliokuwa wanapata ufaulu hafifu ni wale waliokuwa...
1. Waoga kama wewe
2. Mabitozi na wapenda starehe
3. Wasukuma na Wakurya ambao kuja kwao shule za mjini kuliwafanya wajihusishe na shughuli za kuwaingizia kipato (kukusanya ada), mfano hapo umenyeni kulikuwa na jamaa mpiga picha maarufu alikuwa hadi na baiskeli, anakula deal za kupiga picha shule kibao kuanzia Ngateu, Kiding'a, Enaboishu hadi Akeri huko, mwingine alikuwa anapiga deal za kusaga nafaka kwa wamenye kwenye mashine ya shule n.k...
Siku Moja nilienda kibaha kujisomea maana nilikua na mshikaji pale, aisee saa 5 naenda kulala watu wananishangaa, nikasema hii elimu siyo mateso,
Kama huyo tulikuwa na MAZENGO form six ya 2004.Mi nakumbukuka tu kun jamaa alipata form 4 One akaenda PCB akapata Ziro form 6
Mbuzi hizo unakuta zimerudia shule mara kadhaa, tulisoma na watu wa mvi na wengine wana ndevu mpaka kwenye matundu ya pua na masikioUmenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.
Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.
WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Ile pepa ya 2013 ilikuwa balaa... Nimemaliza pugu pcm.... Nakumbuka, ile pepa natoka tu kwa mtihani wa adv math 1... Kichwa kinuma balaaa😂😂Nina washkaji zangu wakali wa mathematics mwaka huo waliondoka na C ,hata ndegeulaya alipiga C ,ule mtihani wa mwaka 2013 ulikuwa wa laana aisee , Tanzania nzima A za advance mathematics zilikuwa 12
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app