Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Hazai ndo maana anaachikaAaahahahahahhaaa
Born to get married...
K Mtambuka maana kila anayeiacha nyuma kuna anayeirukia kwa hamu, maisha haya....
She after divorce and getting half of husband's wealth until she gets rich.
Feel pity for the kids in between the process.... (if at all she is clever enough not to bare kids and plays the saga alone)
Hazai ndo maana anaachika
Habari nzima ya kuchangia harusi imepitwa na wakati.Huyu dada hapa jiarani anaolewa hii ndoa ya tatu.
2013 nilimchangia send-off nikahudhuria na ubwabwa nikala.
2016 akaleta kadi ya mchango, ndio nikastuka oh kumbe aliachika. Nilimchangia tena.
2020 jana kanipa kadi ya mchango wa send-off, nikamtania "ah we kila siku unaolewa wewe tu, sasa tunakuagia nini kama kila siku unarudi kwenu", khe jamani kaniporomoshea matusi hayo "we pumbav@+%=?" *#@# zako[emoji23][emoji23][emoji23]
Yupo dada ana watoto 3 na ndoa 3, na sasa ni single mama na ana mimba.Hazai ndo maana anaachika
Linyota la kuolewa na kuachwa Nani analitaka? Abaki nalo mwenyewe hata wachukua nyota hawalitaki [emoji2][emoji2][emoji2]duh inabidi wadau wa kuchukua nyota wachukue nyota yake
Uchumi Wa KatiYupo dada ana watoto 3 na ndoa 3, na sasa ni single mama na ana mimba.
Huyo Hajitambui Yaani Watu Wengi Sana Wanakuja WanakwendaLinyota la kuolewa na kuachwa Nani analitaka? Abaki nalo mwenyewe hata wachukua nyota hawalitaki [emoji2][emoji2][emoji2]
Hahaha kweli bana, kuna watu hawaolewi hata mara moja ila wengine wanakata mti wanapanda mti [emoji3]duh inabidi wadau wa kuchukua nyota wachukue nyota yake
Hazai ndo maana anaachika
Amezaa katika hizo ndio za mwanzo....?
Mtaji huo, ni chanzo kipya cha mapato kwa sasaHabari nzima ya kuchangia harusi imepitwa na wakati.
Hongera zake, child support zote hizoYupo dada ana watoto 3 na ndoa 3, na sasa ni single mama na ana mimba.