Kwa walioolewa zaidi ya mara moja

Kwa walioolewa zaidi ya mara moja

Usher-smith MD

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
9,558
Reaction score
12,335
Huyu dada hapa jiarani anaolewa hii ndoa ya tatu.

2013 nilimchangia send-off nikahudhuria na ubwabwa nikala. 2016 akaleta kadi ya mchango, ndio nikastuka oh kumbe aliachika. Nilimchangia tena. 2020 jana kanipa kadi ya mchango wa send-off, nikamtania "Ah! Wewe kila siku unaolewa wewe tu, sasa tunakuagia nini kama kila siku unarudi kwenu?". Khe! Jamani kaniporomoshea matusi hayo
 
Aaahahahahahhaaa

Born to get married...

K Mtambuka maana kila anayeiacha nyuma kuna anayeirukia kwa hamu, maisha haya....

She after divorce and getting half of husband's wealth until she gets rich.

Feel pity for the kids in between the process.... (if at all she is clever enough not to bare kids and plays the saga alone)
 
Aaahahahahahhaaa

Born to get married...

K Mtambuka maana kila anayeiacha nyuma kuna anayeirukia kwa hamu, maisha haya....

She after divorce and getting half of husband's wealth until she gets rich.

Feel pity for the kids in between the process.... (if at all she is clever enough not to bare kids and plays the saga alone)
Hazai ndo maana anaachika
 
Huyu dada hapa jiarani anaolewa hii ndoa ya tatu.
2013 nilimchangia send-off nikahudhuria na ubwabwa nikala.
2016 akaleta kadi ya mchango, ndio nikastuka oh kumbe aliachika. Nilimchangia tena.
2020 jana kanipa kadi ya mchango wa send-off, nikamtania "ah we kila siku unaolewa wewe tu, sasa tunakuagia nini kama kila siku unarudi kwenu", khe jamani kaniporomoshea matusi hayo "we pumbav@+%=?" *#@# zako[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari nzima ya kuchangia harusi imepitwa na wakati.
 
Bora Huyo Kaamua Wazi Wazi Liwalo Na Liwe
Anaolewa Hovyo Hovyo, Wengine Wao Ni Kudanganywa Huku Wakiaga Mtaa Mzima Wanaolewa Baadaye Oops!!!
""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Kuna Mataifa Wanakufa Huko Kwa COVID 19 Lakini Sisi Hakuna Kufunika Pua Wala Mgongo!🙄😀😁😂😅😄😃🤣
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Yupo dada ana watoto 3 na ndoa 3, na sasa ni single mama na ana mimba.
Uchumi Wa Kati
Ndugu Zangu Kwenye Awamu Ya Tano Hakuna Kupanga Uzazi, Elimu Bure Kulea Mtoto Sasa Hivi Ni Rahisi
Haa😀😂😅😄😄😃😃
Huyo Lazima Atafikisha Kumi
 
Linyota la kuolewa na kuachwa Nani analitaka? Abaki nalo mwenyewe hata wachukua nyota hawalitaki [emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo Hajitambui Yaani Watu Wengi Sana Wanakuja Wanakwenda
Hiyo Sasa Hivi Ndiyo Kama Pombe Ya Ngomani Kila Mlevi Anachota Anakunywa 🤨😑😆😗🤩👏👏👏
 
Huyo huwa anafata sherehe tu cyo ndoa, afu wahivyo bila sherehe hawez kukubali kuolewa😂😂 hajui tofauti ya ndoa na sherehe. Ila Kama ma hotpot na vitenge atakwanavyo vingi😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom