Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Hao watoto wa juzi mnaowaongelea wengi wao walikuwa 'wasaka tonge' tu. Mkiongelea waliokuwepo kabla 'Mzee' hajastaafu angalau kidogo.
 
Mkuu sidhani kama umeshafikia kiwango changu, nilikua nadownload mzigo wa siku tano za week, nauweka kwenye plastick, nkawa naupiga password za kutosha lakini wajomba still walikunywa tu, BLOCK C , a hood to mark
dah,,ndo ilikua maskani mkuu,mwaka wa mwisho nikaotea room block F.
 
Mkuu enzi zangu mwaka wa kwanza pale block c palikuwa panaitwa BBA. Tulikuwa tunaishi na kiume na wa kike mle ndani, sasa kwenye kugawana mabafu na vyoo ndio palikuwa kituko kiaina.

Mkuu unamaanisha kuna wakati ulikuwa unashindwa hata kula RB unaishi kwa mihogo ya mtaani?

Hahaha aha RB nimepiga sana, ikifikaga mida ya bum kukata, watoto wa kike unakuta wamepanga mstari kwa muuza mihogo, ukiwaangalia wanaona aibu kishenzi, wakati huo mi naelekea kwa MAMA KIFUSI, mwokozi wa wanyonge
 
MUNGU ambariki sana mama Kifusi, maana yule mama akikiwekea wali unajaa kama kifusi kweli.
Heshima kwako mkuu, inaonekana maisha ya kupanda na kushuka umekabiliana nayo sana. Kuna watu wengine pale chuo waliishia kula pale shopping complex na hill park.

Hahaha aha RB nimepiga sana,
ikifikaga mida ya bum kukata, watoto wa kike unakuta wamepanga mstari
kwa muuza mihogo, ukiwaangalia wanaona aibu kishenzi, wakati huo mi
naelekea kwa MAMA KIFUSI, mwokozi wa wanyonge
 
Watoto wa juzi wote hao.

Shida yako ulitaka tujue kama umesoma na una ka digrii ulikokapata chini ya mti wa "mdigirii" haya endelea na ushamba wako wa kihaya!

...mkuuu Ghosryder kale kamti ka mdigrii wengine wanakakumbuka kwa kudisco so usikariri maisha teh teh, ingawa hoja yangu nilikuwa namjibu michepuko awataje vijana wa enzi zake kwa kuwa aliowataja PAPAA JIWE kasema ni watoto wa juzi, karibu mjini hapa ndo ubungo mkuu teh teh...
 
Last edited by a moderator:
Ni list ndefu iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
6. Fredy Chacha Hatari
7. Elius Mwambapa
8. Francis Ndunguru
9. Japhet Mwashimaha (Sokwe)
10. Legan Michael
11. Bocasa
na viongozi wa DARUSO kama
1. Daniel Naftal (Waziri wa mikopo)
2. Paul Mkenda (Menyekiti, UDSL)
3. Ado Shaibu (katibu UDSL)
4. Nicodemus Kazimil
na wengine siwakumbuki majina.
Ila ktk list hii nilikuwa namkubali sana Ambrose Evarist Silayo, jamaa ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, I can see a future leader in him. Pia akina emekha na wengine wote ni wazuri ktk harakati, but mi nilimkubalisana Silayo.

your prophecy has materialized. Ambrose Evarist Silayo is now the chairman of Rombo District Council
 
dah nikisoma izo majina za wanaharakat naona machozi yakinilenga..

nilibahatika kumkuta alshababu sema dk za mwisho kabla hajatimuliwa...


sasa ivi DARUSO ni mbuzi tuu ..viongozi wenyewe hawajielewi..usipo kuwa kile chama huingii..

MABOKO amekujaje kuwa mtata sasa...
yani ukileta chafya tu barua mezani
 
Odong Kephaselas Odouwar (Odoooooooong!!.....Odouwar) ilikuwa mbungi hiyo uchaguzi DARUSO mwaka 2008.
Odong vs Mlowe, Faustine J. Kasongi etc.
 
Back
Top Bottom