Kwa waliosikiliza mwanzo mwisho utekaji aliofanyiwa Sativa kwenye Jambo TV ni episode gani imekuumiza kuliko zingine zote kwenye simulizi yake?

Kwa waliosikiliza mwanzo mwisho utekaji aliofanyiwa Sativa kwenye Jambo TV ni episode gani imekuumiza kuliko zingine zote kwenye simulizi yake?

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
1. Nilipoona mshikaji ana pingu nikajua ni polisi nilirelax nikajua niko mikono salama. Hii ni statement imeniuma sana sana Sativa alikuwa na trust kwa hili jeshi ambalo si ajabu lina kundi ambalo limeshavunja trust wanayostahili toka kwa watanzania. It is painful. Mwl Nyerere hakutuachia Tanzania ya namna hii.
 
Nilivuliwa mzura nikaembiwa niende mbele kidogo nijisaidie lakini nlishindwa maana walikuwa wananiangalia huku wananiwekea mtutu ,wakanipiga huku wakinilazamisha nitaje kina nani wananituma ,kwakuwa nilikuwa napigwa sana ikabidi niwataje kina Boni yai na Masese ndiyo kipigo kikapungua.
 
Walikosea sana kutaka kumuua lakini kumbe dogo nae mshenzi mshenzi sana mitusi mikubwa hivyo kama hujazaliwa umeokotwa bhana adabu gani hiyo hata akionyeshwa yeye mwenyewe ataona aibu

Nb, siungi mkono matukio ya utekaji.
 
It is painful. Mwl Nyerere hakutuachia Tanzania ya namna hii.
Watu wengi walitekwa wakati wa Nyerere kuliko wakati wa marais wengine wote combined!

There is a reason why anaitwa Baba wa Taifa. Mambo yote, ya kila nyanja ya utawala na mahusiano ya kijamii, ya nchi hii, yameasisiwa na Baba wa Taifa.

Baba wa Taifa aliteka mpaka mawaziri. Julius Nyerere ndio anajua alipo Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga.

Mara ya mwisho kuonekana hadharani Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga alionekana kapigwa pini na mapolisi viwanja vya mnazi mmoja anatukanwa na Julius Nyerere



HANGA.PNG

Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga, mwenye miwani katikati ya mapolisi watatu, nyuma ya watoto wawili, siku ya mwisho ya uhai wake. Mkutano huu ulipoisha aliondoka na mapolisi wa Nyerere, hakuonekana tena milele na milele...
 
Watu wengi walitekwa wakati wa Nyerere kuliko wakati wa marais wengine wote combined!

There is a reason why anaitwa Baba wa Taifa. Haya mambo yote yameasisiwa na baba wa Taifa.

Julius Nyerere aliteka mpaka mawaziri. Julius Nyerere ndio anajua alipo Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga.

Mara ya mwisho kuonekana hadharani Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga alionekana kapigwa pini na mapolisi viwanja vya mnazi mmoja anatukanwa na Julius Nyerere



View attachment 3066545
Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga, mwenye miwani katikati ya mapolisi watatu, nyuma ya watoto wawili, siku ya mwisho ya uhai wake. Mkutano huu ulipoisha aliondoka na mapolisi wa Nyerere, hakuonekana tena milele na milele...
Mmmmh hadi huruma yaani. Kumbe Nyerere naye alikuwa mtu wa hovyo sana.

Hapo wenye miwani ni 3. Kassim Hanga ni yupi? Au huyo asiye na kibaraghashia?

Na hao watoto na huyo mwanamke aliyejiinamia akionekana kuwa na majonzi ni familia ya Kassim Hanga? 🙆😭
 
Yote kwa yote naamini hayo matusi mlopost ambayo alikuwa anatukana saiv hawezi na hatothubutu tena kufanya hivyo.

Binafsi namsikitikia pia namsikitikia kuzunguka zunguka kwake kuyasema haya maana sidhan kama kutamsaidia kitu.

Kikubwa kama anawafahamu walomfanyia hivyo achukue hatua stahiki pia ajirekebishe kwenye yale mabaya ambayo yalimpelekea madhila maana bado uhai anao
 
Watu wengi walitekwa wakati wa Nyerere kuliko wakati wa marais wengine wote combined!

There is a reason why anaitwa Baba wa Taifa. Haya mambo yote yameasisiwa na baba wa Taifa.

Julius Nyerere aliteka mpaka mawaziri. Julius Nyerere ndio anajua alipo Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga.

Mara ya mwisho kuonekana hadharani Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga alionekana kapigwa pini na mapolisi viwanja vya mnazi mmoja anatukanwa na Julius Nyerere



View attachment 3066545
Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga, mwenye miwani katikati ya mapolisi watatu, nyuma ya watoto wawili, siku ya mwisho ya uhai wake. Mkutano huu ulipoisha aliondoka na mapolisi wa Nyerere, hakuonekana tena milele na milele...
Utashangaa wanavyompaka Rangi awe mtukufu na kumfanya mfano wa kuigwa.
 
Kwa hiyo nawe bwanako akimgigida mdada utatumia nafasi yako kufanya kama hivi!!???

Pole sana kwa kuwa na uwezo huo ulionao.
Kulikuwa na tetesi nyingi za utekaji, unaosingiziwa serikali kuhusika, kumbe ni watu tu wenye mamlaka kama polisi na jeshi ndio walikuwa wakifanya huu ujinga,
Inaonekana hivi vitendo vilikuwa vinafanyika sana, ni sasa ndio tumeaanza kuona kwenye vyombo vya habari
 
Mmmmh hadi huruma yaani. Kumbe Nyerere naye alikuwa mtu wa hovyo sana.

Hapo wenye miwani ni 3. Kassim Hanga ni yupi? Au huyo asiye na kibaraghashia?

Na hao watoto na huyo mwanamke aliyejiinamia akionekana kuwa na majonzi ni familia ya Kassim Hanga? 🙆😭

..Kati ya mwaka 1964 na 1971,Khassim Hanga, Idris Abdalah Majura, Abdul Aziz Twala, Mdungi Ussi, Saleh Sadalah, Jaha Ubwa, Juma Ringo, Othman Sharif, na wengine, walikamatwa na vyombo vya dola vya Zanzibar, na hawajapatikana mpaka leo hii.
 
Mimi sija justify kitu alichofanyiwa
Nakataa kwamba huyo mbuzi alikuwa anakosesha usingizi CCM, mpaka wamteke, kuna ujinga alifanya hawezi kuusema

..Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP, na RPC wawili, wanatakiwa kuwajibikaji kwa kilichomtokea Sativa.

..Huyo kijana alishikiliwa ktk vituo viwili vya Polisi, ktk mikoa miwili, haiwezekani jeshi la Polisi lishindwe kubaini kilichokuwa kikiendelea.
 
Kwani form 1 ulimaliza kweli maana sio kwa ushamba huu na hizo wifi za kugongea
Hata primary ya bongo sikumaliza
Wewe uliefika form one ya kibongo hata kula yako ya kuungaunga haumzidi chawa wa lumumba
Mmezoea kugongea WiFi kibongobongo kwa hiyo mkioma hivi mnajua kuna ya bure
 
Kulikuwa na tetesi nyingi za utekaji, unaosingiziwa serikali kuhusika, kumbe ni watu tu wenye mamlaka kama polisi na jeshi ndio walikuwa wakifanya huu ujinga,
Inaonekana hivi vitendo vilikuwa vinafanyika sana, ni sasa ndio tumeaanza kuona kwenye vyombo vya habari
Anayepaswa kuhakikisha hivyo vitendo vinakomeshwa ni nani kama sio Serikali!!??
Jukumu la kwanza la serikali yeyote ni ulinzi na usalama wa raia na mali zao.
Kama serikali inasema ni drama tuu hizo, kwa nini tusiamini kuwa ni yenyewe ndiyo inahusika!!??
 
Anayepaswa kuhakikisha hivyo vitendo vinakomeshwa ni nani kama sio Serikali!!??
Jukumu la kwanza la serikali yeyote ni ulinzi na usalama wa raia na mali zao.
Kama serikali inasema ni drama tuu hizo, kwa nini tusiamini kuwa ni yenyewe ndiyo inahusika!!??
Bila ya wale wajinga wabakaji wasingejirekodi au kuvujisha hio clip
Ungejua kilichotokea?
Au ingetokea huyo mshabiki maandazi wa simba na yanga angevuta huko maporini kuna hata huo ushahidi wa kutekwa ungejulikana? na hata sasa hana ushahidi w kusema ni polisi walifanya hayo zaidi ya kauli yake ambavyo kisheria haina mashiko!
 
Duuuuh
..Kati ya mwaka 1964 na 1971,Khassim Hanga, Idris Abdalah Majura, Abdul Aziz Twala, Mdungi Ussi, Saleh Sadalah, Jaha Ubwa, Juma Ringo, Othman Sharif, na wengine, walikamatwa na vyombo vya dola vya Zanzibar, na hawajapatikana mpaka leo hii.,

..Kati ya mwaka 1964 na 1971,Khassim Hanga, Idris Abdalah Majura, Abdul Aziz Twala, Mdungi Ussi, Saleh Sadalah, Jaha Ubwa, Juma Ringo, Othman Sharif, na wengine, walikamatwa na vyombo vya dola vya Zanzibar, na hawajapatikana mpaka leo hii.
Duuuuh, siku ya hukumu mbele ya Mwenyezi Mungu kuna watu watakuwa na kazi nzito ya kujibu mashtaka dhidi yao.🙆😭😭
 
Back
Top Bottom