Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Wanamtuma kufanya nn ss?Nilivuliwa mzura nikaembiwa niende mbele kidogo nijisaidie lakini nlishindwa maana walikuwa wananiangalia huku wananiwekea mtutu ,wakanipiga huku wakinilazamisha nitaje kina nani wananituma ,kwakuwa nilikuwa napigwa sana ikabidi niwataje kina Boni yai na Masese ndiyo kipigo kikapungua.
Duhaana ht simjui, kwani Huwa anafanya nn? Au kuikosoa serikali?