Kwa waliosoma Alpha, Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge hawa jamaa walisumbua sana

Kwa waliosoma Alpha, Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge hawa jamaa walisumbua sana

username required

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
343
Reaction score
1,069
Kwa waliosoma Alpha high school 2012-2014 bila shaka watakuwa wanafahamu balaa la hawa jamii wawili Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge ambao walikuwa wanasoma EGM.

Jamii walikuwa wanapiga mabanda ya hatari sana,walikuwa wanafumuana sana,, utakuta matokeo yao yapi hivi , Sunday Mwakipagala (Economics 98 Geography 94,Pure Maths 100), ukija kwa Henry (Economics 97, Geography 98,Maths 100), wanaofatia nyuma wanawaacha mbali sana ,utakuta average 70 huko kushuka chini wakati wao wana average 90+ .
Pure Maths walikuwa wanaifumua kuliko walikuwa wanasoma PCM.

Tokeo la mwisho la taifa Sunday alikuwa wa 6 kitaifa ila kwa wanafunzi wanaochukua EGM yeye ndio alikuwa wa kwanza kitaifa.

Henry hakuingia top ten kitaifa ila alipiga one kali .
 
Wewe achana na elimu ya makaratasi..


Tuambie SASA hivi kupitia hiyo math wamebuni mifumo gan kutatua changamoto kwenye jamiii.

Kupitia hiyo economics wamesolve nn kwenye jamiii...??
 
Waweza kuta wapo hapa hapa mjini na wamefungua biashara lakini ni car wash..........au sehemu ya kuuza urembo wa bajaj .........cha kujiuliza zile A± zilifanya nini unabaki kushangaa sijui ni hiki chama cha manjano au buluu .........laana hizi
 
Waweza kuta wapo hapa hapa mjini na wamefungua biashara lakini ni car wash..........au sehemu ya kuuza urembo wa bajaj .........cha kujiuliza zile A± zilifanya nini unabaki kushangaa sijui ni hiki chama cha manjano au buluu .........laana hizi
Yani mtu asome Alpha aje aishi maisha ya dhiki?

Ada pale milioni 8, ukisoma na aviation ada inakuwa milioni 15.
 
ACCA, ACPA Sunday sausi mwakipagala kijana wangu kabisa. Mzee wa Canada. Nilipoteana nae yapata 2 years sasa ila alikua canada. Jamaa ni auditor huyo na fundi kweli kweli mpaka kesho. Aliibuka top student pia kwenye ACCA results 2020. Kijana machachari. Fundi mpaka leo. Yaani kiufupi huyo ndio reginald Mengi wa Leo.
 
Nini alfa watu wamesoma feza na wapo tu ..........kuna mmoja nilikutana naye maryland supermarket ni yaya kwa mzungu mmoja .............usikalili .........maisha hayana formula.........waliojaa pale sabasaba kariakoo hata form 1 hawaijui ila wanamajumba makali kuliko la waziri mkuu........mnawafunga tu kwa trab na trat ilo huko kwingine waacheni kidogo
 
ACCA, ACPA Sunday sausi mwakipagala kijana wangu kabisa. Mzee wa Canada. Nilipoteana nae yapata 2 years sasa ila alikua canada. Jamaa ni auditor huyo na fundi kweli kweli mpaka kesho. Aliibuka top student pia kwenye ACCA results 2020. Kijana machachari. Fundi mpaka leo. Yaani kiufupi huyo ndio reginald Mengi wa Leo.
Hongera zake
 
Nini alfa watu wamesoma feza na wapo tu ..........kuna mmoja nilikutana naye maryland supermarket ni yaya kwa mzungu mmoja .............usikalili .........maisha hayana formula.........waliojaa pale sabasaba kariakoo hata form 1 hawaijui ila wanamajumba makali kuliko la waziri mkuu........mnawafunga tu kwa trab na trat ilo huko kwingine waacheni kidogo
Huyo labda alisoma feza kwa ufadhili.
 
Nini alfa watu wamesoma feza na wapo tu ..........kuna mmoja nilikutana naye maryland supermarket ni yaya kwa mzungu mmoja .............usikalili .........maisha hayana formula.........waliojaa pale sabasaba kariakoo hata form 1 hawaijui ila wanamajumba makali kuliko la waziri mkuu........mnawafunga tu kwa trab na trat ilo huko kwingine waacheni kidogo
Wengi wao waliosoma shule hizo wako fiti na ni watu wana connection zao. Kufika ulaya nayo ni moja ya connection ndugu.
Mimi nilifika ulaya kwasababu ya connection ila marehemu baba yangu hakua na connection yyte zaidi ya huyo mtu aliyenipeleka na ndio huyo huyo, haijalishi nilifanya nini nilipofika. Sasa those top students wote wa shule hizi. Wote wakofiti. Nawafahamu wengi sana.
 
Wengi wao waliosoma shule hizo wako fiti na ni watu wana connection zao. Kufika ulaya nayo ni moja ya connection ndugu.
Mimi nilifika ulaya kwasababu ya connection ila marehemu baba yangu hakua na connection yyte zaidi ya huyo mtu aliyenipeleka na ndio huyo huyo, haijalishi nilifanya nini nilipofika. Sasa those top students wote wa shule hizi. Wote wakofiti. Nawafahamu wengi sana.
Jamaa anaichukulia alpha poa.

Hapo alpha wasanii. A list huwa wanakuja kuperform na wanakuja wengi kwa tukio moja imagine
 
Kwa waliosoma Alpha high school 2012-2014 bila shaka watakuwa wanafahamu balaa la hawa jamii wawili Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge ambao walikuwa wanasoma EGM.

Jamii walikuwa wanapiga mabanda ya hatari sana,walikuwa wanafumuana sana,, utakuta matokeo yao yapi hivi , Sunday Mwakipagala (Economics 98 Geography 94,Pure Maths 100), ukija kwa Henry (Economics 97, Geography 98,Maths 100), wanaofatia nyuma wanawaacha mbali sana ,utakuta average 70 huko kushuka chini wakati wao wana average 90+ .
Pure Maths walikuwa wanaifumua kuliko walikuwa wanasoma PCM.

Tokeo la mwisho la taifa Sunday alikuwa wa 6 kitaifa ila kwa wanafunzi wanaochukua EGM yeye ndio alikuwa wa kwanza kitaifa.

Henry hakuingia top ten kitaifa ila alipiga one kali .
Ukikua utagundua bongo anayepata A na anayepata D mtaani hawana tofauti. Wote wanakua machawa na motivation speakers. Hatujui kutumia raslimali akili.
 
Wewe achana na elimu ya makaratasi..


Tuambie SASA hivi kupitia hiyo math wamebuni mifumo gan kutatua changamoto kwenye jamiii.

Kupitia hiyo economics wamesolve nn kwenye jamiii...??
Swali zuri mno, wana sema one might be good at answering selected number of questions.

Ila ukija kwenye application ya ujuzi husika, mty ni mweupe.
 
Back
Top Bottom