Kwa waliosoma Alpha, Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge hawa jamaa walisumbua sana

Kwa waliosoma Alpha, Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge hawa jamaa walisumbua sana

Nipo kweny field kiasi ambacho najua kila step ,najua kutumia mifumo yote kama Single window ,tancis nikiwa na account kabisa..

Wewe huna wala hujui ,mnapiga na maagent hawa wa clearing ans forwarding🤣🤣🤣..Hii ndip elimu sio kutumia mtu kati ,najua in incoterms zote ili kufanya negotitions...Hao wa kariakoo si unasikia wanalia huko mizigo hawaipati hata kufanya tracking hawajui 🤣🤣
Aisee you make me laugh, okay, upo nje ya mada, ila unayoyasema ni yako, wenzako tunaendelea kupata vichenchi pambana ufungue logistic body yako.
 
Aisee you make me laugh, okay, upo nje ya mada, ila unayoyasema ni yako, wenzako tunaendelea kupata vichenchi pambana ufungue logistic body yako.
Kama wewe ni daktari lazima utumie watalaamu na hapo mtajikuta mnagawana pesa kwa hujania maana mengi hamjui zaidi ya kuhesabu faida.
 
Nanauka impact yake ni kubwa ,huku kusini kawafanyia makubwa sana ,mwaka jana alitoa bima kwa watu wengi tu huko.
Sijipi moyo ndio hali halisi. Mtafute mtu anaitwa Nannauka ni motivational speaker then fuatilia record yake shuleni.
 
bado hawamfikii hata Diamond platnumz.
Nina mashaka na jinsia yako Diamond atakupiga dudu shauriyako wewe shoboka tu, uzi unazungumzia mengine wewe unaingiza ushubwada mwingine ndio maana Trump akasema atawashughuulikia
 
hawa wote wakichanga vipato vyao na kuuza mali zao zote jumla yake.. bado hawamfikii hata Diamond platnumz.

na A zao za mathematics zote hawawezi hata kujenga bara bara nyepesi ya zege ya mwendo kasi, mpaka tuite watu kutoka nje waje watujengee
Negative mind, Elimu inakupa kikubwa zaidi ya hicho unachofikiria.
 
hawa wote wakichanga vipato vyao na kuuza mali zao zote jumla yake.. bado hawamfikii hata Diamond platnumz.

na A zao za mathematics zote hawawezi hata kujenga bara bara nyepesi ya zege ya mwendo kasi, mpaka tuite watu kutoka nje waje watujengee
Unashida mahali🤔ulitaka wapate alama za chini kama wewe
 
Umezaliwa 1993-2008=15years kwamba umemaliza advance na miaka 15 mkuu mwaka 2008-2025=17years🤔hii chai😁
Ndio hesabu zako zinavyokutuma?
Haya wewe ulitaka nimalize advance mwaka gani? Na nikiwa na miaka mingapi, na chuo nimalize lini nikiwa na miaka mingapi?
Useme wewe ili isiwe chai.
Na la mwisho ulitaka mfano nikamaliza advance na 15 years na chuo na 18 years wewe au mimi napoteza nini au wewe unapoteza nini?
17 years ago hesabu bila kuzungusha nilimaliza advance, Take it from me, or make yours.
 
Watu wengi wanaotoboa kupitia elimu huwa hawana kelele kama ambao wametoboa kwa hustle za mtaani. Ni kweli mfumo wetu wa elimu una changamoto lakini sio kwa kiwango ambacho tunawanyanyapaa wasomi wetu.

Nina washkaji zangu nimesoma nao o-level pale azania secondary na wengine nimesoma nao a-level mzumbe morogoro. Wapo vizuri na hawana fujo

kwenye jamii yetu kuna watu wengi ambao hawajasoma wanaishi maisha ya kifukara na pale tunapojaliwa kupata chochote tunawasaidia bila masimango ila hawa wakina doto magari sasa akiliotea dili moja tu halafu apate nafasi ya kuhojiwa ni matusi tu kwa wasomi.
And this's the difference between an educated person and one who is uneducated, na Kingine hawa ambao hawajasoma huwa wanasumbulia na wivu, chuki na husuda kwa wasomi
 
Ukikua utagundua bongo anayepata A na anayepata D mtaani hawana tofauti. Wote wanakua machawa na motivation speakers. Hatujui kutumia raslimali akili.
Labda waliopata A shuleni kwenu. Vipanga niliosoma nao karibu wote wako fit kiuchumi. Yaani wanakimbiza hata kwenye maisha ya mtaani.
 
Sijipi moyo ndio hali halisi. Mtafute mtu anaitwa Nannauka ni motivational speaker then fuatilia record yake shuleni.
Sasa Nanauka kafulia? Hujui kuwa jamaa ni Dr toka Chuo Kikuu kikubwa Marekani. Usimchukulie poa
 
Wewe bado hujajua uhalisia wa maisha ukoje bado una ushabiki ule wa shule/darasani.
You cant see things out of the box,elimu yako imeishia hapo unadhani mtu akitumia vyeti kuajiriwa akawa analipwa mshahara wa milioni 2 ndio tayari amepata achievement.
Hapo inategemeana na lengo lake lilikua lipi, na kama ni kazi tayari hiyo achievement kwake.
 
hawa wote wakichanga vipato vyao na kuuza mali zao zote jumla yake.. bado hawamfikii hata Diamond platnumz.

na A zao za mathematics zote hawawezi hata kujenga bara bara nyepesi ya zege ya mwendo kasi, mpaka tuite watu kutoka nje waje watujengee
Maskini punguza hasira
 
Una shida pahali, sijahype chochote nimuhype kweli sunday, nisimuhype nsekelah au kilongola au mengi kweli.

Kuhusu nje, hamna mtu wala comment yangu iliyosema mtu anashindwa kwenda nje. Ndio maana hata niliyemjibu nimemjibu kweli madunga embe yapo, ila idadi kubwa watu hutoka nje kutafuta rdhki, sijaweka limitattion who can go, ila connection tu, na ndio ambayo itakupa wewe muongozo au sababu ya wewe kufika nje. Huwezi toka mikocheni, out of nowhere eti mimi naenda ulaya au south africa kuanza maisha. Tena bora south sio mamtoni.

Jibu la mishahara, pia hatujaliongelea hapa, sijui wewe umelitoa wapi, hata sunday tumemuongelea ufaulu wake, na wapi alipo sasa. Mshahara sawa bongo watu wana pesa saaaana. Kwani sisi pia si wabongo tunaishi nao humu. Hata mtaani wapo vipanga.

Come with something what's your point?
Ila statement inayo sema "WaTanzania tuna wivu sana" aisee... Nimeamini.
 
Wengi wao waliosoma shule hizo wako fiti na ni watu wana connection zao. Kufika ulaya nayo ni moja ya connection ndugu.
Mimi nilifika ulaya kwasababu ya connection ila marehemu baba yangu hakua na connection yyte zaidi ya huyo mtu aliyenipeleka na ndio huyo huyo, haijalishi nilifanya nini nilipofika. Sasa those top students wote wa shule hizi. Wote wakofiti. Nawafahamu wengi sana.

Kukiwa na pesa ya kusomesha mtoto Majuu popote anakubalila na anaingia fasta tu

Labda kama mtu anaenda kwa mengine.. Na kimasomo ndio kutafuta scholarship etc.. Hapo mdogo mdogo na hayo ya connection ikitegemeana
 
Back
Top Bottom