Kwa waliowahi kuwatindua Mama Ntilie

Kwa waliowahi kuwatindua Mama Ntilie

Hao wamama ndivyo walivyo.. ila huwa hawapati hasara ni vile story umiekatia njiani mkuu.
 
Hao wamama ndivyo walivyo.. ila huwa hawapati hasara ni vile story umiekatia njiani mkuu.
Mkuu Asubuhi nilikuwa napiga supu chapati 2 = 2500
Mchana wali nyama = 2000
Jioni wali nyama tena = 2000

Ukijumlisha ni 6500,daily mkuu.
 
Umenikumbusha mwaka 2004 wali sahani 300 nusu 200. Ilikuwa msasani hiyo

Tofauti ni kwamba pamoja na kumtindua ilikuwa kila nikila nikatoa 500 chenji hairudi wakati huo nauli sh 150 nikaona ananiharibia bajeti

NIKAMTEMA Japo alikuwa mtamu na mzuri Amazing
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Asubuhi nilikuwa napiga supu chapati 2 = 2500
Mchana wali nyama = 2000
Jioni wali nyama tena = 2000
Ukijumlisha ni 6500,daily mkuu.
Mkuu tatizo sio 6500 per day.. ila inayokutoka wewe.
Labda kama uliokota dodo
 
Mkuu tatizo sio 6500 per day.. ila inayokutoka wewe.
Labda kama uliokota dodo
Mkuu nimekwambia ilikuwa free hela alikuwa anakataa ila niliona ananiletea dalili kama za kutaka kuamia kwangu tuishi wote
 
Ulizingua sana Zero IQ.
Kama ulihofia kumfilisi banda lake, ungemuongezea mtaji ili akue kibiashara nawe uwe unapata Special order.

Ni halali akuchukie
Huwa huwa tunawapa bahasha na kumwambia ni zawadi afungulie nyumbani, akifika home anakutana na mzigo wa kutosha.
Hapo utakula na utatindua mpaka utakapohama mitaa hiyo.
 
Mwanamke tabia bhana...mama ntilie wengi wana TABIA zinazovutie..lazma uwatindue
tapatalk_1558293340413.jpeg
 
Wale viumbe wanakuwaga hatari sana alafu asilimia 90 ya mama ntilie wote wana chura flani na hipsi teketeke,

Kuna mmoja alikuwa na mgahawa karibu na gheto kwangu, sasa ile kwenda kula kila siku akaniletea mazoea na mimi Zero sikufanya iyana nikamdibua/kumkanya /kummenya kweli kweli,

Kesho yake Asubuhi kwenda kupiga supu hataki kupokea hela, mchana msosi kanipa free na jioni ikaenda kama wiki mbili hivi kila nikimpa hela anakataa na jioni anakuja namdibua kama kawa nikaona nisije nikamfirisi akafunga kibanda chake cha msosi nikatemana nae sasa hivi ananichukia kiasi kwamba ata nikitaka kwenda kununua msosi anavunga.

View attachment 1102057


Cc Zero IQ
Sijawahi
 
Back
Top Bottom