Pale posta mkuu?kwa toyota huwa inafanyiwa update kwa kutumia toyota gps navigation map SD card pale toyota tanzania na CMC
hata nissan jaribu pale CMC
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]haaaahaaaa jus haaahaaaKuna Nissan Patrol moja Old Model nilipata kwa mzungu mmoja aliyekuwa anafanya research ya wanyama pori ..Yeye alilinunua DT Dobbie
Basi ikafika wakati anaondoka akaliuza kwa bei ya kishkaji sana ...sijawahi badilisha hata bolt zaidi ya kufanya service ya kawaida na kubadilisha Timing Belt
Juzi nasafiri nikamuachia jamaa yangu mmoja sasa sijui alipasulia wapi rejeta bila kujua akaendesha hivyo kilichotokea gari ilizima yenyewe kuja kufungua Bonnet ya gari engine imeoza yote kilicho baki salama ni cylinder head na block ..80% ya engine imekufa ..kuulizia sasa spare na kuifanyia overhaul niliishia kushika kichwa ,nilichofanya ni kutoa matairi nikalifunika mpaka majaliwa tena
Jamaa yangu mwenyewe maisha ya kuunga unga kama yangu ,mke wake mwenyewe sio mzuri maana ningemmegea kupunguza hasira basi ndio hivyo tena
Nissan ni gari nzuri sana ila isije ikaua kitu kikubwa lazima ulie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijawahi kumiliki Xtrail....waliowahi kuimili watatusaidia...
Ila ninachofahamu toleo la gari likishapitwa na wakati bei yake sokoni hushuka ili kufanya yaishe na kuruhusu toleo jipya kutawala soko
Sent using Jamii Forums mobile app
Multiple Id huyoo
Hapana ...kumbuka beaga la kushoto linashirikiana na viungo vingine vya kushoto....so sitaki kuamini kuwa ukivunjika bega la kushoto...mkono wa kushoto utakuwa na uwezo wa kubeba kitu vhochote kizito.....hii ni kwa sababu mfumo mzima wa mkono unaanzia begani mpaka kiganjani..Unataka kunambia kuwa bega moja likiteguka basi na la pili hivohivo or?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo bei haipungui sana kwa sababu ya demand yake sokoni....Mkuu kuna kitu cha toyota rav 4 old model au toyota ist old model,fasheni zake zimepita lakini bei zake show rooms hazijawahi kupungua,hapo imekaaje??
hiyo mbinu ya ku quote mzee baba..dah.Hapana mkuu, ila mimi nilim quote yeye.
Hizo bei haipungui sana kwa sababu ya demand yake sokoni....
Kwenye biashara kuna kitu kinafanya kazi namna hiyo....high demand leads to high price
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidieni ninataka kununua Nissan Serena mwenye uzoefu nayo aniambie uzuri wake na changamoto zake pia ulaji wa mafuta ukoje.Natamani ukweli huu watanzania wote wapenda magari waujue...
Hapana, wala hatufahamiani. Binafsi nimeandika kutokana na uzoefu wa ununuzi, kwa maana ya kwamba gari zenye engine cc sawa, za toyota ni ghali kidogo kuliko Nissan.
okaaaayWe're sailing the same boat ...ukimpata mtaalam wa Navigation system unishtue mkuu...inanipa shida sana hii!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe lakin Jini
Kuna watu wana multiple ID humu.....halafu wengine wanachangia hoja baadae wanarudi na ID nyingine kusupport hoja yao ya kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani Toyota usahau mkuu? Funga bush original! Spark plugs recommended na vyote uone kama hutasahau!Kwa sasa gari yangu ni Nissan tu. Nikitoka Nissan ni gari za ulaya. Nimekuwa na Nissan Terrano 2, Nissan Note 2 na Xtrail. Pia naagiza Elgrand, dualis na Fuga Hybrid.
Ooohoo how I love Nissan! Riding is my passion...
Zipo stable barabarani, imara na spea ukifunga unasahau.
Tangu nihamie Nissan, no stress at all.
Hela ya mafuta ipo lakini au ndio vijana mnataka ku bling na mafuta ya efu 10/10Hapo kweny pedal ya mafuta sasa,[emoji3][emoji3][emoji3] mkuu huu mzgo kwanza barabaran adim sana....wacha tujichange mkuu
Sent from my SM-G920P using Tapatalk