Kwa wamiliki wote wa magari ya Nissan tukutane hapa

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]haaaahaaaa jus haaahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sijawahi kumiliki Xtrail....waliowahi kuimili watatusaidia...
Ila ninachofahamu toleo la gari likishapitwa na wakati bei yake sokoni hushuka ili kufanya yaishe na kuruhusu toleo jipya kutawala soko

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kuna kitu cha toyota rav 4 old model au toyota ist old model,fasheni zake zimepita lakini bei zake show rooms hazijawahi kupungua,hapo imekaaje??
 
Unataka kunambia kuwa bega moja likiteguka basi na la pili hivohivo or?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ...kumbuka beaga la kushoto linashirikiana na viungo vingine vya kushoto....so sitaki kuamini kuwa ukivunjika bega la kushoto...mkono wa kushoto utakuwa na uwezo wa kubeba kitu vhochote kizito.....hii ni kwa sababu mfumo mzima wa mkono unaanzia begani mpaka kiganjani..

Hivyo hivyo kwenye gari...mfano bush fulani ikifa usipoibadilisha ugonjwa utaambukiza kifaa kingine cha karibu yake ambacho kwa kapamoja vinafanya kazi moja...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna kitu cha toyota rav 4 old model au toyota ist old model,fasheni zake zimepita lakini bei zake show rooms hazijawahi kupungua,hapo imekaaje??
Hizo bei haipungui sana kwa sababu ya demand yake sokoni....
Kwenye biashara kuna kitu kinafanya kazi namna hiyo....high demand leads to high price

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Toyota usahau mkuu? Funga bush original! Spark plugs recommended na vyote uone kama hutasahau!
 
Hapo kweny pedal ya mafuta sasa,[emoji3][emoji3][emoji3] mkuu huu mzgo kwanza barabaran adim sana....wacha tujichange mkuu

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hela ya mafuta ipo lakini au ndio vijana mnataka ku bling na mafuta ya efu 10/10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…