Nina Nissan Cube, 2007, nimeridhika nayo kuliko, kila kilichoandikwa kuhusu Nissan ni kweli, spears ghali kidogo, ila wasahau, iko stable, reliable, nimeka-jazz up basi kako poa sana, tairi pana basi kamenyanyuka hivi, nasikitika sijatumia Turbo/Sport kwa safari ndefu, ila nina mpango huo kwa kuenda samilia mama mikoani, gari zake ziko poa sana hizi Nissan, infact I am so hooked in such nimeanza kutafuta Nissan Cube ya 2011 au zaidi..
Tujipongeze kwa kweli...
Bad note : Juzi pale Beachcomber Africana nilitolewa show na katoto fulani kavulana kako kama 8-9 yrs of age, kwa kuiita Nissan Cube ina sura mbaya?!😡😡😡 To make matters worst, nikashuhudia kale katoto kametoka na ndugu zake na wazazi wakapanda Bajaj?! Can you believe it?!
Ndorobo kabisa,,,