pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Wakuu naomba msaada kwa yeyote anaefanya kazi TAHA au mtu au kikundi ambacho ni mwanachama wa TAHA Tanzania, nataka kujiunga na hii taasisi nikiwa na lengo la kubase on long term agriculture yaani kilimo Cha matunda Cha Muda mrefu nataka kulima matunda Kama parachichi, papai na nanansi za kisasa
Maombi yangu kwa wadau
Kujua sifa na taratibu za kujiunga na TAHA coz nataka kufanya hiki kilimo nikiwa chini yao ili nipate mafunzo zaidi
Pili kujua Kama Kuna garama zozote ambazo mwanachama anatakiwa kulipia ili kujiunga nao
Tatu naomba kujua kwa wataalamu wa kilimo je zao la parachichi Hanss inaweza kukubali kwa Mwanza maana nataka kupanda ekari nyingi pili kwa ekari moja yaweza nigarimu Bei gani yaan kwa ile phase one ili nijiandae kulima ekari 10 hadi 15 kwa kuanzia asante
Maombi yangu kwa wadau
Kujua sifa na taratibu za kujiunga na TAHA coz nataka kufanya hiki kilimo nikiwa chini yao ili nipate mafunzo zaidi
Pili kujua Kama Kuna garama zozote ambazo mwanachama anatakiwa kulipia ili kujiunga nao
Tatu naomba kujua kwa wataalamu wa kilimo je zao la parachichi Hanss inaweza kukubali kwa Mwanza maana nataka kupanda ekari nyingi pili kwa ekari moja yaweza nigarimu Bei gani yaan kwa ile phase one ili nijiandae kulima ekari 10 hadi 15 kwa kuanzia asante