Kwa wanafunzi kuanzia form 1 - form 4 mnaweza kufanya online examination

Pia kuna gharama za muda
Maana kuandaa wa taalamu wakuja kuwarecruit wanafunzi ni action ya more than 10 years ili mfumo ukae vizuri .

Sasa sisi utaratibu wetu tunafanya kitu kuanzia 2019 ili kufikia August 2020 wapigakura wawe wanakumbuka,hapa namaanisha kuwa tupunguze siasa kwenye Mambo muhimu
 

Siasa na Taaluma zinashindana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…