Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

SSMashinji

Senior Member
Joined
Aug 10, 2023
Posts
129
Reaction score
191
Mganga hajigangi .😷
Nina skull fracture ilio sababisha ubongo kua compressed >2.5mm inwards, space ilio wazi kati ya vipande vya fuvu ni >2mm, urefu wa ufa ni >35mm. MRI BRAIN IMAGES CHINI

hamna anae jua kilakitu ndio maana nauliza pia kama kuna anaejua zaidi kuhusu swala hili.

mda ni over 3years now niko na hali hii, symptoms ni kama za brain tumor 80%, swala la Craniotomy or Decompressive Surgery tuliache kwanza kuna 10% tu chance za kumaliza hio operation bila majanga mengine kama upofu, ukiziwi, ububu au permanent stroke na vingine vingi.

kwa anae jua kingine please maoni yako hapa nayahitaji 👨‍⚕️ 😷

1.jpg
2.jpg
3.jpg
 
Pole sana, Neurosurgeon mzuri kabisa bongo wachache sana sijui if wanafika 4, naongelea wazuri, better fanya kutafuta hosp nzuri India, alafu ufanye hiyo procedure kama umeamua kufanya, ila kama hiyo skull fracture ni ndogo hivyo na Dr kasema haina madhara baadae, bora uache kabisa..!!

Kama wewe ni Dr i hope unajua levels za surgery sensitivity and hatari na ugumu wake etc, it goes like this

1: Brain
2: Moyo, Ini, Mapafu
3: Figo, Kongosho
4: Kiuno kwenda chini

So fanya maamuzi sahihi..!!
 
Pole sana, Neurosurgeon mzuri kabisa bongo wachache sana sijui if wanafika 4, naongelea wazuri, better fanya kutafuta hosp nzuri India, alafu ufanye hiyo procedure kama umeamua kufanya, ila kama hiyo skull fracture ni ndogo hivyo na Dr kasema haina madhara baadae, bora uache kabisa..!!

Kama wewe ni Dr i hope unajua levels za surgery sensitivity and hatari na ugumu wake etc, it goes like this

1: Brain
2: Moyo, Ini, Mapafu
3: Figo, Kongosho
4: Kiuno kwenda chini

So fanya maamuzi sahihi..!!
madhara yapo jinsi mda unavyo zidi kwenda hasa kama fracture ikiongezeka, lakini wengine wanasema nikubaliane nayo, lakn kukubaliana na memory loss ngum kwangu.
 
madhara yapo jinsi mda unavyo zidi kwenda hasa kama fracture ikiongezeka, lakini wengine wanasema nikubaliane nayo, lakn kukubaliana na memory loss ngum kwangu.
Inaongezekaje fracture bila hilo eneo kuwa injury nyingine ?
 
na kuongezeka kwa namna nikiangalia images na location na plates zilivyo achana n vyepesi t, ndio maana labda kama njia nyigine anae jua kwenye tafiti zake zinazoweza punguza side effects. mda najipanga kuona huko india wenyewe wanasemaj
 
Back
Top Bottom