Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

Nimekuja kugundua pole ata azisaidii, JF ladies and gents nawasubir apa kwa ambae ata alishawahi kua na shda kama hii.
 
Kama hakuna madhara makubwa unayoyapata achana na operation mkuu
 
Kama hakuna madhara makubwa unayoyapata achana na operation mkuu
madhara yapo ila cjui sa kama yataendelea au laa maana vimeharibika vingi na vinaendelea kwasabab ya symptoms ninazoonyesha hasa memory loss, confusion na balance kidogo kunamda nakua kama naenda kuanguka hv.
 
Kama hakuna madhara makubwa unayoyapata achana na operation mkuu
operation nayo kaka gharama kubwa ni mda mref wa kubaki kitandan min 6months, najaribu kuikwepa ndio maana nimeileta humu hio hoja nataka kupambana t na symptoms mda naangalia nn cha kufanya. haijawa critical kiasi hicho.
 
DR Mambo Jambo njoo msaidie huyu kijana kama unaelewa chochote
Dah Kumbe Rafiki angu DrAutoCare unatatizo hili?

Lakini Mbona MRI inaonyesha kama Kuna Multiple Injury Kwani ulipigwa Mara ngapi Kichwani..

Maana huo Mchimbo wa 35mm Sio mchezo..
Kuna Vitu vinavyoniogopesha..

Kwanza Ni compression ya Brain ambayo Ni 2.5mm Its Very risk kuliko unavyofikiri..

Gap between skull fragments naona gap ni 2mm between the skull fragments linaweza Kusababisha instability ambayo itasababisha complications nyingi sana..

Complication hizo zinaweza kuwa kuongezeka kwa intracranial pressure ambayo husababisha dalili nyingi kama Kichwa kuuma, Kitapika kichefuchefu nk.(Inaweza ikawa tayari inakutokea ila izuie isizidi ) najua unazijua kama kweli wewe ni daktari..

Kadiri unavyozidi Kuchelewa ndyo matatizo yanazidi kuwa makubwa ipo siku brain tissue itakuwa pushed through the opening in the skull, na inaweza kusababisha permanent damage...So Zuia Brain herniation kabla haijatokea..

kuna matatizo mengine kama Hydrocephalus,
Kushindwa Kupata Kumbukumbu na utambuzi wa Kawaida na kushindwa kutatua matatizo mbalimbali na kukosa Concentration au inaitwa Cognitive impairments, au ukapara Emotional disturbances..

Ushauri wangu kwako!

Wahi Hospitali Kafanyi Craniotomy Ni salama kabisa, au Unaweza Ukafanya decompressive surgery..

Ni muhimu sana Muone NeuroSurgeon alie Karibu Aisee Usipuuzi itafika wakati Utajisahau hata wewe Ni nani
 
madhara yapo ila cjui sa kama yataendelea au laa maana vimeharibika vingi na vinaendelea kwasabab ya symptoms ninazoonyesha hasa memory loss, confusion na balance kidogo kunamda nakua kama naenda kuanguka hv.
Pole sana mkuu
 
Dah Kumbe Rafiki angu DrAutoCare unatatizo hili?

Lakini Mbona MRI inaonyesha kama Kuna Multiple Injury Kwani ulipigwa Mara ngapi Kichwani..

Maana huo Mchimbo wa 35mm Sio mchezo..
Kuna Vitu vinavyoniogopesha..

Kwanza Ni compression ya Brain ambayo Ni 2.5mm Its Very risk kuliko unavyofikiri..

Gap between skull fragments naona gap ni 2mm between the skull fragments linaweza Kusababisha instability ambayo itasababisha complications nyingi sana..

Complication hizo zinaweza kuwa kuongezeka kwa intracranial pressure ambayo husababisha dalili nyingi kama Kichwa kuuma, Kitapika kichefuchefu nk.(Inaweza ikawa tayari inakutokea ila izuie isizidi ) najua unazijua kama kweli wewe ni daktari..

Kadiri unavyozidi Kuchelewa ndyo matatizo yanazidi kuwa makubwa ipo siku brain tissue itakuwa pushed through the opening in the skull, na inaweza kusababisha permanent damage...So Zuia Brain herniation kabla haijatokea..

kuna matatizo mengine kama Hydrocephalus,
Kushindwa Kupata Kumbukumbu na utambuzi wa Kawaida na kushindwa kutatua matatizo mbalimbali na kukosa Concentration au inaitwa Cognitive impairments, au ukapara Emotional disturbances..

Ushauri wangu kwako!

Wahi Hospitali Kafanyi Craniotomy Ni salama kabisa, au Unaweza Ukafanya decompressive surgery..

Ni muhimu sana Muone NeuroSurgeon alie Karibu Aisee Usipuuzi itafika wakati Utajisahau hata wewe Ni nani
hayo yote nimeyafikilia shda n wapi nafanyiwa na nan ananifanyia maana operation nyingi apa bongo hua zinazokua successful n chache nazo hua wanatoka na shda nyingne za hovyo zaidi
 
Ninafahamiana na Daktari lakini haupo hapa karibu. Alimsaidia kijana wangu ubongo ulipovimba. Akalifumua fuvu na kulikata, likawekwa katika fridge kwa muda wa miezi minne. Baadaye amelirudisha na ameruhusiwa kupanda ndege
Duh! Hongera mkuu, huko ni nchi gani kama hutajali ku-disclose
 
Mganga hajigangi .😷
Nina skull fracture ilio sababisha ubongo kua compressed >2.5mm inwards, space ilio wazi kati ya vipande vya fuvu ni >2mm, urefu wa ufa ni >35mm. MRI BRAIN IMAGES CHINI

hamna anae jua kilakitu ndio maana nauliza pia kama kuna anaejua zaidi kuhusu swala hili.

mda ni over 3years now niko na hali hii, symptoms ni kama za brain tumor 80%, swala la Craniotomy or Decompressive Surgery tuliache kwanza kuna 10% tu chance za kumaliza hio operation bila majanga mengine kama upofu, ukiziwi, ububu au permanent stroke na vingine vingi.

kwa anae jua kingine please maoni yako hapa nayahitaji 👨‍⚕️ 😷
Pole sana hapa MOI tu wanafanya skull elevation chap
Sina uhakika kama umewahi kufika wakashindwa kukuhudumia
 
Pole sana hapa MOI tu wanafanya skull elevation chap
Sina uhakika kama umewahi kufika wakashindwa kukuhudumia
kuna mizunguko mingi zaidi ya unavyofikilia ndio maana natafta ushauri juu ya side effects kwanza kabla cjafika huko kusign kwanza naenda kufanyiwa operation liwalo naliwe.
pia
account inatakiwe iwe vizuri, hamna mtu anaetakiwa kunitegemea kwa mda wote wa matibabu na hata % ya successful operation bila kutoka na kida zingine baada ya makosa ya kibinadam n ndogo.
 
kuna mizunguko mingi zaidi ya unavyofikilia ndio maana natafta ushauri juu ya side effects kwanza kabla cjafika huko kusign kwanza naenda kufanyiwa operation liwalo naliwe.
pia
account inatakiwe iwe vizuri, hamna mtu anaetakiwa kunitegemea kwa mda wote wa matibabu na hata % ya successful operation bila kutoka na kida zingine baada ya makosa ya kibinadam n ndogo.
Unaloongea ni sahihi mkuu ila Fanya discussion na neurosurgeon utakeonana nae hapo MOI ndo atakuelezea vzr procedure na kama utakuwa kwenye risk kwa sasa itabidi ufanyiwe haraka but concern zako ni za msingi
Nikakuambia hivyo kwa sabab hiyo compression of brain inasababishwa na raise of ICP mzee ni hatari sana u anaweza ukapata convulsions ghafla Mambo yakawa mengine mda wowote muone daktari chap afanye CT scan au MRI ndo upate ushauri

Kuhusu side effects na risk zinaweza kuwepo ila very rare and minimal lakn surgeon utakaekutana nae atakuelezea zaid
 
Unaloongea ni sahihi mkuu ila Fanya discussion na neurosurgeon utakeonana nae hapo MOI ndo atakuelezea vzr procedure na kama utakuwa kwenye risk kwa sasa itabidi ufanyiwe haraka but concern zako ni za msingi
Nikakuambia hivyo kwa sabab hiyo compression of brain inasababishwa na raise of ICP mzee ni hatari sana u anaweza ukapata convulsions ghafla Mambo yakawa mengine mda wowote muone daktari chap afanye CT scan au MRI ndo upate ushauri

Kuhusu side effects na risk zinaweza kuwepo ila very rare and minimal lakn surgeon utakaekutana nae atakuelezea zaid
Ok, Ahsante sana mkuu
 
Baada ya ushauri Mimi ntahusika katika mambo mawili

Kuchangia chochote kitu pia kufanya maombi maalumu katika matibabu yako.


Very sorry and God grant to you serenity 🙏🏽
 
Kijana anaendelea vizuri! Baada ya operation Alianza kuPambana na physiotherapists wake sasa. Daktari yupo nje ya tz
Mtafutie namna ya kuwasiliana nae. Email, whatsap namba n.k
 
Aisee! Mungu wetu ni mkubwa sana! Kweli alishatuahidi ndani ya vitabu takatifu kwamba elimu ni bahari, haina mwisho... Kila kitu kina tiba ni sisi kujifunza kwa hali na mali.

Kwahiyo Mr. njinjo... Kwa muda wa miezi minne kijana wako alikuwa hana fahamu kipindi kipande cha fuvu lake kiko ndani ya Jokofu?!

Duh! Hongera mkuu, huko ni nchi gani kama hutajali ku-disclose
Wanapotoka DP world ila napendekeza India
 
Back
Top Bottom