Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Uzuri uislamu umeeleza mambo mengi kwa kina kuliko dini yeyote duniani, tukiwa watafuta maalifa hatuna mipaka lakini kwenye maalifa pia kuna pumba nyingi, na ndio maana uislamu ni dini inayowataka watu kutafakari kabla ya kuchukua hatua, nikijibu hoja moja moja kuzaliwa katika imani tofauti hakualalishi wewe kukimbia maalifa mengine na maarifa unapo yapata inakupasa kupima na kuchuja kwa undani kabisa kuliko kuacha kutoa haki yako fulani ambayo ulistahiki kutoa, na kuanguka kwenye upotofu na natumaini kwa kadri ya uwelewa wangu ulivyo aijalishi nimelelewa katika imani gani, natumaini kwamba ninge chuja mambo kwa ufasaha mpaka kupata usahihi.
Mkuu unasema tu naamini ungezaliwa msabato na ukalielewa vizuri kanisa kulikuwa hakuna mtu wa kukushawishi uwe muislamu tutabishana tu tena yawezekana muda huu ndiyo ungekuwa una tetea haya mambo yaache kama yalivyo kikubwa kuamini tu ila hunidanganyi kitu.

Kama kweli kabisa unaamini Yesu ni Mungu??
 
Aliye kwambia bila huyo "God" ningekuwa na jicho moja, sikio moja au mkono bila vidole vitano, ni nani?

Hakuna Mungu aliyeumba chochote kile.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Unafosi fosi tu, Dunia iwe imeumbwa na huyo Mungu wako uchwara wa kufikirika.

There's no truth without evidence, facts and proofs.

Don't force your claims to be true while they are false.

God doesn't exist.
Ungeumbwa na nature as you claim kamwe usingekua perfect take it from me. Just think of a simple example of a car, it's perfectly thought out by the designers ( Toyota , bmw etc) that's why it has everything that it may need and when the designer think it needs an extra function they add it. But God ( Intelligent being) perfectly thought out about you that's the reason why you think you have everything and you've never thought of getting a second head or hand coz your designer knew what's necessary. Mkuu kubali au kata lkn ukwel ndio huo , You're the living proof of God's existence
 
Lok



Look at yourself, two eyes, ears, and everything perfectly thought out , that means there's a designer( God). If it was nature you'd have been with one eye on the stomach, one ear à hand without 5 fingers but you were perfectly made because one (God) thought of you ( everything) before creating it. Believe or not that's the truth. Religion ( organized religion) might be misleading but there is God , and let's not confuse God with organized religion
Infropreneur Kiranga @The Evil Genius
 
You are not mentally enough for arguments.

Mnachoweza nyie waamini Mungu ni kutetea imani zenu uchwara za kijinga mlizo pumbazwa na kuaminishwa zisizo na uthibitisho wowote ule.
Mkuu, nishakuambia siku za nyuma, kushindwa kudhibiti mambo yalokinyume na mapenzi yako ni ishara ya uwepo wa super natural power inayodhibiti mambo.
 
Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Umejenga hoja au umetukana tu? By the way, yeyote kama wewe anayechanganya Elimu ya Metafizikia (Knowledge beyond human capacity) na Epistemologia (Knowledge under human capacity a.k.a Science) ni mpuuzi tu!
 
Nisawa na kuwaauliza wahadzabe kuhusu china watakwambia haipo na haijwahi kuwepo. Kutokujua kwako uwepo wa kitu haimaanishi kuwa kitu hiko hakipo : tuishi
 
Aliye kwambia bila huyo "God" ningekuwa na jicho moja, sikio moja au mkono bila vidole vitano, ni nani?

Hakuna Mungu aliyeumba chochote kile.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Unafosi fosi tu, Dunia iwe imeumbwa na huyo Mungu wako uchwara wa kufikirika.

There's no truth without evidence, facts and proofs.

Don't force your claims to be true while they are false.

God doesn't exist.
Exactly 💯
 
I'm quite busy I don't know whether I'll be able to respond to all these comments but those who claim that there is no Designer ( God), the evidence is just overwhelming, let them just look at their bodies, the plants , animals , how perfectly they're made. Those proves there's a designer behind that creation. We all know how chaotic nature is, that's why even the minerals like diamonds etc, they can't look the same when they are extracted from the ground , that's why they go through cutting and refining, nature can't create the same thing over and over again.
 
Lok



Look at yourself, two eyes, ears, and everything perfectly thought out , that means there's a designer( God). If it was nature you'd have been with one eye on the stomach, one ear à hand without 5 fingers but you were perfectly made because one (God) thought of you ( everything) before creating it. Believe or not that's the truth. Religion ( organized religion) might be misleading but there is God , and let's not confuse God with organized religion
If it's nature every creation should be different that's how nature works
 
Ungeumbwa na nature as you claim kamwe usingekua perfect take it from me.
Sijaumbwa.

Nimezaliwa kutoka kwa baba na Mama yangu.
Just think of a simple example of a car, it's perfectly thought out by the designers ( Toyota , bmw etc) that's why it has everything that it may need and when the designer think it needs an extra function they add it. But God ( Intelligent being) perfectly thought out about you that's the reason why you think you have everything and you've never thought of getting a second head or hand coz your designer knew what's necessary.
Watoto wanaozaliwa na matatizo ya vichwa vikubwa, njiti na ulemavu.

Huyo Mungu wako unayedai ni "Perfect/ intelligent Designer" Hakuwaona au?
FB_IMG_1732732380005.jpg

Mkuu kubali au kata lkn ukwel ndio huo , You're the living proof of God's existence
God doesn't exist.

Wewe ndio unafosi uwepo wake.
 
Yaani Mimi nikiwa Nina umri mdogo tu wa miaka 8 niliwahi jiuliza kwamba wenye dhambi tutachomwa moto milele na milele huku wengine wakiimba na kusifu milele,inawezekanaje jambo hili?
Ingawa nilizaliwa kwenye dini haswa usipoenda kanisani ni kichapo

Kaka yangu mkubwa ni padre parokia Fulani Hana mke wala mtoto,Mimi Nina vijana wangu nikiwaangalia nashusha hormone ya dopamine
Mkuu unaionaje ile ya upande wa kina FaizaFoxy na Malaria 2 ya kupata mabikira 72 huko firdaus unakula mzigo muda wote🤣?
 
Nisawa na kuwaauliza wahadzabe kuhusu china watakwambia haipo na haijwahi kuwepo. Kutokujua kwako uwepo wa kitu haimaanishi kuwa kitu hiko hakipo : tuishi
Bado mfano wako hau-make sense. Mhadzabe unaweza kumpa evidence Kwa kumletea hao wachina au hata kumpeleka kama alikiwa hajui. Lakini suala la uwepo wa Mungu unalithibitishaje Kwa ushahidi?
 
Acha longolongo, thibitisha Mungu yupo.
Kushindwa kudhibiti mambo, yalokinyume na mapenz yako, ni ushahidi tosha kuna super natural power, inadhibiti mambo ni vile tu nyie mshachagua upande wa kupinga.
 
Mkuu, nishakuambia siku za nyuma, kushindwa kudhibiti mambo yalokinyume na mapenzi yako ni ishara ya uwepo wa super natural power inayodhibiti mambo.
Logical non sequitur fallacy.

Kwanza kabisa kihoji uwepo wa Mungu kwa kuangalia contradictions zilizopo katika habari za uwepo wake si kutetea mambo yaliyo kwenye mapenzi ya mtu.

Ni kuhoji habari za uwepo wa Mungu kwa mujibu wa maelezo ya wanaosema Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom