Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kushindwa kudhibiti mambo, yalokinyume na mapenz yako, ni ushahidi tosha kuna super natural power, inadhibiti mambo ni vile tu nyie mshachagua upande wa kupinga.
Logical non sequitur fallacy.

Kwanza kabisa kuhoji uwepo wa Mungu kwa kuangalia contradictions zilizopo katika habari za uwepo wake si kutetea mambo yaliyo kwenye mapenzi ya mtu.

Ni kuhoji habari za uwepo wa Mungu kwa mujibu wa maelezo ya wanaosema Mungu yupo.
 
ASANTE SANA HAO WAPAGANI WAJE WATUAMBIE KUWA DUNIA ILIUMBWA VIPI?
 
Mkuu, nishakuambia siku za nyuma, kushindwa kudhibiti mambo yalokinyume na mapenzi yako ni ishara ya uwepo wa super natural power inayodhibiti mambo.
Supernatural power gani, ilishawahi kudhibiti jambo lolote lile?
 
Kama kila kilicho complex kinahitaji designer, designer wa Mungu ni nani?
 
Energy, kama Yesu au Mungu hayupo Kwanini ukitaja jina la Yesu watu wanaanguka mapepo. Hapa simanishi wachungaji wakubwa tu. Hata nyimbo za gospel ukizipiga mbele ya mtu mwenye mapepo utaona anachange mood. Hii nimeona kwa watu.
Hivi kwa nini wanaoanguka mapepo ni watu masikini tu? Kwa nini matajiri, watu maarufu na viongozi wa kisiasa huwa hawaanguki mapepo??
 
Mkuu unaionaje ile ya upande wa kina FaizaFoxy na Malaria 2 ya kupata mabikira 72 huko firdaus unakula mzigo muda wote🤣?
KWENU WAKIRISTO

Hurul-'Ayn (Wenye macho mazuri) kwa Waumini

Hurul-'Ayn ni neema inayotajwa mara kadhaa katika Qur'an kama moja ya malipo ya waumini waaminifu katika Pepo (Jannah). Hurul-'Ayn hufafanuliwa kama wake wenye uzuri wa kipekee walioandaliwa kwa waumini wa Peponi. Mifano ya aya za Qur'an zinazotaja Hurul-'Ayn ni kama ifuatavyo:

1. Qur'an 52:20



"Watakuwa wakiegemea kwenye makochi yaliyopangwa safu, na tutawaozesha kwa Hurul-'Ayn."
Hii inaonyesha kuwa waumini waliofuzu Peponi watapata wake warembo walio safi na wa pekee.



2. Qur'an 55:70-72



"Ndani yake (Pepo) kuna wanawake warembo wenye tabia nzuri... wao ni mabikira, walioshushwa macho, ambao hakuna yeyote aliyewagusa kabla yao."
Hii inaonyesha usafi wa Hurul-'Ayn na jinsi walivyo wa kipekee.



3. Qur'an 56:35-38



"Hakika sisi tumewaumba kwa uumbaji wa pekee, na tukawafanya mabikira, wenye upendo, na wa rika sawa."
Hurul-'Ayn wanatambuliwa kwa uzuri wao na tabia zao nzuri.




---

Adhabu kwa Makafiri Jahannam

Kwa mujibu wa Qur'an, wale wanaokataa kuamini (makafiri) na wanafanya dhambi kubwa bila kutubia, watapata adhabu kali katika Moto wa Jahannam. Mifano ya aya ni kama ifuatavyo:

1. Qur'an 2:39



"Na wale waliokufuru na wakakadhibisha Ishara zetu, hao ni watu wa Motoni, humo watadumu milele."



2. Qur'an 4:56



"Hakika wale wanaokanusha Ishara zetu, tutawachoma Moto. Kila ngozi zao zitakapoteketea, tutawabadilishia ngozi nyingine ili waonje adhabu."



3. Qur'an 98:6



"Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina watakuwa katika Moto wa Jahannam, humo watakaa milele. Hao ndio viumbe waovu kabisa."
 
Hizi hoja hawawezi kuzielewa, ukishasema Mungu hajaumbwa tayari umeconfirm kwamba hayupo.
 
Inabidi waungane kwanza wa mchague Mungu mmoja kati ya hao halafu ndio waseme sasa🤔
Vipi akiwepo wa kukupa bikira 72 baada ya maisha haya halafu pembeni unajichotea gambe mtoni unavyotaka? Utakataa mkuu?
 
NDUGU YANGU NI BORA UWAMINI MUNGU YUPO KULIKO USIAMIN HAYUPO UKAENDA MBINGUNI UKAMKUTA
Mbingu haijawahi kuwepo haipo na haitakaa iwepo.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Huyo Mungu kama yupo, Alishindwaje kufanya binadamu wote wakamwamini yeye yupo siku zote na kwa wakati wote?

Huyo Mungu kama alitaka aaminiwe yupo, Alishindwaje kuumba binadamu watakao mwamini yupo?
 

🤣🤣🤣
Sikiliza Comedy Legendary Akieleza Vizuri kabisa
View attachment 3163613

Halafu sikiliza Hawa Wakigombania Race ya Mungu
View attachment 3163617
Kibongo bongo ni kufuru kali mno utaitwa agent wa shetani kabisa 😂😂
 
Ushawahi kujiuliza kwanini hiyo science haina nguvu kwa watu wako (Afrika) ila kwa wale tu ambao ni mashoga, wabinafsi, na wadhaifu. Nawaita wadhifu sababu hawako strong.
Sayansi ina nguvu Africa, huoni life expectancy yetu ni fupi kuliko kwingine kwenye maendeleo ya Sayansi, huoni miondombinu yetu bado duni, huoni watu wenye pesa wakiugua wanapelekwa nje badala ya kutibiwa hapa ndani, huoni wakina Mwamposa na nabii kiboko ya wachawi wanavyotapeli watu. Sasa utasema Sayansi haina nguvu kwa Africa wakati matokeo ya Sayansi ndogo kwa Africa yanaoenkana wazi??
 
Ukiamua kumtafuta Mungu utampata ni vile hujaaamua tuuu mkuu.
Huyo Mungu anatafutwa kwani amepotea?

Huyo Mungu anacho jifichia huko alipo hadi atufutwe ni nini?

Huyo Mungu anayehitaji kutafutwa ni mjinga sana na wala hajielewi kabisa.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani ajidhihirishe mwenyewe kama ana huo uwezo.

Aache kujificha ficha kama mwali.
 
Soma bible utamjua mungu vizur iman yako itaongezeka imagine kizaz cha sasa asingekuwepo mungu kingekuwaje hofu ya mungu inasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…