Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa nini huyo creator atengeneze process isiyo na ukamilifu mpaka mwisho?

Huoni kwamba hii process ya huyu creator ina dosari na kasoro?

Na inathibitisha waziwazi kwamba huyo "Creator" sio perfect na kazi yake ina imperfections.

Huyo creator, Alishindwaje kutengeneza process isiyoweza kudukuliwa?

Huyo creator, Kwa nini alitengeneza process yenye kuweza kudukuliwa?
 
Kwanini Umekimbilia Kwenye Simu na Internet Zilizotengenezwa Na Mzungu??Kwanini Huku fananisha Na Ujuzi Wa Mwafrika Kama Wamakonde Wanavyochonga Vinyago,,Ujuzi Wa Ulindi Na Uwimbombo Zikiwekwa Katika Msuguano Zinavyozalisha Cheche Za Moto???Au Umepagawa Dogo Bebi??
 
Kama Mungu hayupo basi kuanzia leo jitangazie kuwa ww ndio Mungu utajua kuwa Mungu yupo au hayupo
 
Mungu alitoa rahana ndio inayo tutafuna
Huyo Mungu aliyetoa " Laana" ni Mungu mkatili, muovu, mdhaifu na mjinga sana.

Kama yeye ndio alituumba kwa nini atulaani?

Kama huyo Mungu ndio muumbaji wetu, Alishindwaje kutuumba tutende mema tu yatakayo mpendeza?

Kwa nini huyo Mungu alituumba tukiwa na uwezo wa kutenda mabaya kumchukiza kisha atupe laana?

Huyo Mungu, Alishindwaje kutuumba tukiwa binadamu wema tu, tumpendeze yeye tu asitupe laana?

Je huyo Mungu Hakujua kwamba binadamu tutakuja kumuasi atudhibiti na kutuzuia mapema tusimuasi?

Au aliamua na akaamua atuache tu, tuje tumuasi aendelee kutoa hizo laana zake?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
 
Kama Mungu hayupo basi kuanzia leo jitangazie kuwa ww ndio Mungu utajua kuwa Mungu yupo au hayupo
Kwanzia leo mimi infropreneur najitangaza rasmi ndio MUNGU.

Na kama huyo Mungu yupo, ajitokeze mwenyewe hadharani aje anipinge kama ana huo uwezo.
 
Soma Bible vizur utajuwa uwepo wa mungu
 
N

Ni makusudi yake kabsa ili process iweze kuendelea . Aliweka loop holes hizo kama njia ya kuiboresha program , ndio mana nakuhakikishia watu utafka haya matatizo yote tutaeza kuyadhibiti kwasabb yote aliaweka kwenye code , kinachotusumbua Bado hatujaweza ku break code kisawa sawa lkn Siku ipo , achana na dini ambayo kazi ni kudumaza akili zetu lkn Muumba wetu alitaka tuwe na maarifa ili tuweze kuelewa code zake vizuri na kuendelea kuboresha programu wakati nae akiendelea na mambo mengne muhimu zaid
 
Soma Bible vizur utajuwa uwepo wa mungu
Huyo Mungu angekuwepo kweli Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.

Wala Tusingehitaji hata hiyo "Bible" kujua kuna Mungu.

Kutumia Biblia kusema kwamba ndio kuna Mungu, Ni sawa na kutumia hekaya za Abunuwasi kusema Abunuwasi yupo kweli.
 
Kwa hiyo huyo Mungu ana makusudi sio?
 
Hujathibitisha ni makusudi yake.

Hujathibitisha hata kuwa yupo.
 
Bado hujafikia levo ya firauni apo nikama unatania
Nakwambia hivi, 👇

Mimi infropreneur ndio Mungu rasmi.

Na kama kuna Mungu mwingine tofauti na mimi infropreneur ajitokeze mwenyewe hadharani anipinge kama ana huo uwezo.

Namsubiri hapa aje.
 
Shida yako unamchanganya mungu wa hizi dini na Mungu Muumba wa Kila k2 ( The great architecture)
Hakuna Mungu wa aina yeyote ile.

Hakuna Mungu wa dini.

Hakuna Mungu Muumba.

Hakuna Mungu wa kila kitu.

Hakuna Mungu The great architecture.

Hakuna Mungu Designer.

Hakuna Mungu wa aina yeyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…