Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Alianzisha process ambayo ni self replicating, chukulie kama virus ya computer ambayo ni program lkn ajireplicate yaani inatengeneza copy zake yenyew kulingana na instructions za programer lkn huko mbele programer wengne wanaeza kuidukuwa ikaanza kubadilika kdogo, The Creator started the process but we're going to experience so many changes along the way. Kesho kutwa tu sisi wenyew tutakua na uwezo wa kudukua vinasaba ( Genetic manipulation and gene editing ) lkn hiyo haimanishi mtengenezaji wa program ya awali hayupo
Kwa nini huyo creator atengeneze process isiyo na ukamilifu mpaka mwisho?

Huoni kwamba hii process ya huyu creator ina dosari na kasoro?

Na inathibitisha waziwazi kwamba huyo "Creator" sio perfect na kazi yake ina imperfections.

Huyo creator, Alishindwaje kutengeneza process isiyoweza kudukuliwa?

Huyo creator, Kwa nini alitengeneza process yenye kuweza kudukuliwa?
 
Kwanini Umekimbilia Kwenye Simu na Internet Zilizotengenezwa Na Mzungu??Kwanini Huku fananisha Na Ujuzi Wa Mwafrika Kama Wamakonde Wanavyochonga Vinyago,,Ujuzi Wa Ulindi Na Uwimbombo Zikiwekwa Katika Msuguano Zinavyozalisha Cheche Za Moto???Au Umepagawa Dogo Bebi??
 
Kama Mungu hayupo basi kuanzia leo jitangazie kuwa ww ndio Mungu utajua kuwa Mungu yupo au hayupo
 
Mungu alitoa rahana ndio inayo tutafuna
Huyo Mungu aliyetoa " Laana" ni Mungu mkatili, muovu, mdhaifu na mjinga sana.

Kama yeye ndio alituumba kwa nini atulaani?

Kama huyo Mungu ndio muumbaji wetu, Alishindwaje kutuumba tutende mema tu yatakayo mpendeza?

Kwa nini huyo Mungu alituumba tukiwa na uwezo wa kutenda mabaya kumchukiza kisha atupe laana?

Huyo Mungu, Alishindwaje kutuumba tukiwa binadamu wema tu, tumpendeze yeye tu asitupe laana?

Je huyo Mungu Hakujua kwamba binadamu tutakuja kumuasi atudhibiti na kutuzuia mapema tusimuasi?

Au aliamua na akaamua atuache tu, tuje tumuasi aendelee kutoa hizo laana zake?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
 
Kama Mungu hayupo basi kuanzia leo jitangazie kuwa ww ndio Mungu utajua kuwa Mungu yupo au hayupo
Kwanzia leo mimi infropreneur najitangaza rasmi ndio MUNGU.

Na kama huyo Mungu yupo, ajitokeze mwenyewe hadharani aje anipinge kama ana huo uwezo.
 
Huyo Mungu aliyetoa " Laana" ni Mungu mkatili, muovu, mdhaifu na mjinga sana.

Kama yeye ndio alituumba kwa nini atulaani?

Kama huyo Mungu ndio muumbaji wetu, Alishindwaje kutuumba tutende mema tu yatakayo mpendeza?

Kwa nini huyo Mungu alituumba tukiwa na uwezo wa kutenda mabaya kumchukiza kisha atupe laana?

Je huyo Mungu Hakujua kwamba binadamu tutakuja kumuasi atudhibiti na kutuzuia mapema tusimuasi?

Au aliamua na akaamua atuache tu, tuje tumuasi aendelee kutoa hizo laana zake?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Soma Bible vizur utajuwa uwepo wa mungu
 
N
Neno sahihi zaidi lingekuwa kwamba nyumba ina order, ina complexity, ina complex order.

Si perfection.

Nyumba haina perfection kwa sababu nilizozitoa hapo juu.

Tukija huko kwenye complex order, hoja yako kiukweli, kiundani kabisa, ni hoja ya kupinga uwepo wa Mungu.

Ila wewe hujajua tu.

Ulichosema hapo ni kwamba Mungu muumba vyote hawezi kuwapo. Ila hujajua tu, kwa sababu hujaichambua hoja yako kwa kina.

Twende polepole.

Kimsingi, nimekuelewa kuwa unajenga hoja kwamba, ukiona kitu kimepangika vizuri, kina order, kina complexity, kina complex order, basi lazima kuna aliyekiumba na kukiweka hivyo.

Unajenga hoja kwamba hii complex order huwa haitokei tu yenyewe, ni lazima iwe imewekwa na complex order kubwa zaidi yake, iwe imeumbwa. Wewe unahitimisha kuwa huyo aliyeiumba order ya ulimwengu ni Mungu (this is logical non sequitur fallacy, but let us entertain it to follow the logic)

Kwa hoja yako hiyo, nikikukubalia (kwa kutaka kuichunguza hoja zaidi), tutafika kwenye swali.

Kama ulimwengu ni complex order, na complex order haitokei tu, ni kazima iwe na muumbaji mwenye complex order zaidi, na muumbaji huyo ni Mungu, basi na Mungu naye ana complex order, na yeye pia atahitaji kuwa kaumbwa, hawezi kuwa yupo tu (kwa mujibu wa hoja yako mwenyewe kwamba complex order haiwezi kutokea tu, ni lazima iwe imeumbwa).

Kwa hoja hii, Mungu naye ni lazima atakuwa kaumbwa, hawezi kuwepo tu.

Na Mungu wako akishakuwa kaumbwa tu, anapoteza uungu wake wa kuumba kila kitu, maana kaumbwa.

Hivyo, hoja yako inaonesha huyo si Mungu. Na pia inaonesha Mungu hawezekani kuwapo.

Sijui kama umeelewa hoja.

Kifupi, ukisema nyumba haiwezi kuwepo tu ni lazima iwe na mjenzi unasema hata Mungu hawezi kuwapo tu, ni lazima awe na muumba wake, na akishakuwa na muumba wake basi ndiyo anakuwa si Mungu.

Umeelewa

Kwa nini huyo creator atengeneze process isiyo na ukamilifu mpaka mwisho?

Huoni kwamba hii process ya huyu creator ina dosari na kasoro?

Na inathibitisha waziwazi kwamba huyo "Creator" sio perfect na kazi yake ina imperfections.

Huyo creator, Alishindwaje kutengeneza process isiyoweza kudukuliwa?

Huyo creator, Kwa nini alitengeneza process yenye kuweza kudukuliwa?
Ni makusudi yake kabsa ili process iweze kuendelea . Aliweka loop holes hizo kama njia ya kuiboresha program , ndio mana nakuhakikishia watu utafka haya matatizo yote tutaeza kuyadhibiti kwasabb yote aliaweka kwenye code , kinachotusumbua Bado hatujaweza ku break code kisawa sawa lkn Siku ipo , achana na dini ambayo kazi ni kudumaza akili zetu lkn Muumba wetu alitaka tuwe na maarifa ili tuweze kuelewa code zake vizuri na kuendelea kuboresha programu wakati nae akiendelea na mambo mengne muhimu zaid
 
Soma Bible vizur utajuwa uwepo wa mungu
Huyo Mungu angekuwepo kweli Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.

Wala Tusingehitaji hata hiyo "Bible" kujua kuna Mungu.

Kutumia Biblia kusema kwamba ndio kuna Mungu, Ni sawa na kutumia hekaya za Abunuwasi kusema Abunuwasi yupo kweli.
 
N



Ni makusudi yake kabsa ili process iweze kuendelea . Aliweka loop holes hizo kama njia ya kuiboresha program , ndio mana nakuhakikishia watu utafka haya matatizo yote tutaeza kuyadhibiti kwasabb yote aliaweka kwenye code , kinachotusumbua Bado hatujaweza ku break code kisawa sawa lkn Siku ipo , achana na dini ambayo kazi ni kudumaza akili zetu lkn Muumba wetu alitaka tuwe na maarifa ili tuweze kuelewa code zake vizuri na kuendelea kuboresha programu wakati nae akiendelea na mambo mengne muhimu zaid
Kwa hiyo huyo Mungu ana makusudi sio?
 
N



Ni makusudi yake kabsa ili process iweze kuendelea . Aliweka loop holes hizo kama njia ya kuiboresha program , ndio mana nakuhakikishia watu utafka haya matatizo yote tutaeza kuyadhibiti kwasabb yote aliaweka kwenye code , kinachotusumbua Bado hatujaweza ku break code kisawa sawa lkn Siku ipo , achana na dini ambayo kazi ni kudumaza akili zetu lkn Muumba wetu alitaka tuwe na maarifa ili tuweze kuelewa code zake vizuri na kuendelea kuboresha programu wakati nae akiendelea na mambo mengne muhimu zaid
Hujathibitisha ni makusudi yake.

Hujathibitisha hata kuwa yupo.
 
Bado hujafikia levo ya firauni apo nikama unatania
Nakwambia hivi, 👇

Mimi infropreneur ndio Mungu rasmi.

Na kama kuna Mungu mwingine tofauti na mimi infropreneur ajitokeze mwenyewe hadharani anipinge kama ana huo uwezo.

Namsubiri hapa aje.
 
Shida yako unamchanganya mungu wa hizi dini na Mungu Muumba wa Kila k2 ( The great architecture)
Hakuna Mungu wa aina yeyote ile.

Hakuna Mungu wa dini.

Hakuna Mungu Muumba.

Hakuna Mungu wa kila kitu.

Hakuna Mungu The great architecture.

Hakuna Mungu Designer.

Hakuna Mungu wa aina yeyote ile.
 
Back
Top Bottom