Bwana Bongo
Senior Member
- Dec 12, 2021
- 146
- 212
- Thread starter
-
- #521
na hawa wanataka kuthibitisha kitu kwa kuona ndo wanasema kinastahili kuwa chakweli sasa unaanza kuwaza kwamba kila kinachoonekana kwa macho ndiyo tuthibitishe cha kweli?watakupasua kichwa watu waongo na wanafiki kama hao, wamejizatiti katika engo iyo iyo eti wao awa amini kwamba hata tukiacha habari za mungu watakwambia wao hawana kitu kina itwa imani imagine huu si upuuzi wa wasiwasi juu ya watu hawa
Mtu wa kwanza alitokea wapi?Thibitisha
Kwa baba yake na mama yakeMtu wa kwanza alitokea wapi?
Kama huo ufunuo umekwambia kuwa ulimwengu umeumbwa na yeye na umekubali.Ufunuo unatuambia ya kuwa Ulimwengu umeumbwa na yeye, yaani muumbaji anatuhabarisha sisi ya kuwa yeye ndio ameumba viumbe.
Wewe na hiyo imani yako wote hata msaidiane hamuwezi kuthibitisha.watakupasua kichwa watu waongo na wanafiki kama hao, wamejizatiti katika engo iyo iyo eti wao awa amini kwamba hata tukiacha habari za mungu watakwambia wao hawana kitu kina itwa imani imagine huu si upuuzi wa waziwazi juu ya watu hawa
Kuthibitisha nini?Wewe umethibutisha
Thibitisha Mungu yupo.Yupo, na nilikuuliza unijibu swali langu kabla lakini haukukibu chochote cha maana nakuacha na mtazamo wako
Mkuu unathibitishaje kwamba huo UFUNUO umetoka kwa muumbaji?Wapi nimeshindwa kuthibitisha ?
Ufunuo ni Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an.
Ufunuo umetoka kwake, unatupa majibu ya pale ambapo akili imekomea.
Ufunuo unatuambia ya kuwa Ulimwengu umeumbwa na yeye, yaani muumbaji anatuhabarisha sisi ya kuwa yeye ndio ameumba viumbe.
Kama huo ufunuo umekwambia kuwa ulimwengu umeumbwa na yeye na umekubali.
Kumbe hata mimi Ibn Unuq nikiandika kitabu nikasema mimi ndiye Muumba utakubali.
Kama utakataa, Basi tumia huo ufunuo kuthibitisha kwamba yupo.
Uzi huu angekosekana Kiranga ungekuwa uzi batili
Mkuu unathibitishaje kwamba huo UFUNUO umetoka kwa muumbaji?
Imani inakuaje ukweli au uhakika?Uongo wake uko wapi ?
Nani alikwambia masuala ya kiimani sio kweli ?
Unajua ya kuwa katika elimu kubwa na bora kushinda zote ni elimu ya kumjua Muumba ?
Naomba ujibu maswali kwa usahihi, unaposema ni masuala ya kiimani unaonyesha huijui Imani ni nini ?
Mkuu thibitisha Mungu yupo ukiona sijibu jua hakuna cha kujibu.Hapa naona bado unakimbia hoja, unatakiwa ukosoe ninachokiandika na uonyeshe ya kuwa si sawa, sasa unaposema ni imani tu pasi na kuonyesha dosari ni uchachefu wa maarifa.
Imani ina jengwa na vitu viwili au zaidi, kwanza kusadiki, kusadiki hutanguliwa na elimu yaani kujua, asikudanganye mtu imani inatbitishika na ina uhakika kabisa sababu inatanguliwa na elimu yaani kujua kisha unasadikisha kile ulicho kijua.
Ambao mnasema ni imani tu bila kuichambua hiyo imani mnaonekana mnaleta utoto na hii si adabu katika mambo ya kielimu. Ndio maana kila siku mnakimbia hoja kwa kisingizio cha imani, na huku ukiambiwa uielezee imani ni nini pia hamuwezi.
Kwahiyo wito wangu kwenu ni nyinyi mlete yale ya kweli na mkosoe haya tunayo yaandika hapa.
Mwamposa anapouza mafuta na maji kuponya watu nao ni Ufunuo.Wapi nimeshindwa kuthibitisha ?
Ufunuo ni Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an.
Ufunuo umetoka kwake, unatupa majibu ya pale ambapo akili imekomea.
Ufunuo unatuambia ya kuwa Ulimwengu umeumbwa na yeye, yaani muumbaji anatuhabarisha sisi ya kuwa yeye ndio ameumba viumbe.
Dhana ya kuwa Mungu yupo ni wazi maana yupo aliyetuzidi maarifa akatuweka huku duniani Mungu huyo aligundulillka zamani sana kwa watu jamii ya wayahudi,nchini israel ziko shuhuda ukienda nchini humo zikiinyesha shuhuda kwamba yupo Mjanja kuliko sisi ambaye ndiye alituumba,isitoshe alishuka mwamba mmoja toka huko ikulu alipo akazaliwa na mwanamke bikira ,huyu mwamba alifanya meng ya kutisha na inaaminika alikufa akafufuka,haya mambo kama hujafika Israeli hutoaminKwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini
Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.
Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,
ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Unaweza kuthibitisha?Dhana ya kuwa Mungu yupo ni wazi maana yupo aliyetuzidi maarifa