Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

na ha
watakupasua kichwa watu waongo na wanafiki kama hao, wamejizatiti katika engo iyo iyo eti wao awa amini kwamba hata tukiacha habari za mungu watakwambia wao hawana kitu kina itwa imani imagine huu si upuuzi wa wasiwasi juu ya watu hawa
na hawa wanataka kuthibitisha kitu kwa kuona ndo wanasema kinastahili kuwa chakweli sasa unaanza kuwaza kwamba kila kinachoonekana kwa macho ndiyo tuthibitishe cha kweli?
 
Ufunuo unatuambia ya kuwa Ulimwengu umeumbwa na yeye, yaani muumbaji anatuhabarisha sisi ya kuwa yeye ndio ameumba viumbe.
Kama huo ufunuo umekwambia kuwa ulimwengu umeumbwa na yeye na umekubali.

Kumbe hata mimi Ibn Unuq nikiandika kitabu nikasema mimi ndiye Muumba utakubali.

Kama utakataa, Basi tumia huo ufunuo kuthibitisha kwamba yupo.
 
watakupasua kichwa watu waongo na wanafiki kama hao, wamejizatiti katika engo iyo iyo eti wao awa amini kwamba hata tukiacha habari za mungu watakwambia wao hawana kitu kina itwa imani imagine huu si upuuzi wa waziwazi juu ya watu hawa
Wewe na hiyo imani yako wote hata msaidiane hamuwezi kuthibitisha.

Kama mnaweza thibitisheni.
 
Mkuu unathibitishaje kwamba huo UFUNUO umetoka kwa muumbaji?
 
Kama huo ufunuo umekwambia kuwa ulimwengu umeumbwa na yeye na umekubali.

Kumbe hata mimi Ibn Unuq nikiandika kitabu nikasema mimi ndiye Muumba utakubali.

Kama utakataa, Basi tumia huo ufunuo kuthibitisha kwamba yupo.

Kwanza kitendo Cha wewe kuandika ya kwamba uandike kitabu kisha useme wewe ndio umeumba, inaonyesha una akili ndogo na hufikirii vitu katika uhalisia au hujui nini unachokiaegemea.

Nukta yako au sharti lako au hitimisho lako halihusiani kabisa na kuwepo kwa Mola.

Ufunuo kwanza unasema hivi :


35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.

37. Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?

38. Au wanazo ngazi za kusikilizia? Basi huyo msikilizaji wao na alete hoja ilio wazi! [at-Tur : 35 - 38]

Hapa ufunuo ulikuwa unawajibu wale ambao walikuwa wanaukana na kukana juu ya uwepo wake. Kwanza kabisa unatakiwa ujue ya kuwa nyinyi sio wa kwanza katika kumkana Mungu na Wala hamtokuja kuwa walau na hoja za kuonyesha kutokuwepo kwake. Sababu Kuna ishara nyingi kuanzia kwenye miwili wako, mazingira na viumbe vingine juu ya uwepo wake.

Tafakari kwanza juu ya ufunuo huo na kile kilichoandikwa humo, kisha uje uoanushe na uonyeshe kinyume chake.
 
Mkuu unathibitishaje kwamba huo UFUNUO umetoka kwa muumbaji?

Swali zuri sababu ufunuo wenyewe ulitoa Challange kwa wale ambao waliukana na kudai ni tungo basi walete walau mfano aya moja tu kama wao wanasema kweli. Mnatakiwa mjue ya kuwa hizi tuhuma zenu hazijaanza leo lala jana bali ni tangu na tangu na tofauti yenu na wale wa kale, wa kale walikuwa wajuzi zaidi katika lugha na kujenga hoja.

Ufunuo unasema hivi, kuwajibu wale ambao walikuwa wanadai ni utungo tu wa mwanadamu na hautoki kwa Mola wetu muumba.


32. Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?

33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli. (at-Tur : 32 - 35)

Watu wa zamani walimtuhumu ya kuwa Mtume Muhammad aliitunga Qur'an, Allah aliye tukuka akamwambia Mtume awaambie hivyo wale walio mtuhumu kwa utunzi.

Mwenye akili timamu lazima atafakari kwanza, wapo watu humu wanadai Qur'an ni kama Hadithi tu, yaani imetungwa wanatakiwa wajue ya kuwa wao sio wa kwanza katika hilo, ili wawe wa kweli walete huo mfano wa Qur'an au wathibitishe utunzi wake kama wao wanasema ukweli.
 
Imani inakuaje ukweli au uhakika?
 
Mkuu thibitisha Mungu yupo ukiona sijibu jua hakuna cha kujibu.
 
Mwamposa anapouza mafuta na maji kuponya watu nao ni Ufunuo.
 
Dhana ya kuwa Mungu yupo ni wazi maana yupo aliyetuzidi maarifa akatuweka huku duniani Mungu huyo aligundulillka zamani sana kwa watu jamii ya wayahudi,nchini israel ziko shuhuda ukienda nchini humo zikiinyesha shuhuda kwamba yupo Mjanja kuliko sisi ambaye ndiye alituumba,isitoshe alishuka mwamba mmoja toka huko ikulu alipo akazaliwa na mwanamke bikira ,huyu mwamba alifanya meng ya kutisha na inaaminika alikufa akafufuka,haya mambo kama hujafika Israeli hutoamin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…