Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Ungejua Imani ni nini Na facts ni nini ? Wala usingehangaika kuleta huu mjadala bali ungejua unachokiamini wewe kitaendelea kuwa imani kwako na kukibadilisha kuwa facts kinahitaji vivid proof... Na watu wenye busara zao wanajua kwamba itakuwa fools errand kujikita kwenye mijadala ya Imani..., Uzuri wa facts are based on learning research and experimentation as well as questioning oneself (wakati hizi imani zilizokuja na meli ni indoctrination ambazo ukitumia logic and upembuzi wako utaambiwa unakufuru)
Huwezi kuanza na jibu alafu unatafuta swali (ukifanya hivyo utakuwa, unatetea na sio kutafuta ukweli)
Huwezi kuanza na jibu alafu unatafuta swali (ukifanya hivyo utakuwa, unatetea na sio kutafuta ukweli)