Wewe ukiulizwa umejuaje kuna Mungu?
Unaanza kuleta hadithi za kwenye Quran. Mara ooh! Imeandikwa kwenye Quran.
Ukiambiwa uthibitishe ukweli wa hayo maandishi ya Quran huwezi.
Unabaki kuruka ruka tu.
Nilikupa kazi uonyeshe uongo wa Qur'an na utuambie ya kuwa kwa vipi Qur'an isiwe ushahidi. Ikaonekana kumbe hata hiyo Qur'an huijui.
Ukaanza kuruka ruka na kukimbia maswali, ukaendelea kukosoa kulinganisha vitu ambavyo havifanani bali ukakosea zaidi hata kuandika jina la Abuu Nawas.
Qur'an inajuthibisha yenyewe kwa kile ilichonacho na kule ilipo Toka. Ndio maana ukashindwa kuonyesha uongo wa Qur'an.
Kuisoma kwenye Qur'an aya inasomeka hivi :
35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?
36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at-Tur : 35 - 36)
Sasa hicho ndicho ambacho Kimo kwenye Qur'an Sasa uje kutoa majibu kwa ushahidi na utuambie je kilichoandikwa hapo ni uongo ?
Nasisitiza tena, uje uthibitishe ya kuwa yaliyomo kwenye Qur'an ni Hadithi. Kila siku nakupa angalizo hakikisha unakijua unacho kijadili.
Wewe mwenyewe huna uhakika, uthibitisho wala ushahidi wa uwepo wa Mungu.
Mnafosi fosi tu imani zenu uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule.
Mimi Nina uhakika, Nina jua na ndio maana kith bitisha uwepo wa Mola muumba sijawahi kushindwa bali ni kitu chochote.
Bakuongezea na hili, katika kila kitu unachokijua na usichokijua kinathibitisha juu ya uwepo wa Mola tena ni mmoja aliye tukuka.
Wewe Imani yako ina uthibitisho gani zaidi ya kuonyesha ni mgonjwa wa akili na una uwezo mdogo wa kufikiri.
You need mental rehabilitation therapy.
Wewe mwenyewe bado hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu yeye kama yeye.
Unaleta hadithi zenu uchwara za vitabuni huko kwenye Quran zisizo na utofauti na hekaya za Abunuwasi.
Halafu hakuna mtu anaitwa Abunuwasi, uwe unasoma kwanza kabla ya kuandika. Unaposema ni Hadithi uchwara unatakiwa usihishie hapo, kosoa na uonyeshe uuchwara huo, kinky me na hapo unacheza makida makida na unaleta utoto.
Uwepo wako wewe tu inaonyesha ya kuwa Mungu yupo. Sasa unapo uliza na kutaka uthibitisho inaonyesha wazi ya kuwa hujawahi kufikiria hilo.