Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Hapana nini, hapana hujakubali kuwa si maswali yote yanaweza kujibiwa kwa ndiyo au siyo au hapana hujakubali kwamba wewe ni mraadijuna?
Nimejibu swali lako acha kujichengesha nilipaswa kuchagua ndio au sio na mimi nime hapana manake si mtu/kitu hicho ila sihasema sitaki...
 
Hivi shule ulienda kusomea ujinga?

Nimeletea mfano wa akili na wala sikusema akili ndio Mungu, acha kujitia upunguani.

Akili iliyosalimika ndio chombo kinachokusaidia Kumjua Mungu.

Labda nikueleweshe tena swali langu lipo hapa.

Nikikuuliza swali hili.. hivi ww una akili au hauna akili?

Na kama unazo zipoje, rangi gani? Fafanua akili ni nini?

Na kwanini mtu huyu anaambiwa ana akili na huyu hana akili?

Kidhibiti gani kimethibitisha kuwa huyu ana akili na huyu hana akili?

Kabla ya kufika kumjadili Mungu, jibu swali wala usikwepe!!

Majibu mengine huwa yanajibiwa swali kwa swali.
Tuanzie hapo.
Una mihemko mno, tulia kwanza halafu uje uthibitishe uwepo wa Mungu.
 
Haya komaa Sasa naona umepandwa na hasira wengi wenu Huwa mnakataa uwepo wa MUNGU kwa sababu zenu binafsi na hazina mashiko ingekuwa unajiamini ungenijibu swali dogo sana najua umegundua upungufu wako katika Hilo kila laheri
Hasira yangu huna uwezo wa kiakili wa kuipandisha.

You do not posses the requisite wattage.

Ni vile akili yako ndogo tu hata nikipiga chafya kwa reflex action wewe unakuwa kama nzi aliye mbele yangu unaona kimbunga kimelipuka.

Huyo Mungu unamsema tu. Huwezi kuthibitisha yupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Huyo mbumbumbu hajui hata tofauti ya "uamini" na "huamini".

Mtu asiyejua wapi aweke h mimi sioni kama naweza kujadiliana naye hoja za kimantiki.

Hiyo ni ishara ya ungumbaru, ndiyo maana hatuelewani.
Hiy0NdIyOxababuUnqelewq nqch0kuandika,
 
ufunuo umetoka wapi hayo uliyosoma yakakuaminisha kuwa hakuna mungu ukakubali upagani umeyasoma kutoka wapi? (upotovu)
Mimi sina huo ufunuo wala siujui huo ufunuo.

Kwanza Ufunuo ni nini?

Huo ufunuo umetoka wapi?

Huo ufunuo unathibitisha vipi Mungu yupo?
 
Mtu yeyote asiye amini mungu ni mpagani, wapagani ni wale wasio amini mungu na uwepo wake yeye uwa anachagua kuamini kutokuwepo kwa mungu na viashilia vyake ni mpagani sema mnataka kujisafisha msionekana mmepotoka!
Hatuamini kwamba Mungu hayupo, Tunajua kwamba hayupo.

Acha kuzunguka zunguka, Thibitisha kama yupo.
 
Vyote unavyosema ni imani tu ndio maana hizo habari zinaitwa za kiimani tu mkuu🤔 siku zikithibitika hazitahitaji kuitwa tena imani bali uhakika na ukwel🤔🤔.

Hapa naona bado unakimbia hoja, unatakiwa ukosoe ninachokiandika na uonyeshe ya kuwa si sawa, sasa unaposema ni imani tu pasi na kuonyesha dosari ni uchachefu wa maarifa.

Imani ina jengwa na vitu viwili au zaidi, kwanza kusadiki, kusadiki hutanguliwa na elimu yaani kujua, asikudanganye mtu imani inatbitishika na ina uhakika kabisa sababu inatanguliwa na elimu yaani kujua kisha unasadikisha kile ulicho kijua.

Ambao mnasema ni imani tu bila kuichambua hiyo imani mnaonekana mnaleta utoto na hii si adabu katika mambo ya kielimu. Ndio maana kila siku mnakimbia hoja kwa kisingizio cha imani, na huku ukiambiwa uielezee imani ni nini pia hamuwezi.

Kwahiyo wito wangu kwenu ni nyinyi mlete yale ya kweli na mkosoe haya tunayo yaandika hapa.
 
Ni maswala ya kiimani na sio ukweli

Uongo wake uko wapi ?

Nani alikwambia masuala ya kiimani sio kweli ?

Unajua ya kuwa katika elimu kubwa na bora kushinda zote ni elimu ya kumjua Muumba ?

Naomba ujibu maswali kwa usahihi, unaposema ni masuala ya kiimani unaonyesha huijui Imani ni nini ?
 
Hasira yangu huna uwezo wa kiakili wa kuipandisha.

You do not posses the requisite wattage.

Ni vile akili yako ndogo tu hata nikipiga chafya kwa reflex action wewe unakuwa kama nzi aliye mbele yangu unaona kimbunga kimelipuka.

Huyo Mungu unamsema tu. Huwezi kuthibitisha yupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Yupo, na nilikuuliza unijibu swali langu kabla lakini haukukibu chochote cha maana nakuacha na mtazamo wako
 
Kama unashindwa kuthibitisha yupo hauna ruhusa ya kusema viumbe vyote ni vyake.

Unamaanisha nini unaposema unathibitisha kwa kutumia ufunuo?

Huo ufunuo umetoka wapi? Huo ufunuo unathibitisha vipi kwamba Mungu yupo?

Wapi nimeshindwa kuthibitisha ?

Ufunuo ni Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an.

Ufunuo umetoka kwake, unatupa majibu ya pale ambapo akili imekomea.

Ufunuo unatuambia ya kuwa Ulimwengu umeumbwa na yeye, yaani muumbaji anatuhabarisha sisi ya kuwa yeye ndio ameumba viumbe.
 
Hatuamini kwamba Mungu hayupo, Tunajua kwamba hayupo.

Acha kuzunguka zunguka, Thibitisha kama yupo.

watakupasua kichwa watu waongo na wanafiki kama hao, wamejizatiti katika engo iyo iyo eti wao awa amini kwamba hata tukiacha habari za mungu watakwambia wao hawana kitu kina itwa imani imagine huu si upuuzi wa waziwazi juu ya watu hawa
 
Asante mleta mada ila umetusaidia kujua jinsi wanafika ndogo hoja yao ni kwamba haonekani ila kuna mengi hawayaoni but wanayaamini [emoji119]
 
Back
Top Bottom