Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Utumbo ni kiungo muhinu sana.utumbo!
Fafanua hoja yako, usiandike kivivu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utumbo ni kiungo muhinu sana.utumbo!
Nimejibu swali lako acha kujichengesha nilipaswa kuchagua ndio au sio na mimi nime hapana manake si mtu/kitu hicho ila sihasema sitaki...Hapana nini, hapana hujakubali kuwa si maswali yote yanaweza kujibiwa kwa ndiyo au siyo au hapana hujakubali kwamba wewe ni mraadijuna?
Watu wanasaka comment na mijadala kuntu ya kukusanya wadau...sii vinginevyUmejuaje?
Nina mdau namjua anafanya ivoWewe umejuaje na wakusanye kwa faida ipi?
Huyo mbumbumbu hajui hata tofauti ya "uamini" na "huamini".😂😂😂 sijui kama unaelewa ulichoelekezwa na Kiranga 🤔
Una mihemko mno, tulia kwanza halafu uje uthibitishe uwepo wa Mungu.Hivi shule ulienda kusomea ujinga?
Nimeletea mfano wa akili na wala sikusema akili ndio Mungu, acha kujitia upunguani.
Akili iliyosalimika ndio chombo kinachokusaidia Kumjua Mungu.
Labda nikueleweshe tena swali langu lipo hapa.
Nikikuuliza swali hili.. hivi ww una akili au hauna akili?
Na kama unazo zipoje, rangi gani? Fafanua akili ni nini?
Na kwanini mtu huyu anaambiwa ana akili na huyu hana akili?
Kidhibiti gani kimethibitisha kuwa huyu ana akili na huyu hana akili?
Kabla ya kufika kumjadili Mungu, jibu swali wala usikwepe!!
Majibu mengine huwa yanajibiwa swali kwa swali.
Tuanzie hapo.
Hasira yangu huna uwezo wa kiakili wa kuipandisha.Haya komaa Sasa naona umepandwa na hasira wengi wenu Huwa mnakataa uwepo wa MUNGU kwa sababu zenu binafsi na hazina mashiko ingekuwa unajiamini ungenijibu swali dogo sana najua umegundua upungufu wako katika Hilo kila laheri
You are just proving my point.Nimejibu swali lako acha kujichengesha nilipaswa kuchagua ndio au sio na mimi nime hapana manake si mtu/kitu hicho ila sihasema sitaki...
Hiy0NdIyOxababuUnqelewq nqch0kuandika,Huyo mbumbumbu hajui hata tofauti ya "uamini" na "huamini".
Mtu asiyejua wapi aweke h mimi sioni kama naweza kujadiliana naye hoja za kimantiki.
Hiyo ni ishara ya ungumbaru, ndiyo maana hatuelewani.
Mimi sina huo ufunuo wala siujui huo ufunuo.ufunuo umetoka wapi hayo uliyosoma yakakuaminisha kuwa hakuna mungu ukakubali upagani umeyasoma kutoka wapi? (upotovu)
Hatuamini kwamba Mungu hayupo, Tunajua kwamba hayupo.Mtu yeyote asiye amini mungu ni mpagani, wapagani ni wale wasio amini mungu na uwepo wake yeye uwa anachagua kuamini kutokuwepo kwa mungu na viashilia vyake ni mpagani sema mnataka kujisafisha msionekana mmepotoka!
Vyote unavyosema ni imani tu ndio maana hizo habari zinaitwa za kiimani tu mkuu🤔 siku zikithibitika hazitahitaji kuitwa tena imani bali uhakika na ukwel🤔🤔.
Ni maswala ya kiimani na sio ukweli
Wewe umethibutishaYou are just proving my point.
Hujathibitisha Mungu yupo bado mpaka sasa.
Yupo, na nilikuuliza unijibu swali langu kabla lakini haukukibu chochote cha maana nakuacha na mtazamo wakoHasira yangu huna uwezo wa kiakili wa kuipandisha.
You do not posses the requisite wattage.
Ni vile akili yako ndogo tu hata nikipiga chafya kwa reflex action wewe unakuwa kama nzi aliye mbele yangu unaona kimbunga kimelipuka.
Huyo Mungu unamsema tu. Huwezi kuthibitisha yupo.
Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Ww ndio mbabaishaji hujibu maswali unakwepa maswali kwa visingizio visivyokuwa na kichwa miguu wala miguu, kafiri mpevu wwUna mihemko mno, tulia kwanza halafu uje uthibitishe uwepo wa Mungu.
ThibitishaYupo
Kama unashindwa kuthibitisha yupo hauna ruhusa ya kusema viumbe vyote ni vyake.
Unamaanisha nini unaposema unathibitisha kwa kutumia ufunuo?
Huo ufunuo umetoka wapi? Huo ufunuo unathibitisha vipi kwamba Mungu yupo?
Hatuamini kwamba Mungu hayupo, Tunajua kwamba hayupo.
Acha kuzunguka zunguka, Thibitisha kama yupo.
watakupasua kichwa watu waongo na wanafiki kama hao, wamejizatiti katika engo iyo iyo eti wao awa amini kwamba hata tukiacha habari za mungu watakwambia wao hawana kitu kina itwa imani imagine huu si upuuzi wa waziwazi juu ya watu hawaYupo