Kwa wanaoamini uumbaji wa Eden, wanyama wala nyama waliumbwa wakiwa wanakula nyama?

Kwa wanaoamini uumbaji wa Eden, wanyama wala nyama waliumbwa wakiwa wanakula nyama?

Simba, Chui, Fisi na wanyama wengine wala nyama walikuwa wanakula nini katika bustani ya Eden?

Chatu alikuwa anameza kitoweo chake katika bustani ya Eden?

Mamba alikuwa anakula nini??

Ndege wala nyama na samaki walikuwa wanakula nini?
Hivi viumbe wa baharini na kwenye maziwa kama nyangumi, pomboo, papa n.k nao waliathirika na gharika? Au gharika iliwahusu wanyama wa nchi kavu tu?
 
Kwa Mujibu wa creation facts. Maisha baada ya dhambi na ardhi kulaaniwa hakuna aliyewahi kuyaona qmbaye yuko hai ni Adam na Mkewe tu. Sasa unapotumia unachooma sasa kuelezea kisichoonekana lazima ujipoyoshe.
 
Mbona inaeleweka.

Hapo mwanzo vyote vilikuwa vinakula miche ya kondeni yote yenye tunda na Mbegu kama chakula chao. Mwanzo 1:29-30.

Maisha ya Eden yalikuwaje?
Isaya 11:6-9 inaeleza ilivyokuwa na itakavyokuwa wakati wa Mbingu na nchi Mpya kwamba Simba atakula majani kama mwana kondoo na ndio ilivyokuwa. Wanyama wote walikula Majani kama chakula chao including wanyama wa Majini.

Baada ya dhambi na anguko la Mwanadamu tunaona kuna uumbaji mwingine unatokea.
1. Mwanamke kuzaa kwa utungu(Zaidi ya Uchungu)
2. Ardhi kuotesha miiba ambayo haikuwepo mwanzo.
3. Kuumbwa kwa wadudu ardhini wana decompose. (Sijapata lugha nzuri ya kiswahili)
4. Nyoka kuondolewa miguu yake. Alikuwa na miguu 4 kwa kulingana na baadhi ya vitabu(Abrahamic Text)
5. Kila alacho nyoka hata umpe nyama atahisi anaingiza vumbi mdomoni (Sijajua nielezeje nieleweke)
6. Wanyama kufungwa kuongea lugha inayoeleweka na wanadamu kwani mwanzo walikuwa wanaongea na kuelewana kama ambavyo nyoka aliongea na Hawa.
7. Wanadamu kuingiwa na hofu juu ya wanyama waliotiishwa kwake(Uadui)

Baada ya kutoka kwenye gharika, Mungu anawapa Nugu na wanawe pamoja na wanyama wengine chakula kingine. Yaani "Nyama" ila anaambiwa asile "nyama pamoja na damu yake" ila akapewa na angalizo kuwa kila damu au uhai wa mnyama au binadamu inayomwagwa na mnyama au binadamu itadaiwa.

So tuna conclude kuwa hapo "mwanzo wanyama wote walikula Miche yenye mbegu na matunda yenye mbegu ndani yake"
Majani nayo si ni viumbe hai?
 
Katika bustani ya Eden, wanyama wote walikuwa wanakula chakula kingine kisichohusisha nyama. Hapa kuna maelezo ya kinagaubaga kuhusu chakula walichokuwa wanatumia:

Wanyama Waliokuwa Bustani ya Eden:
  • Simba, Chui, na Fisi: Walikuwa wanakula mimea, matunda, na majani.
  • Chatu: Alikuwa anameza matunda na mimea kama kitoweo chake.
  • Mamba: Alikuwa anakula samaki na mimea ya majini.
  • Ndege: Walikuwa wanakula mbegu,matunda, na miche ya mimea.
  • Samaki: Samaki walikuwa wakila mimea ya majini na samaki wadogo.
Katika Bustani ya Eden, hakuna wanyama waliokuwa wanakula nyama kwani mazingira yalikuwa ya amani na ushirikiano.
Kwani mimea na matunda si viumbe hai pia navyo vinahitaji kuishi?
 
Nani kasema kulikuwa na kitu kinaitwa " nyama"? Inawezekana hata kula ilikuwa hawali ila wanaenjoy tu!
 
Nani kasema kulikuwa na kitu kinaitwa " nyama"? Inawezekana hata kula ilikuwa hawali ila wanaenjoy
Mtu ameanza kula nyama baada ya gharika. Nyama haikuwahi kuwa chakula kwa mtu au mnyama katika ile blueprint ya creation
 
Katika bustani ya Eden, wanyama wote walikuwa wanakula chakula kingine kisichohusisha nyama. Hapa kuna maelezo ya kinagaubaga kuhusu chakula walichokuwa wanatumia:

Wanyama Waliokuwa Bustani ya Eden:
  • Simba, Chui, na Fisi: Walikuwa wanakula mimea, matunda, na majani.
  • Chatu: Alikuwa anameza matunda na mimea kama kitoweo chake.
  • Mamba: Alikuwa anakula samaki na mimea ya majini.
  • Ndege: Walikuwa wanakula mbegu,matunda, na miche ya mimea.
  • Samaki: Samaki walikuwa wakila mimea ya majini na samaki wadogo.
Katika Bustani ya Eden, hakuna wanyama waliokuwa wanakula nyama kwani mazingira yalikuwa ya amani na ushirikiano.
Kwamba nyasi na mimea ndio ilikuwa pale ili iweze kuliwa ? Kwamba ilishindikana kuwa na machinery isiyohitaji Nishati (Chakula) ?
 
Katika bustani ya Eden, wanyama wote walikuwa wanakula chakula kingine kisichohusisha nyama. Hapa kuna maelezo ya kinagaubaga kuhusu chakula walichokuwa wanatumia:

Wanyama Waliokuwa Bustani ya Eden:
  • Simba, Chui, na Fisi: Walikuwa wanakula mimea, matunda, na majani.
  • Chatu: Alikuwa anameza matunda na mimea kama kitoweo chake.
  • Mamba: Alikuwa anakula samaki na mimea ya majini.
  • Ndege: Walikuwa wanakula mbegu,matunda, na miche ya mimea.
  • Samaki: Samaki walikuwa wakila mimea ya majini na samaki wadogo.
Katika Bustani ya Eden, hakuna wanyama waliokuwa wanakula nyama kwani mazingira yalikuwa ya amani na ushirikiano.
Kwamba nyasi na mimea ndio ilikuwa pale ili iweze kuliwa ? Kwamba ilishindikana kuwa na machinery isiyohitaji Nishati (Chakula) ?
 
Simba, Chui, Fisi na wanyama wengine wala nyama walikuwa wanakula nini katika bustani ya Eden?

Chatu alikuwa anameza kitoweo chake katika bustani ya Eden?

Mamba alikuwa anakula nini??

Ndege wala nyama na samaki walikuwa wanakula nini?
Kwani kwenye biblia imeandikwa nini
 
Back
Top Bottom