Teh...teh...Kungepatikana watu wa ku-push enzi za Muungwana JK, ingewezekana kabisa lakini leo hii ambapo JPM kila mtu anamuona mwizi kasoro yeye na Daud tu; sio kazi ndogo serikali hii kuwashawishi!
Ku join hapa hakikisha una Application ya mtandao wa Telegram... Ipo playstore unaweza download kama huna...
Inawezekana ukiwa na Kitambulisho cha KE tu.Mimi nahitaji isajiliwe kwa jina langu, inawezekana?
Naweka order kaka zikija nitag
Nataman nipate moja ila nahofia legality ya kutumia line ya mtandao ambao haujaorodheshwa hapa nchini na TCRA?Mzigo mpya zimebaki 17 tu. Kama unahitaji karibuni bei ile ile.View attachment 1043848
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa... Siku hofu ikiisha nazo utakuta zimeishaNataman nipate moja ila nahofia legality ya kutumia line ya mtandao ambao haujaorodheshwa hapa nchini na TCRA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ngap bosMbona kimya? Laini zimekuja?
Unataka ngap bos
Zinafanya kazi kama ukuwa Kenya au kuna ujanjaujanja mwngne unahitajika ili itumike!!!!!Habari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika TZ karibuni sana mana huwa zinakuja chache na kama zikiisha huwa zinachukua kuja tena(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group SmatSkills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni