Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni lililosajiliwa SafaricomHivi wakati wa kusajili PayPal utaingiza jina lako kamili ama lillilo sajiliwa kwenye line ya safaricom?
Vocha za safaricom utakuwa unatutumia ili line isifungwe?Inakuaga imesajiriwa kabisa full registration kule kule Kenya tena kwa National ID, Na number za ID unapewa/zmeandikwa kwenye registration form baada ya kukamilisha usajiri wake.. Swala la kutumia WhatsApp kusumbua watu hii ni mtu mwenyewe na matatizo yake au akiri zake! Sidhani kama ndio matumizi yake hayo..
Ha ha swali zuriNadhani ni lililosajiliwa Safaricom
Hata kupiga unaweza kupiga simu na kubrowse pia,hata ukitaka kujiunga na vifurushi pia ni wewe tuVocha za safaricom utakuwa unatutumia ili line isifungwe?
Zamani ilkua inawezekana kuweka vocha ya Vodacom kwenye laini ya Safaricom, but kwa asaiv wamesitisha hii huduma kwa muda... Ila salio kwasasa unanunua kupitia M-pesa ya Safaricom...Vocha za safaricom utakuwa unatutumia ili line isifungwe?
Unasajili paypal kulingana na majina ya registered simcard/m-pesa names... Yaani unatumia jina la kwanza na la ukoo....then una link na M-pesa, ni kazi ya dk 2 tu... Tayari unakua na account yako yenye uwezo wa kutuma na kupokea pesa....Hivi wakati wa kusajili PayPal utaingiza jina lako kamili ama lillilo sajiliwa kwenye line ya safaricom?
Hongereni zenuSiku hizo tuko na Mpesa Mastercard
Karibu bosHabari. Nahitaji hii line ya safaricom. Pls tuwasiliane. Niko Dodoma. 0688999006
Kwani tz kuna mawakala wa safaricom??? Swali kama lina ukakasi [emoji2957][emoji2957]Usajili wa biometric kwa hizi line utafanyika Kenya au Tz?
😂 😂 😂 😂wakijibu nitagiUsajili wa biometric kwa hizi line utafanyika Kenya au Tz?
Ushafanyika tayari toka KEUsajili wa biometric kwa hizi line utafanyika Kenya au Tz?
Mkuu, wakati wa kufungua akaunti ya Paypal au ku login kama umelink na Safaricom Mpesa ni lazima utumie VPN kuonesha upo Kenya?Ni full bata tu! Unaweza withdrawal hata $1 kutoka PayPal na ndio minimum ka umelink account yako na M-pesa, na hakunaga makato kabisa hata cent 1 withdrawal kutoka paypal to M-pesa Safaricom ndani ya masaa mawili tu unakua ushapata pesa ako.... View attachment 1106152