Upo mkoa gan I'll tuzipate ?Habari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika TZ karibuni sana mana huwa zinakuja chache na kama zikiisha huwa zinachukua kuja tena(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group SmatSkills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni
10kMoja. Shingapi?
Zinatumia roaming toka tigo,voda na halotelZinafanya kazi kama ukuwa Kenya au kuna ujanjaujanja mwngne unahitajika ili itumike!!!!!
Alietuloga kafa tayari,pale BOT kuna uhitaji mkubwa sana wa vijana kwa ajili ya mapinduzi ya kiteknolojia.watanzania tuna laana ya asili,yani tunashindwaje kuzipa leseni kampuni zetu kutumia huduma za kimataifa kama vile PayPal
Nahitaji hii line mkuu nakupataje chief niko dsm vip contact zako nakuptajeAlietuloga kafa tayari,pale BOT kuna uhitaji mkubwa sana wa vijana kwa ajili ya mapinduzi ya kiteknolojia.
Zipo mwanzo wa uzi kabisaNahitaji hii line mkuu nakupataje chief niko dsm vip contact zako nakuptaje
Huku Rombo safaricom ndio yenyewe.
Ni kweli maana utafiti umeonyesha wanaume wa dar 24% wana upungufu wa nguvu za kiume,so technically wanawake wa dar wanapata huduma za kifamilia visiwa vya comoro.Wanawake wa Rombo walianza kutumia huduma za Kenya hata za kifamilia.
1) Hizi simcard zina operate Tanzania?Line zimeisha ...sijajua lini zingine zitakuja...ila kama una shida nayo unaweza nicheki kwa wakala anapatikana Moshi na nitakupa no zake muwasiliane kwa biashara zaidi.
Kama zitakuja mpya mtapata taarifa hapa hapa kwenye thread hii asante sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabisa1) Hizi simcard zina operate Tanzania?
2) Naweza ku transfer hela kwenda Skrill?
Soma uzi vizuri utaelewaZa kazi gani?
Ikiingia kwenye site ya paypal chini kabisa utaona bendera ya Tanzania toa weka ya KenyàNaomba kuuliza swali about paypal.. Nipo Tanzania so nikifungua account paypal nieke location yangu nipo nchi gani, Kenya au TZ?
Sababu nataka kuunga paypal with Safaricom M-PESA
Ahsante mkuu.Ikiingia kwenye site ya paypal chini kabisa utaona bendera ya Tanzania toa weka ya Kenyà
Zina vocha kabisa na utaweza kununua pia kwa mpesaTunazo ila utuambie vocha na kuzifungua tunafanyaje?
So hii inaitwa SIM CARD LAUNDERING au tuitaje?Inakuaga imesajiriwa kabisa full registration kule kule Kenya tena kwa National ID, Na number za ID unapewa/zmeandikwa kwenye registration form baada ya kukamilisha usajiri wake.. Swala la kutumia WhatsApp kusumbua watu hii ni mtu mwenyewe na matatizo yake au akiri zake! Sidhani kama ndio matumizi yake hayo..
Mkuu bila m-pesa hazingekua na maana,ziko full registration, na popote inapopatikana tiGO, Halotel na Vodacom na Safaricom utaipata.mkuu hizi line za SafariCom zimesajiliwa M_pesa ya huko kbisa au vipi? Pia naomb kujua unapoiweka kwenye Simu inashika vipi network wakati huku TZ hamna minara ya safaricom? ....natanguliza shukrani