Kwa wanaoona mbali, Waziri Ndalichako ni sumu kwenye mfumo wa elimu

Kwa wanaoona mbali, Waziri Ndalichako ni sumu kwenye mfumo wa elimu

Wewe mwenyewe inaonekana bado hunauelewa, huhui kazi za waziri na nafasi ya mwanafunzi, nikuulize maswali ukijibu then nitakupa majibu:-
1. Je waziri wa Elimu ni kazi yake kutengeneza ajira?...
Naomba kujibu hoja zako mkuu

1.waziri wa elimu pekee yake HAWEZI kwa sababu sekta ya ajira ipo katika mfumo wa KISERIKALI NA BINAFSI ila waziri wa elimu ( kama top leader na mzoefu zaidi ya miaka 20) pamoja na wizara ya elimu wanaweza kutengeneza mfumo unaolinki elimu wanaoyotoa na ujuzi uliopo kulingana na hali ya uchumi na dira za maendeleo ya kuanzia miaka 25 mbele ili wataalamu wanaozalishwa waendane na soko husika mfano mdogo tu namaanisha kwamba huwezi kuwa na degree na huna uwezo wa kupata mkopo "dhamana ya mkopo ukiwa na cheti cha elimu ya juu" kwsasa sehemu yoyote nchini hii ina maanisha haina thamani.

2. Jibu ni ndio waziri wa elimu anauwezo kufanya mabadiliko ya mfumo wa elimu maana ndiye anayesimamia elimu ..huwezi kusimamia kitu usicho kijua mkuu.

4. Jibu wapo..hebu nikuulize ili mtu aweze kujiajiri inimuhitaji asome miaka mingapi ya degree? Je huwezi kusoma kwa ujuzi fulani ukajiajiri ?? Kwanini upoteze muda halafu uhakika wa mtaji?

5.HOJA namba tano nikuulize mkuu tu walipo kuwa wanasoma SUA WALITAKA KUJA KUWA KINA NAN? ndio ujue mfumo wetu wa elimu mwisho wake una COMPLEX CONCLUTION MKUU ndio maana wanauza pumba mjini😀
 
Ndalichako kakaa miaka 20,hata wakibadili mitaala itakuwa kazi bure kama hii iliyopo tu,umeshindwa kuelewa kwamba Ndalichako hajakaa miaka 20😂😂😂
Unabisha bure kaanza kuwa katibu mkuu pale wizarani
 
Tutafute hela ndugu yangu hata kwa kuchimba mawe, wanasiasa hawajawahi kuwa wakweli na kuleta ugali Mezani. Tuweke vyeti pembeni as school gave us the false trust!
Nakubaliana na wewe lakini kwanini tupoteze muda ??
 
Unabisha bure kaanza kuwa katibu mkuu pale wizarani
Alikuepo katibu mkuu wa Baraza la mitihani sio necta . Yeye alihusika na mambo ya necta tuu. Wizara ya elimu kama waziri alichaguliwa na magufuli for the first time . Kabla ya hapo alikuepo ni lecturer
 
Kwa kipindi cha miaka mitano, Ndalichako alihakikisha wanafunzi walio pata mimba hawarudi shuleni. Na kudiriki kusema wata wafundisha wengine tabia mbaya.

Leo yule yule profesa ana sema wataruhusiwa kurudi kwenye mfumo rasmi. Upuuzi mtupu.

Siasa ya Tanzania ni ya kujaza choo. Kwanini Mh. Rais hakumuondoa kwenye hiyo nafasi na hili tamko la kuwarudisha wanafunzi litamkwe na waziri mwingine?
Acha kukariri. Mipango na mitazamo hubadilika kulingana na wakati. Usiwe mbumbumbu. Wakati huo waziri alisimamia sera ya nchi ambayo imekuwa hivyo tangu tupate uhuru. Sera ya serikali imebadilika kulingana na wakati, na hivyo haina budi kwa waziri kubadilika pia. Wewe una chuki zako tu na Madam Professor na si vingineyo.
 
Wamtoe tuirudie BRN labda tutapata mabadiliko chanya😁
 
Kwa muongo mmoja uliopita umuhimu wa elimu ulikuwa na thamani sana kwa vijana maana thamani yake iliendana na mazingira yaliyokuepo na watu wengi walitamani kupata elimu ili waweze kujikomboa kiuchumi

Baadaya ya muongo mmoja kupitia, hali iliyopo sasa KWA TANZANIA SIO DUNIANI KOTE elimu sio kitu kinachoweza kumkomboa mtu kiuchumi au kumfanya aweze kuishi maisha nzuri, kwa wengi hii ni baada ya waziri husika Ndalichako na mfumo wake kutokuendana na teknolojia

Yaani namanisha kwamba mfumo wa elimu upo nyuma sana na teknolojia ya dunia inavyotaka ndio maana kuna wasomi wengi sana mtaani na hawana pa kwenda. Hali iliyopo sasa MTU MWENYE DEGREE ANAWEZA KUWA MUUZA MAHINDI YA KUCHOMA BARABARANI AU anauza nyanya tu

Sasa unajiuliza Huyu mtu kapoteza miaka zaidi ya 16 kusotea kuuza nyanya ni UPUUZI WA Hali ya juu, wakati huo kuna mtu kaishia darasa la saba (kama yupo smart) kwa miaka hiyo kumi na sita ambayo mtu anatafuta degree utakuta maisha yake amejipanga na tayari ameshakuwa na vitu muhimu kulingana na mahitaji ya binadamu.

Hapo ndipo utakaposhangaa msomi kasota miaka yote hiyo na mtaani akirudi anaonekana hana maaana na hata akitaka baadhi ya kazi alizosomea miaka yote hiyo atahitajika awe na uzoefu wa miaka kadhaa ni upuuzi mkubwa sana na bado msomi huyu akichelewa kupata ajira na kwa bahati nzuri akafanikiwa baada ya miaka kadhaa kuipata hiyo ajira utakuta anaishi na MADENI maisha yake yote ya utumishi.

Ili kuboresha mfumo wa elimu nchini Tanzania ipo haja ya Huyu Waziri Ndalichako na kundi lake kuondolewa katika sekta hii maana ni kama hawajieliwi kwa sababu wao wanaamini katika mfumo wa kutupa wasomi mtaani na bila kujua kile walichowaandalia kina manufaa gani mtaani na kufanya thamani ya elimu kushuka kwa speed kubwa sana.

Anatakiwa kiongozi katika sekta hii awe na uthubutu wa kuvunja baadhi ya mitaala isiyokuwa na TIJA na awe na uwezo wa kutatua changamoto ya thamani ya elimu na mazingira ya kiuchumi kwa msomi atakaye kuwa yupo mtaani Kwan kwa hali iliyopo sasa ni mbaya sana.

Profesa huyu ana amini katika makaratasi yasio endana na uhalisia inasikitisha sana na kutia aibu sana ELIMU YA TANZANIA NI TAKATAKA na Ndalichako hatoshi kwenye mfumo, ukweli huu lazima usemwe ili tujenge mfumo mpya kwa vizazi vijavyo.
Kuna kitu kinaitwa system thinking.
Toka dunia imeanz licha ya technolojia kubwa umaskin, maradhi na vita havijawahi kukoma ni matatizo constant.
Tatizo la elimu linaenda mbali zaidi ya wizara ya elimu inayaoongozwa na Ndalichako,
Ukifuatiliwa kwa makini hata huko amerika na ulaya mifumo yao inakosolewa sana
na wazawa sababu kubwa ya elimu kutokidhi viwango vinavyotakiwa ni pamoja
na kuamin kuwa huyu mwanadam akipatiwa elimu realy atakuwa hatabiriki kama kesho
ataamka na ajenda gani na itakuwa na madhara gani kwa watawal.
Machiavele alipo ulizwa kipi bora kiongozi aogopwe au apendwe alijibu ni bora kiongozwi aogopwe.
Imagine unakuwa mtu ambaye huna cha kuogopa(huna cha kupoteza) unakuwa hautabiriki tena
na unaweza kumchallenge mtu yeyote i.e kama watu wachache tu wakii-challenge selikari wanaandamwa vile kama polepole au gwajboy au lissu vip uwe na taifa la watu mil20 tu wa vile?
Ndio maana elimu ika shift kutoka kuwa critical and creative thinking kwenda kuwa elimu ya kutoa ujuzi(skills) tu.
NB: ikumbukwe elimu ni silaha ya kupambana na ujinga na ukiushinda ujinga umeishinda hofu kwa sababu hofu
ni matokeo ya ujinga.
 
Kuna kitu kinaitwa system thinking.
Toka dunia imeanz licha ya technolojia kubwa umaskin, maradhi na vita havijawahi kukoma.
Tatizo la elimu linaenda mbali zaidi ya wizara ya elimu inayaoongozwa na Ndalichako,
Ukifuatiliwa kwa makini hata huko amerika na ulaya mifumo yao inakosolewa sana
na wazawa sababu kubwa ya elimu kutokidhi viwango vinavyotakiwa ni pamoja
na kuamin kuwa huyu mwanadam akipatiwa elimu realy atakuwa hatabiriki kama kesho
ataamka na ajenda gani na itakuwa na madhara gani kwa watawal.
Machiavele alipo ulizwa kipi bora kiongozi agopwe au apendwe alijibu ni bora kiongozwi agopwe.
Imagine unakuwa mtu ambaye huna cha kuogopa(huna cha kupoteza) unakuwa hautabiriki tena
na unaweza kumchallenge mtu yeyote i.e kama watu wachache tu wakii-challenge selikari wanaandamwa vile kama polepole au gwajboy au lissu vip uwe na taifa la watu mil20 tu wa vile?
Ndio maana elimu ika shift kutoka kuwa critical and creative thinking kwenda kuwa elimu ya kutoa ujuzi tu.
NB: ikumbukwe elimu ni silaha ya kupambana na ujinga na ukiushinda ujinga umeishinda hofu.
Inasikitisha sana
Kwa aina hii ya mfumo ndio maana kumekuwa na siasa nyingi sana. Mungu asaidie
 
Inasikitisha sana
Kwa aina hii ya mfumo ndio maana kumekuwa na siasa nyingi sana. Mungu asaidie
Maajabu ya elimu ya saivi ni kuwa licha ya jamii kuwataka watoto wakasome shule ili wawe na maisha mazuri,
kazi nzuri (wawe na pesa).
Hakuna mahali huyu mtoto anaenda kufundishwa kuhusu pesa akiwa kindergarten mpaka anahitimu chuo kikuu,
Lakini ndio anategemea awetajiri akitoka shule ndio maana matajiri wanaendelea kuwa matajiri na masikini anaendelea kuw
masikini.
 
Maajabu ya elimu ya saivi ni kuwa licha ya jamii kuwataka watoto wakasome shule ili wawe na maisha mazuri,
kazi nzuri (wawe na pesa).
Hakuna mahali huyu mtoto anaenda kufundishwa kuhusu pesa akiwa kindergarten mpaka anahitimu chuo kikuu,
Lakini ndio anategemea awetajiri akitoka shule ndio maana matajiri wanaendelea kuwa matajiri na masikini anaendelea kuw
masikini.
Nakubaliana na wewe huwezi kuta profesa ni bilionea na ana ujuzi
Ila unaweza kuta mtu hajasoma ni bilionea mfano mzee wetu bakharesa sio profesa
LAKINI hata kama ukweli wa elimu unafichwa ipo haja ya hata hicho kidogo mtu anacho pata kama ujuzi akitumie pasiwe na watu wanao hangaika au kubadili ndoto kati kati ya safari..
 
Nakubaliana na wewe huwezi kuta profesa ni bilionea na ana ujuzi
Ila unaweza kuta mtu hajasoma ni bilionea mfano mzee wetu bakharesa sio profesa
LAKINI hata kama ukweli wa elimu unafichwa ipo haja ya hata hicho kidogo mtu anacho pata kama ujuzi akitumie pasiwe na watu wanao hangaika au kubadili ndoto kati kati ya safari..
Kiyosaki alisema "kama elimu ingekuwa inawafanya watu wawe na pesa basi waalimu wangekua ni mabilionea".
Ni kweli lakini hiyo sio rahisi kwa sababu hata hizo skills pia inatakiwa kidogo uwe kwenye system.
Mfano: mtoto wa mtu mwenye maisha mazuri anaenda kusoma shule nzuri na mara nyingi anafanya vizuri na kupata kazi nzuri(mayb urubani)
lakini ukizaliwa katika familia maskini unaenda shule ya kata na mara nyingi utaenda kusomea vitu vya kawaida na kurudi kuajiriwa
sehemu ya kawaida course hauko kwenye system.
Dunia haiko fair na hilo linatosha.
Wanaoweka vizingiti ni watu ambao wako kwenye system na wanawawekea watu ambao hawako kwenye system.
Siiajabu waziri wa elimu licha ya kutamba ufaulu unaongezeka kila uchao lakini watoto wanasomea international school
kama sio nje ya nchi.
Naamin wanajua mapungufu ya elimu wanayoisimamia lakini wanakuwa na conflict of interest kati ya tumbo na uweledi
na mara nyingi tumbo limeshinda battle hiyo.
 
Lakini hali ya zamani thamani ya elimu elikuepo maana licha ya kumtoa mtu ujinga pia watoto walikua wana coffidencce na wanajitambua na kufahamu kipi kibaya na kipi kizuri tofauti na sasa unaweza mkuta mtoto hata uwezo wa kusoma haupo vizuri na yupo darasa lingine yaani ELIMU IMEKUA BIASHARA kwa slogan za wanasiasa wanaosema ufaulu umeongezeka.
 
Ndalichako kilugha ni ndala zako. Waziri wa Elimu wa kudumu nazaliwa hadi nazeeka yeye ni waziri namaanisha Peremiho hakuna mtu mwenye uwezo kumzidi Jenista Muhagama? Huyu mama anaua sana washindani wake wa nafasi hiyo. Nipo neutral sijamzungumzia Jenista wala Ndala Zako hapo. Ccm ni ileile na makamanda ni walewale.
 
Kwa muongo mmoja uliopita umuhimu wa elimu ulikuwa na thamani sana kwa vijana maana thamani yake iliendana na mazingira yaliyokuepo na watu wengi walitamani kupata elimu ili waweze kujikomboa kiuchumi

Baadaya ya muongo mmoja kupitia, hali iliyopo sasa KWA TANZANIA SIO DUNIANI KOTE elimu sio kitu kinachoweza kumkomboa mtu kiuchumi au kumfanya aweze kuishi maisha nzuri, kwa wengi hii ni baada ya waziri husika Ndalichako na mfumo wake kutokuendana na teknolojia

Yaani namanisha kwamba mfumo wa elimu upo nyuma sana na teknolojia ya dunia inavyotaka ndio maana kuna wasomi wengi sana mtaani na hawana pa kwenda. Hali iliyopo sasa MTU MWENYE DEGREE ANAWEZA KUWA MUUZA MAHINDI YA KUCHOMA BARABARANI AU anauza nyanya tu

Sasa unajiuliza Huyu mtu kapoteza miaka zaidi ya 16 kusotea kuuza nyanya ni UPUUZI WA Hali ya juu, wakati huo kuna mtu kaishia darasa la saba (kama yupo smart) kwa miaka hiyo kumi na sita ambayo mtu anatafuta degree utakuta maisha yake amejipanga na tayari ameshakuwa na vitu muhimu kulingana na mahitaji ya binadamu.

Hapo ndipo utakaposhangaa msomi kasota miaka yote hiyo na mtaani akirudi anaonekana hana maaana na hata akitaka baadhi ya kazi alizosomea miaka yote hiyo atahitajika awe na uzoefu wa miaka kadhaa ni upuuzi mkubwa sana na bado msomi huyu akichelewa kupata ajira na kwa bahati nzuri akafanikiwa baada ya miaka kadhaa kuipata hiyo ajira utakuta anaishi na MADENI maisha yake yote ya utumishi.

Ili kuboresha mfumo wa elimu nchini Tanzania ipo haja ya Huyu Waziri Ndalichako na kundi lake kuondolewa katika sekta hii maana ni kama hawajieliwi kwa sababu wao wanaamini katika mfumo wa kutupa wasomi mtaani na bila kujua kile walichowaandalia kina manufaa gani mtaani na kufanya thamani ya elimu kushuka kwa speed kubwa sana.

Anatakiwa kiongozi katika sekta hii awe na uthubutu wa kuvunja baadhi ya mitaala isiyokuwa na TIJA na awe na uwezo wa kutatua changamoto ya thamani ya elimu na mazingira ya kiuchumi kwa msomi atakaye kuwa yupo mtaani Kwan kwa hali iliyopo sasa ni mbaya sana.

Profesa huyu ana amini katika makaratasi yasio endana na uhalisia inasikitisha sana na kutia aibu sana ELIMU YA TANZANIA NI TAKATAKA na Ndalichako hatoshi kwenye mfumo, ukweli huu lazima usemwe ili tujenge mfumo mpya kwa vizazi vijavyo.
Ungetoa mapendekezo ya pia maboresho yapi yafanyike ili kuboresha ilim yetu jombaa, lakin umeishia tu kulalama
 
Back
Top Bottom