Kwa wanaopenda kuchat usiku tukutane hapa

Kwa wanaopenda kuchat usiku tukutane hapa

wanakuwa na sababu zisizo na mashiko yaani!
kuna mmoja huko india yeye nae alikuwa akiua wasichana wazuri na sababu yake kuu ni kwamba hapendi vitu vizuri na vinavyopendeza, hata maua alikua akata kata kisa tu ni mazuri. sababu ya hayo yoote na watu wazuri waliwahi kuwafanyia mabaya!!!!!!!!
 
wanakuwa na sababu zisizo na mashiko yaani!
kuna mmoja huko india yeye nae alikuwa akiua wasichana wazuri na sababu yake kuu ni kwamba hapendi vitu vizuri na vinavyopendeza, hata maua alikua akata kata kisa tu ni mazuri. sababu ya hayo yoote na watu wazuri waliwahi kuwafanyia mabaya!!!!!!!!
Yupo huyu alikuwa anaitwa Jeffrey Dahmer. Huyu alikuwa anaua wanaume, na anakula sehemu za mwili na mabaki ya mwili anayahifadhi na anayatumia kufanya mapenzi.

Kipindi chake cha udogo alikuwa anapenda sana wanyama waliokufa. Akikuta mizoga iliyokufa pembeni ya barabara anaichukua anaipeleka nyumbani na kuipanga mahali. Anaichuna ngozi na kubadua nyama kwenye mifupa ila ibaki mifupa tuu. Kisha anaipanga sehemu basi ndio furaha yake.

Huyu alikuwa ni gay yaani anataka kujihusisha kimapenzi na wanaume. Na alianza mauaji akiwa na miaka 18.
Sasa huyu alikuwa anaua wanaume na asilimia kubwa ya wanaume aliokuwa anawaua walikuwa ni gays. Na alikuwa anaua gays kwa sababu polisi hawana time wakisikia shoga kauliwa.

Alikuwa akishaua ana-masturbate pembeni ya hiyo maiti. Akimaliza anakata sehemu za siri kisha anazika huo mwili. Baada ya siku kadhaa anaufufua kisha anabandua nyama zote inabaki mifupa. Hizo nyama anamwagia acid kisha anaflash chooni halafu mifupa anaihifadhi.

Huyu alikuja kuhukumiwa kifungo cha maisha lakini aliuliwa akiwa magereza na mfungwa mwenzake.

Sijui kama nimepatia kusimulia.
 
Kuna kipindi nilikua naifuatilia sana siku hizi nimeacha naogopa tena. Viko vipindi tofauti unaweza usiamini mtu.
Story nyingine zinaogofya yaani. Kuna huyu anaitwa Albert fish yeye alikuwa anabaka, kuua na kula nyama za watoto.
Akaandika hii barua kwa mama wa mhanga wake. Ambae alimkula nyama.
Fish.jpg
 
Yupo huyu alikuwa anaitwa Jeffrey Dahmer. Huyu alikuwa anaua wanaume, na anakula sehemu za mwili na mabaki ya mwili anayahifadhi na anayatumia kufanya mapenzi.

Kipindi chake cha udogo alikuwa anapenda sana wanyama waliokufa. Akikuta mizoga iliyokufa pembeni ya barabara anaichukua anaipeleka nyumbani na kuipanga mahali. Anaichuna ngozi na kubadua nyama kwenye mifupa ila ibaki mifupa tuu. Kisha anaipanga sehemu basi ndio furaha yake.

Huyu alikuwa ni gay yaani anataka kujihusisha kimapenzi na wanaume. Na alianza mauaji akiwa na miaka 18.
Sasa huyu alikuwa anaua wanaume na asilimia kubwa ya wanaume aliokuwa anawaua walikuwa ni gays. Na alikuwa anaua gays kwa sababu polisi hawana time wakisikia shoga kauliwa.

Alikuwa akishaua ana-masturbate pembeni ya hiyo maiti. Akimaliza anakata sehemu za siri kisha anazika huo mwili. Baada ya siku kadhaa anaufufua kisha anabandua nyama zote inabaki mifupa. Hizo nyama anamwagia acid kisha anaflash chooni halafu mifupa anaihifadhi.

Huyu alikuja kuhukumiwa kifungo cha maisha lakini aliuliwa akiwa magereza na mfungwa mwenzake.

Sijui kama nimepatia kusimulia.
daaah! mpaka inatisha yaani.
wakati mwingine unaweza kusema hana utu ndani yake au hana ubinadamu, lakni ndio hivyo alizaliwa akiwa mwana damu kamili na maziwa ya mama alinyonya.

mimi bado ninidhani kuna kitu ambacho sio cha kawaida hukutana nacho na ndicho humpelekea kufanya hivyo.

kwa upande wangu ninaweza kuhusisha na mambo ya kiroho,kwa mfano, wakati fulani kulikuwepo na mtu wa namna hio akifanya mambo kama hayo kisha akakamatwa ama akauwawa, ile roho yake haipotei bure hutafuta mtu wa kumuingia na kuendeleza hio mission. hufuata mtiriko huo mpaka atokee mwenye ufahamu wa kumaliza hio hali.

lakini pia kuna imani nyingine hufundisha ya kuwa mtu mwema ama mbaya anapomaliza maisha yake hapa duniani kwa kipindi alichopangiwa, hwa anazaliwa katika namna nyingine ya ubaya kama alitoka na ubaya ama ya wema kama alitoka kwa wema.

yote ya yote inaweza kuwa ni hadhithi ama tungu tuu lakini huwenda kuna ukweli ndani yake.
 
daaah! mpaka inatisha yaani.
wakati mwingine unaweza kusema hana utu ndani yake au hana ubinadamu, lakni ndio hivyo alizaliwa akiwa mwana damu kamili na maziwa ya mama alinyonya.

mimi bado ninidhani kuna kitu ambacho sio cha kawaida hukutana nacho na ndicho humpelekea kufanya hivyo.

kwa upande wangu ninaweza kuhusisha na mambo ya kiroho,kwa mfano, wakati fulani kulikuwepo na mtu wa namna hio akifanya mambo kama hayo kisha akakamatwa ama akauwawa, ile roho yake haipotei bure hutafuta mtu wa kumuingia na kuendeleza hio mission. hufuata mtiriko huo mpaka atokee mwenye ufahamu wa kumaliza hio hali.

lakini pia kuna imani nyingine hufundisha ya kuwa mtu mwema ama mbaya anapomaliza maisha yake hapa duniani kwa kipindi alichopangiwa, hwa anazaliwa katika namna nyingine ya ubaya kama alitoka na ubaya ama ya wema kama alitoka kwa wema.

yote ya yote inaweza kuwa ni hadhithi ama tungu tuu lakini huwenda kuna ukweli ndani yake.
Ni kweli maana kama huyu alithibitika ana matatizo ya akili. Hiyo ni sayansi ila kiroho unaweza kuta alikuwa amevaliwa na maroho.
 
Kama mtu anapenda kuwajadili au kupiga story za hawa serial killers anishtue.
Kuna riwaya moja nilisoma...Binti alikuwa muuaji na mauaji yake alikuwa anafanya kwa wanaume tu. Anaua kisha anawakata sehemu zao za siri na kuzibanika na alikuwa na sanduku lake la chuma (tranka) anazihifadhi humo.
Kisa cha kufanya mauaji yote ni kubakwa na mtu aliyekuwa akimlea na alikuwa bado ni mtoto (alizaliwa pasipo kuwajua wazazi wake). Kubakwa sana kule kukapelekea ajenge chuki kubwa sana na wanaume.
Hasira zake zikaishia kuwalaghai kimapenzi kisha anawaua na kukata viungo vyao vya siri...serikali ilimtafuta sana mpaka ikachoka ila baadaye ikaja kumpata wakati ameshaua mamia ya raia
 
Also,
Hhuyu jamaa alijulikana kama The Milwaukee cannibal.Mimi hupenda kumuita "a gay's nightmare.

Jamaa aliemuua aliitwa Christopher Scarver(anadai alimuua kwa sababu he was revolted by Dahmer's crimes)
Yupo huyu alikuwa anaitwa Jeffrey Dahmer. Huyu alikuwa anaua wanaume, na anakula sehemu za mwili na mabaki ya mwili anayahifadhi na anayatumia kufanya mapenzi.

Kipindi chake cha udogo alikuwa anapenda sana wanyama waliokufa. Akikuta mizoga iliyokufa pembeni ya barabara anaichukua anaipeleka nyumbani na kuipanga mahali. Anaichuna ngozi na kubadua nyama kwenye mifupa ila ibaki mifupa tuu. Kisha anaipanga sehemu basi ndio furaha yake.

Huyu alikuwa ni gay yaani anataka kujihusisha kimapenzi na wanaume. Na alianza mauaji akiwa na miaka 18.
Sasa huyu alikuwa anaua wanaume na asilimia kubwa ya wanaume aliokuwa anawaua walikuwa ni gays. Na alikuwa anaua gays kwa sababu polisi hawana time wakisikia shoga kauliwa.

Alikuwa akishaua ana-masturbate pembeni ya hiyo maiti. Akimaliza anakata sehemu za siri kisha anazika huo mwili. Baada ya siku kadhaa anaufufua kisha anabandua nyama zote inabaki mifupa. Hizo nyama anamwagia acid kisha anaflash chooni halafu mifupa anaihifadhi.

Huyu alikuja kuhukumiwa kifungo cha maisha lakini aliuliwa akiwa magereza na mfungwa mwenzake.

Sijui kama nimepatia kusimulia.
 
Also..
Jeffrey Dahmer akiwa mtoto, attention kutoka kwa wazazi wake ni kitu alikosa kabisa.Mzee wake alikua bize na shule(Hicho kipindi alikua anatafuta degree in chemistry) and Mama yake alikua na tatizo la kutafuta attention kwa mume wake had anamsahau mtoto(Kuna kipindi she attempted suicide ili mzee amu.notice).
Akiwa highschool jamaa alikua ni outcast pia

Huwa nahisi labda hivi vitu ndio vilivyochangia jamaa akawa monster.

daaah! mpaka inatisha yaani.
wakati mwingine unaweza kusema hana utu ndani yake au hana ubinadamu, lakni ndio hivyo alizaliwa akiwa mwana damu kamili na maziwa ya mama alinyonya.

mimi bado ninidhani kuna kitu ambacho sio cha kawaida hukutana nacho na ndicho humpelekea kufanya hivyo.

kwa upande wangu ninaweza kuhusisha na mambo ya kiroho,kwa mfano, wakati fulani kulikuwepo na mtu wa namna hio akifanya mambo kama hayo kisha akakamatwa ama akauwawa, ile roho yake haipotei bure hutafuta mtu wa kumuingia na kuendeleza hio mission. hufuata mtiriko huo mpaka atokee mwenye ufahamu wa kumaliza hio hali.

lakini pia kuna imani nyingine hufundisha ya kuwa mtu mwema ama mbaya anapomaliza maisha yake hapa duniani kwa kipindi alichopangiwa, hwa anazaliwa katika namna nyingine ya ubaya kama alitoka na ubaya ama ya wema kama alitoka kwa wema.

yote ya yote inaweza kuwa ni hadhithi ama tungu tuu lakini huwenda kuna ukweli ndani yake.
 
Naomba msaada wa jina la hiyo riwaya..


Unaweza kuta kati ya hao jamaa kuna mmoja alikua akimkubali kweli and kaishia kufa tu.
Kuna riwaya moja nilisoma...Binti alikuwa muuaji na mauaji yake alikuwa anafanya kwa wanaume tu. Anaua kisha anawakata sehemu zao za siri na kuzibanika na alikuwa na sanduku lake la chuma (tranka) anazihifadhi humo.
Kisa cha kufanya mauaji yote ni kubakwa na mtu aliyekuwa akimlea na alikuwa bado ni mtoto (alizaliwa pasipo kuwajua wazazi wake). Kubakwa sana kule kukapelekea ajenge chuki kubwa sana na wanaume.
Hasira zake zikaishia kuwalaghai kimapenzi kisha anawaua na kukata viungo vyao vya siri...serikali ilimtafuta sana mpaka ikachoka ila baadaye ikaja kumpata wakati ameshaua mamia ya raia
 
Kama mtu anapenda kuwajadili au kupiga story za hawa serial killers anishtue.
Kila nikilog in mtu wa kwanza kumfuatilia kaandika nini ni wewe.

Kuna jamaa alikuwa anaitwa Fred alikuwa na mke wake anaitwa Rose West. Huyo Rose ni wife wa jamaa wa pili.
Huyu jamaa mwanzo alikuwa na wife wake anaitwa Rene walijaliwa na watoto. Lakini huyu fred akaanza kucheat na demu mmoja hivi simkumbuki jina fresh wakazaa na mtoto. Rene mke wa kwanza wa jamaa alivojua na yeye akacheat na jamaa mwingine akahamia huko kabisa akazaa na watoto.
Baadae wakawa wanarudiana rudiana na kuachana na Fred hadi siku walivoachana kabisa demu akaondoka akaacha watoto chini ya uangalizi wa huyu baharia. Baada ya muda yule demu aliyekuwa mchepuko wa jamaa akawa mjamzito tena halafua akawa kama anamfosi jamaa amuoe. Maiti ya huyu dada ilikutwa imezikwa na baadhinya sehemu za mwili hazipo pia tumbo lililokuwa nanujauzito lilikatwa ile mimba ikatolewa.

Huyu fred alikuja kumuoa huyo rose sasa kama second wife. Wakazaa na watoto. Sasa huyu bibie akawa analea watoto wake na watoto wake wa kambo (watoto wa fred). Huyu manzi alikuwa gaidi kinoma. Alikuwa anawanyanyasa watoto na kumshawishi mume wake awaingilie watoto.
Jamaa akawa anabaka watoto wake na kuwa sodomize.

Kwa kifupi fred na demu wake walikuwa wanafanyia unyanyasaji wa kingono watoto wao na wanawake wengine, walishiriki mauaji ya watoto wao na wanawake wengine na kuwazika kwenye bustani yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom