Kwa wanaopenda kuchat usiku tukutane hapa

Kwa wanaopenda kuchat usiku tukutane hapa

M kathias huyo binti umeandia baada ya juyu Tkach kuhukumiwa kufungo cha maisha kuna binti alimpenda na kufunga ndoa na wakapata na mtoto.

Itakuwa ni kabla ya kuhukumiwa sio? Maana kama ni baada iliwezekanaje?

Nimependa sababu yake ya pili, alikuwa anaua ili awashinde wenzake. Alitaka awe kinara. Ila huyo dada kajitoa mhanga kweli, kuna serial killer mmoja nimemsahau ila kuna mdada naye alimpenda kwa sababu ya mambo yake ya kuua na wakaoana.
Walifunga ndoa jamaa akiwa jela.
Iliwezekana kwa sababu, utaratibu wa magereza uliruhusu jamaa kupata haki yake.

Actually, huyo binti alimpenda baada ya jamaa kuwa anaonyeshwa kwenye vyombo vya habari.

Akaanza kumtembelea , mwisho wa siku ikawa hivyo.

Sababu mojawapo, huyo binti aliyoitoa. Ni kutokuwa na ushindani kutoka kwa wanawake wengine. Kwa sababu wengi walimuogopa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mtu anapenda kuwajadili au kupiga story za hawa serial killers anishtue.
Kuna mjerumani mmoja jina Armin Meiwes (42yrs), yeye alikamatwa before getting to the serial[emoji1][emoji1].

He was neglected by his father akiwa mdogo. Akiwa mtoto alitamani awe na sibling ili amle nyama, akiamini akifanya hivyo watakua na ukaribu milele. At the age of 8 he fantasized about killing and eating someone hasa wanafunzi wenzake.

(Akiwa mtu mzima) Baada ya mama yake kufariki hamu ya kula nyama ya mtu iliongezeka, na ilimpelekea kaweka tangazo mtandaoni. Tangazo lilihitaji mtu mnono aliyetayari kuliwa. Cha ajabu alipata mteja mmoja aliyeitwa Bernd Brandes[emoji1][emoji1][emoji1]

Brandes alikubali willingly kuuliwa na kuliwa nyama, wote wakiamini kitendo hicho kitawaunganisha milele. Baada ya kuelewana walienda chumba cha machinjio victim alikatwa penis kwanza, ikakaangwa na wakala wote pamoja. Baada ya victim kupoteza damu nyingi alichinjwa, minofu iliwekwa kwenye jokofu na mifupa alifukiwa bustanini.

After several days jamaa aliona minofu inakaribia kuisha kwenye jokofu aliingia tena mtandaoni kutafuta mteja mwingine, this time alipata watu wa5[emoji1][emoji1]. Kwa bahati jirani yake aliita polisi baada ya kuhisi activities zisizoeleweka kwenye nyumba ya Meiwes.

Akiwa gerezani alikuwa akiwaambia askari kwamba, the victim tested of pork na aliifaidi nyama akiwa na chupa ya South African red wine. It is believed jamaa alikua na matatizo ya akili so did the victim.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna riwaya moja nilisoma...Binti alikuwa muuaji na mauaji yake alikuwa anafanya kwa wanaume tu. Anaua kisha anawakata sehemu zao za siri na kuzibanika na alikuwa na sanduku lake la chuma (tranka) anazihifadhi humo.
Kisa cha kufanya mauaji yote ni kubakwa na mtu aliyekuwa akimlea na alikuwa bado ni mtoto (alizaliwa pasipo kuwajua wazazi wake). Kubakwa sana kule kukapelekea ajenge chuki kubwa sana na wanaume.
Hasira zake zikaishia kuwalaghai kimapenzi kisha anawaua na kukata viungo vyao vya siri...serikali ilimtafuta sana mpaka ikachoka ila baadaye ikaja kumpata wakati ameshaua mamia ya raia
Alikuwa anaitwa nani kwenye hiyo riwaya Depal?
 
Also,
Hhuyu jamaa alijulikana kama The Milwaukee cannibal.Mimi hupenda kumuita "a gay's nightmare.

Jamaa aliemuua aliitwa Christopher Scarver(anadai alimuua kwa sababu he was revolted by Dahmer's crimes)
Alifanya kazi nzuri sana kumuua. Mtu kama huyu hapaswi kula ugali wa magereza.

Hivi ukipewa double life imprisonment inakuwaje?
 
Also..
Jeffrey Dahmer akiwa mtoto, attention kutoka kwa wazazi wake ni kitu alikosa kabisa.Mzee wake alikua bize na shule(Hicho kipindi alikua anatafuta degree in chemistry) and Mama yake alikua na tatizo la kutafuta attention kwa mume wake had anamsahau mtoto(Kuna kipindi she attempted suicide ili mzee amu.notice).
Akiwa highschool jamaa alikua ni outcast pia

Huwa nahisi labda hivi vitu ndio vilivyochangia jamaa akawa monster.
Hata Dahmer alikuwa amesoma chemistry eh? Hiyo degree ni ya baba yake kweli? Sio Dahmer?
 
Kila nikilog in mtu wa kwanza kumfuatilia kaandika nini ni wewe.

Kuna jamaa alikuwa anaitwa Fred alikuwa na mke wake anaitwa Rose West. Huyo Rose ni wife wa jamaa wa pili.
Huyu jamaa mwanzo alikuwa na wife wake anaitwa Rene walijaliwa na watoto. Lakini huyu fred akaanza kucheat na demu mmoja hivi simkumbuki jina fresh wakazaa na mtoto. Rene mke wa kwanza wa jamaa alivojua na yeye akacheat na jamaa mwingine akahamia huko kabisa akazaa na watoto.
Baadae wakawa wanarudiana rudiana na kuachana na Fred hadi siku walivoachana kabisa demu akaondoka akaacha watoto chini ya uangalizi wa huyu baharia. Baada ya muda yule demu aliyekuwa mchepuko wa jamaa akawa mjamzito tena halafua akawa kama anamfosi jamaa amuoe. Maiti ya huyu dada ilikutwa imezikwa na baadhinya sehemu za mwili hazipo pia tumbo lililokuwa nanujauzito lilikatwa ile mimba ikatolewa.

Huyu fred alikuja kumuoa huyo rose sasa kama second wife. Wakazaa na watoto. Sasa huyu bibie akawa analea watoto wake na watoto wake wa kambo (watoto wa fred). Huyu manzi alikuwa gaidi kinoma. Alikuwa anawanyanyasa watoto na kumshawishi mume wake awaingilie watoto.
Jamaa akawa anabaka watoto wake na kuwa sodomize.

Kwa kifupi fred na demu wake walikuwa wanafanyia unyanyasaji wa kingono watoto wao na wanawake wengine, walishiriki mauaji ya watoto wao na wanawake wengine na kuwazika kwenye bustani yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Those two were pure evil.Wote walikuwa damaged with their childhood.

Huyu mwanaume alipata ajali ya baiskeli akiwa kama sikosei 15yrs. Akapata majeraha kwenye fuvu la kichwa, akavunjika mkono, mguu na akapoteza fahamu wiki nzima. Miaka miwili baadae alibamiza kichwa akapoteza fahamu masaa 24.

Bila shaka kuna nyaya zilishachomoka kwenye ubongo wake.
Na mwanamke iliripotiwa kwamba she had sex with her father. Nadhani ndio maana hakuwa anaona hata shida kuachia watoto wake wabakwe na baba yao.

Kuna kitabu nilikisoma kinaelezea ila nimekisahau jina.
 
Walifunga ndoa jamaa akiwa jela.
Iliwezekana kwa sababu, utaratibu wa magereza uliruhusu jamaa kupata haki yake.

Actually, huyo binti alimpenda baada ya jamaa kuwa anaonyeshwa kwenye vyombo vya habari.

Akaanza kumtembelea , mwisho wa siku ikawa hivyo.

Sababu mojawapo, huyo binti aliyoitoa. Ni kutokuwa na ushindani kutoka kwa wanawake wengine. Kwa sababu wengi walimuogopa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Jeez!!! Alikuwa anatafuta umaarufu tuu.
Jitu linanuka damu za watu unaanzaje kulala nae.

Serial killers wengi wapo kwenye magereza maalumu na hawaruhusiwi kutembelewa ndio maana niliuliza.
 
Kuna mjerumani mmoja jina Armin Meiwes (42yrs), yeye alikamatwa before getting to the serial[emoji1][emoji1].

He was neglected by his father akiwa mdogo. Akiwa mtoto alitamani awe na sibling ili amle nyama, akiamini akifanya hivyo watakua na ukaribu milele. At the age of 8 he fantasized about killing and eating someone hasa wanafunzi wenzake.

(Akiwa mtu mzima) Baada ya mama yake kufariki hamu ya kula nyama ya mtu iliongezeka, na ilimpelekea kaweka tangazo mtandaoni. Tangazo lilihitaji mtu mnono aliyetayari kuliwa. Cha ajabu alipata mteja mmoja aliyeitwa Bernd Brandes[emoji1][emoji1][emoji1]

Brandes alikubali willingly kuuliwa na kuliwa nyama, wote wakiamini kitendo hicho kitawaunganisha milele. Baada ya kuelewana walienda chumba cha machinjio victim alikatwa penis kwanza, ikakaangwa na wakala wote pamoja. Baada ya victim kupoteza damu nyingi alichinjwa, minofu iliwekwa kwenye jokofu na mifupa alifukiwa bustanini.

After several days jamaa aliona minofu inakaribia kuisha kwenye jokofu aliingia tena mtandaoni kutafuta mteja mwingine, this time alipata watu wa5[emoji1][emoji1]. Kwa bahati jirani yake aliita polisi baada ya kuhisi activities zisizoeleweka kwenye nyumba ya Meiwes.

Akiwa gerezani alikuwa akiwaambia askari kwamba, the victim tested of pork na aliifaidi nyama akiwa na chupa ya South African red wine. It is believed jamaa alikua na matatizo ya akili so did the victim.




Sent using Jamii Forums mobile app
Agggggrrrrrrh.
Sasa hao wateja walikuwa wanafaidi vipi malipo yao.? Au familia zao? Au walikuwa wanalipwa kabla ya kuliwa.

Nasikia baada ya kufungwa aligeuka kuwa vegetarian.
 
Guys asanteni kwa kupiga story na mimi. Nimefurahi sana, mara nyingi nakosa watu wa kunisimulia au wa mimi kuwasimulia hivi vitu.
[emoji173][emoji173][emoji173]
 
Hata Dahmer alikuwa amesoma chemistry eh? Hiyo degree ni ya baba yake kweli? Sio Dahmer?

jamaa hakusoma chemistry kama single subject kama alivosoma mzee wake,ila alikua a medical specialist and a combat medic alipokua jeshini(Hii ni baada ya kufeli chuo kwa gpa ya 0.45/4.0 alikokua akisoma business)
 
Yupo huyu alikuwa anaitwa Jeffrey Dahmer. Huyu alikuwa anaua wanaume, na anakula sehemu za mwili na mabaki ya mwili anayahifadhi na anayatumia kufanya mapenzi.

Kipindi chake cha udogo alikuwa anapenda sana wanyama waliokufa. Akikuta mizoga iliyokufa pembeni ya barabara anaichukua anaipeleka nyumbani na kuipanga mahali. Anaichuna ngozi na kubadua nyama kwenye mifupa ila ibaki mifupa tuu. Kisha anaipanga sehemu basi ndio furaha yake.

Huyu alikuwa ni gay yaani anataka kujihusisha kimapenzi na wanaume. Na alianza mauaji akiwa na miaka 18.
Sasa huyu alikuwa anaua wanaume na asilimia kubwa ya wanaume aliokuwa anawaua walikuwa ni gays. Na alikuwa anaua gays kwa sababu polisi hawana time wakisikia shoga kauliwa.

Alikuwa akishaua ana-masturbate pembeni ya hiyo maiti. Akimaliza anakata sehemu za siri kisha anazika huo mwili. Baada ya siku kadhaa anaufufua kisha anabandua nyama zote inabaki mifupa. Hizo nyama anamwagia acid kisha anaflash chooni halafu mifupa anaihifadhi.

Huyu alikuja kuhukumiwa kifungo cha maisha lakini aliuliwa akiwa magereza na mfungwa mwenzake.

Sijui kama nimepatia kusimulia.
Mmh ya duniani haya?[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna riwaya moja nilisoma...Binti alikuwa muuaji na mauaji yake alikuwa anafanya kwa wanaume tu. Anaua kisha anawakata sehemu zao za siri na kuzibanika na alikuwa na sanduku lake la chuma (tranka) anazihifadhi humo.
Kisa cha kufanya mauaji yote ni kubakwa na mtu aliyekuwa akimlea na alikuwa bado ni mtoto (alizaliwa pasipo kuwajua wazazi wake). Kubakwa sana kule kukapelekea ajenge chuki kubwa sana na wanaume.
Hasira zake zikaishia kuwalaghai kimapenzi kisha anawaua na kukata viungo vyao vya siri...serikali ilimtafuta sana mpaka ikachoka ila baadaye ikaja kumpata wakati ameshaua mamia ya raia
mwishiowa siku akataka kuua na mwanae!!..si ndiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom