Akikujibu niambieMambo gan kwa mfano unayoyatak wew?
Tuko pamoja Nataka mtu aje kubisha hapaAliitumia fursa vizuri zamani ilikuwa Jambo Forums. Kabla ya hapo ilikuwa ni group chat yahoo na hajaianzisha yeye.
Abishe.
Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...
Muache ale mafao ya uzeeni huku vidole vyake vinaongea. Hajaguswa na vikokotoo vipyaYuko chalii, miguu juu kifo cha mende [emoji14] hawezi tena siasa. Eti uzi wa kubishana... huyu kizee kaishiwa sera jamani mweeh! Alijifanyaga msiasa na mdini sasa kawa kizee cha kijiweni kubishana bila sababu. Nani anabisha????
Juu ya mlimaAmfikishe wapi huko anakotakiwa kufika
Naomba ujue nakupenda babyEndelea kubishana ndiyo maana ya huu uzi.
Sijabisha madamChristmas ni sherehe ya dunia nzima.
Aliyekuambia unachat nani ?Alokuambia nachat nani
Oooh sawa mamushkaKajambe.
Kuna malipo baada ya maelezo ?Kila mmoja aeleze kwanini avatar yake?
Akafanyaje juu ya mlimaJuu ya mlima
Hvi wewe ni mtoto wa Baba kweli??naanza kuwa na mashaka nishabisha tayariJuu ya mlima
Nakupenda sana yna2. Kama unabisha nyoosha kidole hafu fanya kama unajikuna hiviGenta ndiye member mpole na mstaarabu jf nzima
Kalamu na Karamu ni maneno tofauti na yenye maana tofautiNakurekebisha sio karamu ni kalamu .
Eh iyo kalamu umekulaje?
hakuna kitu kama hiyo katika hii dunia,wanawake wanapenda pesa kuliko kupetiwa petiwaaWanawake hawahitaji pesa, wanahitaji mapenzi ya dhati, kubembelezwa na kusikilizwa. Basi kuna mtu atabisha hapa
Nipo iringa apa naelekea mbeya vijijin ila nimetoka daslam pale stopoverUpo wapi mkuu
Kwani wewe ni mtoto wa baba yako? Na una uhakika gani kama wewe n mtoto wa baba yako...nimeshabisha kuhusu uwepo wako hapa dunianHvi wewe ni mtoto wa Baba kweli??naanza kuwa na mashaka nishabisha tayari