Wewe unanipenda na umeshanisumbua sana hadi nika kukubalia na sasa ni wapenzi wa siri......bisha?!Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...
Wallahi nabisha Numbisa siyo member mpole kuliko Viatu vya samaki[emoji23][emoji12][emoji12]Numbisa ni member mpole kuliko wote JF.
Hanaga ugomvi na mtu.
Hivi tunaruhusiwa kubishana PM?Wanawake hawahitaji pesa, wanahitaji mapenzi ya dhati, kubembelezwa na kusikilizwa. Basi kuna mtu atabisha hapa
Nimewahi kuongea na wewe mchana wa leoAnza kuthibitisha wewe kama kweli umewahi nipigia
NitafutieHazipo
Screenshot call log yako ulete hapa kwa ushahidi kama huna madai yako ni batiliNimewahi kuongea na wewe mchana wa leo
Unahitaji kwaniNitafutie
kha! huo sasa ukinzani.Mimi napinga, kwanini umeleta huu uzi?
Ndo dhumuni la uzi.kha! huo sasa ukinzani.
Kwa kuheshimu privacy na confidentiality sitaweza kutimiza matakwa yako my waifu wangu.Screenshot call log yako ulete hapa kwa ushahidi kama huna madai yako ni batili
Wallahi nabisha Numbisa siyo member mpole kuliko Viatu vya samaki[emoji23][emoji12][emoji12]
Thibitisha
Mchumba kasemaMimi ni nani kwani?
25% ya mafao yako kwa mkupuoKikokotoo cha mafao ya serikali
Bint mpole unakuwaga mbishi [emoji16][emoji16]Nabisha sijawahi kutukana
Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...