hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaa naungana na wewewallahi Mimi nabisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa naungana na wewewallahi Mimi nabisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ubishi wa nini sasa? Mimi nnauhakika wewe siyo "Maserati".
Maserati ni aina ya gari.
Aah mie nijuavyo ipo square (skwea).....Nabisha dunia ni Duara kwa fact zifuatazo
- Kupatwa kwa mwezi na Jua
- Usiku na Mchana
- Kubadilika kwa Majira
- Ship visibility (Nimekosa kiswahili chake)
-Kutofautiana kwa masaa baadhi ya nchi na nchi.
- Mawio na Machweo
Nk.
....Hilo ni tatizo lako sio langu, mimi naamini haipo skwea.Aah mie nijuavyo ipo square (skwea).
Kilichokuchekesha nini? Au ubishi ndo umekuchekesha?
Mim nabisha mpak kesho kwan waliotoa tafsiri ni binadam kam sisi
Tunaweza tukakubariana kutoka leo kwamba simu tuiite mamba na mamba aitwe simu na maisha yakaendlea kam kawaida
Itakuwa unatania
Hahaha hahaha
Mejikuta nacheka tuu jamani
Sijacheka wala
Aaagh wapi... Hivi zinakutana au kila mmoja unakutana na mpaka na si zenyewe kukutana..??Parallel lines zinakutana mwisho ya mipaka ya skuli bisha!Watu wabishi usiseme.
Si unajua tena ubishi!mathematically zinakutana infinity.Aaagh wapi... Hivi zinakutana au kila mmoja unakutana na mpaka na si zenyewe kukutana..??
Sijabisha ujueEndelea kujibishia
Uzi huu wa ubishI, unapokana kubisha maana yake tufunge uzi..!!!. EMBU BISHA BANAAA...Sijabisha ujue
A[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee we nimekuelewHamna kitu kinachoitwa Christmas na kwenye Kiswahili hamna msamiati unaoitwa "sherehe" na Dunia haipo.
NabishaUzi huu wa ubishI, unapokana kubisha maana yake tufunge uzi..!!!. EMBU BISHA BANAAA...
ndo nimeamua kubisha kubishana kwa staha na staraTumeomba tubishane kwa staha na stara.
ndo upige nyeto sasaMi nakupinga
Nabisha hii siyo mathematics bali ni physicsSi unajua tena ubishi!mathematically zinakutana infinity.