Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Uzuri wa JF huwa tunaweka material ya kumsaidia hata ambaye ni msomaji tu anaokota cha kumsaidia.
 
Ya kawaida tuu mkuu,komaa upate pesa.
 
Eeh hivi viumbe ni msalah
 

Hata mm hilo nmeliona the way jinsi anavyojib ni km karelax hv hana presha majib yake ni marahisi sana ila ni mtazamo tu
 
mwambie mkeo atafte msichana wa kazi wa kuhudumia watoto. Wewe toka hapo nyumbani, katafte maisha huko mbele kwa mbele, chamsingi usiwasahau watoto na uweke ukaribu nao kwa mawasiliano, pia uwe unarudi kuwatembelea kila baada ya miezi miwili au mitatu na kijizawadi kidogo tuu, japo hata kagunia cha mchele.

Usiangalie mwanamke, wanawake wapo wengi tu, wee tizama wanao. Siku huko utakapokuwepo mambo yakinyooka unamchukua mkeo na wanao, iwapo atakuwa mvumilivu bila kuolewa na wanaume wengine. Kama atakuwa ashaolewa na wengine huko shauri zake, wee utachukua wanao mkale maisha.
 
Unachozingua ni kushinda nyumbani.
Mwanaume kutafuta ni kila siku hakuna kushinda nyumbani mzee
UWe Unaondoka kila siku asubuhi, nenda katafute sio kukalisha trako tu
 
Kuna mdau alichangia humu kuwa WANAWAKE WANAOLEWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA,HAWANA SABABU NYINGINE
 
AHHHH GGGRRRRRRR!!!!!!
MISYTTTPCHHHHHSSSHHH!!!!!
AAAAAAAAHHHH!!!
KUMMMMMMMMNNINAAH !!!!

weweeeh....

Kimbia broda !! Acha ulofa !!

Changanya matako ili mavi yasigande broda....

Unafanya nini apoh !!!!

IPO HIVI ...
[emoji654]KAZA PANAPO KAZIKA .( Try any legal job )
[emoji654]MWOMBE SANA MUNGU KWA MOYO WOTE CZ HAJAWAHI MUACHA MJA WAKE ATESEKE.
[emoji654]TUMIA AKILI SANA ( work hard and smart ).

I wish you all the best in your hustling.......

REMEMBER [emoji654] SIYO IQ TU , NI I WILL DO NDIYO MUHIMU.
 
Ndugu pole sana,muombe Mungu,tafuta kazi ya kufanya bila kukata tamaa,maisha yana changamoto nyingi...jukumu la kutunza familia ni letu wanaume,mwanamke anaweza lifanya kwa muda tu lakini sio wakati wote...kwa hiyo usimchukie mkeo lakini tafuta kazi ikiwezekana hata nje ya mkoa uliopo.
 
Tuna watoto na ukisema nisepe watoto watateseka, kuna kipindi nilifikiria kusepa lkn lilipokuja suala la watoto ikabidi niwe mpole. Napitia kipindi kigumu sn

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Mkuu endelea kuwa mvumilivu, muombe Mungu sio athuman , you will have a second chance like Samson ... sema tu ukishapata utasahau madhila na utaendelea kumhudumia mkeo .. ndio tulivyoumbwa wanaume ... utakuja ucheka wakati huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…