Kwa wanaume kila kitu ni ghali, si nguo, viatu wala mabegi, hatuna pa kupumulia!

Kwa wanaume kila kitu ni ghali, si nguo, viatu wala mabegi, hatuna pa kupumulia!

Wanaume tumeumbwa mateso mfano chupi zakike ni bukubuku tena zimezagaa ila boxer kwanzia buku 7 nasio common
 
Kuna jamaa kaanzisha thread ya kua alikunywa k_vant Akala na mayai mawili kasema anajamba mashuzi yananuka sana....

Naona mods wamefuta huo Uzi wa huyo jamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwanini wamefuta jaman, na alikua anatafuta tiba ya mashuzi
 
Mbona watu wengi wameona uandishi wa kishoga inamaana gani kwa mleta mada?

Alafu jitahidi sana usilalamike mavazi mwanaume kamili unalialia wakati mtafutaji ni ww. Kama unalalamikia mavazi yako ukiwa na mke ndani tutamnyandua badili tabia na kama unachembe za ushoga kaoshe matco na maji chumvi
Manina🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamani sisi wanaume tumechoka kutafuta affordable decent clothes, shoes, bags even designer clothes. It seems watu wanawaza wanawake tu wakidhani hao ndio wakuvaa nguo tu na kupendeza sisi tuwe kama vichaa tu.

Designers ndio kabisa, walishajiweka ku deal na nguo za men but exclusively women; najua wanadhani hivyo sababu wanawake wengi are obsessed na kubadili badili na pia wengi wanahudumiwa na wanaume lakini na wanaume pia need to look good na sana sana of the working class ila sasa nguo za wanaume, viatu ni bei sana, hata nguo za watoto wa kiume pia.

Many clothes shops cater to women tu hadi inakera and it can get super boring. Kama design fulani wakivaa wanaume halafu wanawake wakaiga, wanaume tukiendelea kuzivaa tu basi basi tujiandae kuambiwa tumehama upande, INACHOSHA!

We need affordable designer clothes, za daraja la kawaida pamoja viatu vya bei nafuu kwa wanaume wa kawaida.
Huu uandishi wako ni wa kipuuzi mno. Unavyochanganya lugha unaonekana Slay Queen
 
Kuna jamaa kaanzisha thread ya kua alikunywa k_vant Akala na mayai mawili kasema anajamba mashuzi yananuka sana....

Naona mods wamefuta huo Uzi wa huyo jamaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Anatakiwa awatafutie Moderator zawadi yao kwa kuwa wamemsaidia kufuta mashudu yake
 
Mi nakereka sana na hii style ulosema kuwa nguo za kiume wanawake wanavaa afu mwanaume ukivaa unaambiwa wewe ni shoga inaboa na kukera sana.

Hizi nguo mwanaume ukivaa unaambiwa choko wakati ni za kiume.
 

Attachments

  • IMG-20230706-WA0019.jpg
    IMG-20230706-WA0019.jpg
    91.6 KB · Views: 9
  • IMG-20230705-WA0144.jpg
    IMG-20230705-WA0144.jpg
    85.2 KB · Views: 9
  • IMG-20230704-WA0005.jpg
    IMG-20230704-WA0005.jpg
    151.6 KB · Views: 8
  • IMG-20230705-WA0004.jpg
    IMG-20230705-WA0004.jpg
    79.8 KB · Views: 7
  • IMG-20230703-WA0006.jpg
    IMG-20230703-WA0006.jpg
    163.8 KB · Views: 7
  • IMG-20230705-WA0072.jpg
    IMG-20230705-WA0072.jpg
    216.5 KB · Views: 7
  • IMG-20230812-WA0020.jpg
    IMG-20230812-WA0020.jpg
    146 KB · Views: 7
Wanaume tumeumbwa mateso mfano chupi zakike ni bukubuku tena zimezagaa ila boxer kwanzia buku 7 nasio common
😅😅😅 nimeuliza boxer zile white za CK nimeambiwa kuanzia tatu ni elfu thelasini 30,000 Tzs
 
Unapoint Ila shida ni uandishi tu sema ni ukweli nguo za kiume ni gharama kise.nge

Jeans material yale yale quality ile ile Ila Bei ya nguo ya Jeans ya kiume sio sawa na Bei ya Jeans ya kike

Bei ya Suti ya kike sio sawa na Bei ya Suti ya kiume

Viatu vya kike ni very cheap compared na viatu vya kiume

Suruali za kiume hata kushona kwa fundi Bei ni tofauti Mwanamke Bei chini Mwanaume Bei juu kitambaa ni kile kile
we ndo umeeleweka Boys tukienda dukani kununua kiatu bei inaho tajwa utaona heri ukakodi shamba utasikia iyo laki na nusu😂
 
Mi nakereka sana na hii style ulosema kuwa nguo za kiume wanawake wanavaa afu mwanaume ukivaa unaambiwa wewe ni shoga inaboa na kukera sana.

Hizi nguo mwanaume ukivaa unaambiwa choko wakati ni za kiume.
Acha tu even dreads are no longer seen as manly Km zaman wanawake washavamia
 
kwa uandishi huu sio ajabu hata unataka haki sawa kwenye mavazi[emoji35][emoji35][emoji35].

kiingereza kingi sana.

Makasiriko mengine ya kike,Binafsi sioni shida kwa mtoa uzi hapo juu.Kama umeelewa imeisha hiyo kama hujaelewa omba msaada mbona rahisi sana mzee
 
Back
Top Bottom