Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Mwanaune analainisha ngozi ili iweje? Kwa faida ya nani/?

Tena mwanamme ndiyo anatakiwa ailinde ngozi kwa kuwa inapata misukosuko mingi majiani huko.

Hujawaona wanaume wanafanya scrubbing, masking, massage, unafikiri kwanini?

Nani anaetaka jijadume lenye ngozi kama ya kenge? Watu wanataka mwanamme mtanashati, anaependeza, mwenye mvuto.

Wewe unaonesha hata kunyoa hunyoi! Unanchekesha!
 
Anyway, tupo tofauti. Kwa kazi zangu, ngozi aliyonipa Muumba inatosha sana.
 
Mwanaune analainisha ngozi ili iweje? Kwa faida ya nani/?

Unaweza utumia kama shaving cream na husaidia mambo mengi tu:


  • Heals and regenerates skin tissue
  • Draws out toxins
  • Treats acne (prevents breakouts and helps clear up acne)
  • Unclogs and shrinks pores
  • Prevents blackheads
  • Reduces appearance of scars
  • Excellent natural exfoliator
  • Evens out skin tone
  • Leaves skin feeling softer
  • Leaves your face glowing!
 
Nimeupenda jinsi ya kuupata sasa

Kwa sasa upo Sinza kwa Remy pale Loliondo uliza Mwajuma wa Loya, atakupatia. Kariakoo unapatikana Saloon ya Bi Saira mtaa wa Nyamwezi na Twiga.

Lakini tunajitahidi kupata mawakala kila sehemu, na ikiwa utalipia gharama za usafiri tutakuletea popote ulipo.

Piga simu 0769302206
 
Unaweza utumia kama shaving cream na husaidia mambo mengi tu:


  • Heals and regenerates skin tissue
  • Draws out toxins
  • Treats acne (prevents breakouts and helps clear up acne)
  • Unclogs and shrinks pores
  • Prevents blackheads
  • Reduces appearance of scars
  • Excellent natural exfoliator
  • Evens out skin tone
  • Leaves skin feeling softer
  • Leaves your face glowing!

Tumia lugha ya taifa hili tukufu
 
Sawa, kwa iyo mmewalenga Wateja wenye ngozi ngumu ka ya mamba?

Hii Zainab's Natural Super Clay inatumika kwa mambo mengi tu, haya baadhi ya matumizi:


  • Heals and regenerates skin tissue
  • Draws out toxins
  • Treats acne (prevents breakouts and helps clear up acne)
  • Unclogs and shrinks pores
  • Prevents blackheads
  • Reduces appearance of scars
  • Excellent natural exfoliator
  • Evens out skin tone
  • Leaves skin feeling softer
  • Leaves your face glowing!
 
Kwa sasa upo Sinza kwa Remy pale Loliondo uliza Mwajuma wa Loya, atakupatia. Kariakoo uanapatikana Saloon ya Bi Saira mtaa wa Nyamwezi na Twiga.

Lakini tunajitahidi kupata mawakala kila sehemu, na ikiwa utalipia gharama za usafiri tutakuletea popote ulipo.

Piga simu 0769302206

ok,,, ntampa mtu maelekezo aende huko kariakoo
 
Tumia lugha ya taifa hili tukufu

Nitafanya hivyo, tazama na posti moja, nimeelezea baadhi ya matumizi yake kwa lugha ya taifa.

Hii ni mali asli ya Kitanzana inabidi tujivunie, nimefurahi kwa ushauri wako.

Asante sana.
 
ok,,, ntampa mtu maelekezo aende huko kariakoo

Asante sana. Pole kwa usumbufu tanategemea hivi karibuni utapatikana sehemu nyingi za Tanzania. Tupo katika kujadiliana na mawaakala na tukaribisha mtu yeyote atakae uwakala ndani ya Tanzania kuwasiliana nasi.
 
Tunatafuta sales person wa kuuza Zainab's natural Super Clay.

Ukitaka kujuwa
Zainab's natural Super Clay ni nini, pitia hapa: Kwa Wanaume na Wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Sales Person atakuwa kajiajiri, mjasiriamali. Tutampa bidhaa kwa bei ya jumla, yeye atauza kwa bei ya reja reja na faida ni yake.


Kwa wale ambao hawatakuwa na kianzio, tutawapa mtaji.

Picha mbili, barua ya Serikali ya mtaa na wadhamini wawili kwa watakaohitaji mtaji.

Hatuajiri kwa mshahara tunahitaji vijana wanaoweza kujituma na kujianzishia ajira yao wenyewe.

Awe na uwezo wa kujifunza
Zainab's natural Super Clay inavyotumika na kuweza kufanya majaribio kwa vitendo.

Piga 0756803528, 0769302206, whatsup 0689771331
au tuma email: zainabtamimtz@gmail.com au tuma pm hapa hapa JF.

Unaweza kutuuliza chochote hapa hapa. Karibuni.

Tunawatakia mafanikio mema.

Asante.
 
Samahani kama hutajali naomba picha niuone ulivyo ili hata siku nikitaka kuununua niwe najua nisije uziwa tofauti
 
Kwa wale waliotushauri kuweka picha, samahani sana kwa kuchelewa na tunaanza na hii:

DSC_0432.JPG

Zainab's natural Super Clay tunaiuza ikiwa kwenye mikebe ya plastic (clear plastic packs) ya duara, ina mifuniko ambayo ni rahisi kufunguwa na kufunga tena (easy to open and re seal packaging).

cc. Enny, Percival
 
Kwa wale waliotushauri kuweka picha, samahani sana kwa kuchelewa na tunaanza na hii:


Natural Super Clay tunaiuza ikiwa kwenye mikebe ya plastic (clear plastic packs) ya duara, ina mifuniko ambayo ni rahisi kufunguwa na kufunga tena (east to open and re seal packaging).

cc. Enny, Percival

Dada Zainab, ahsante sana, nimetumia product yako, ni nzuri sana. Na elewa kuwa umepata mteja wa kudumu.

Mikebe yako unayofungia ni mizuri sana, ungetuwekea na hivyo vijiko kama kwenye picha ingekuwa raha sana.

Ma sha Allah. Umeweza mama. Keep it up.
 
Back
Top Bottom