Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeba Rawana[emoji777]️Nikushauri tu uwe unapitia ule uzi wa kula tunda kimasihara wala usingepata taabu ya kujua kinachofuata hapo
Hapo hakijaharibika kitu ndiyo kwanza mchezo unakuwa mtamu.Haya wanaume mkuje!
Imagine kuna mrembo unamfukuzia unampenda Sana, ukapata bahati ya Kuongea naye.
Mrembo abakujibu vizuri alafu baadae anakuoga anakwambia, "Haya asante Kaka Kwaheri"
Hapo mwamba unafanyaje?
Feelings skuhizi hamuangalii??Mbona kawaida hiyo na hamna cha ajabu, watu wanaitwa mjomba, baba mdogo na bado mrembo atazagamuliwa tu.
Wanawake hawana majina maalum ya kuwaita wanaume wanapokutana nao, sisi wanaume utaskia anamwuita mwanamke dada, mrembo au mama kulingana na umri wake.
Lakini wanawake huwaita vijana wa kiume "kaka" hata kama mwanamke ana umri mkubwa atakuita tu we kaka..
Kaka ni cheo tu.
Daddie NI mpenzi jibaba langu🏃🏃🏃haina shida, mbona tunaitwa mpaka 'daddie'😂
UweePenye udhia penyeza rupia
Shule ganRudi shule
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuUnamuacha si lazima akupende na ww.
Moja ya sifa ya mwanaume ni kukubaliana na matokeo, si wote watakupenda
Utakuwa umekremuhata kaka,
Mmmhkakubali tayari huyo.. meeting inayofata nabeba kipimio cha ngoma.. naenda mgonga
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuNi jukumu lako kumbadilisha mtazamo, ndio maana ya kutongoza.
ndio ivyoMmmh
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuBahati nzuri kwa hili mimi huwa nawachana live kuwa sina undugu nao, yaani nikikutana na binti mrembo akinivutia huwa namwambia live kuwa hayumo kwenye orodha ya ndugu zangu wala sina undugu nae ili nitimize azma yangu kwake.....hata wale wanaoniamkia huwa nawaambia live kuwa wanataka kuninyima nini......😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️
We unaonajeWewe ni ke au me?
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuaite vyovyote vile akishajenga ukaribu kuna siku tu ataelewa maelekezo
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuundio ivyo
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuHakuna shida.
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuhahaha
sikucheki mshamba