Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuKaka tu? Mm hd kusalimiwa nilikuwa nasalimiwa na nikamkamata vzr tu..
Sasa baada ya kuwa nae nikamuuluza kwa nn alikuwa ananisalimia akaniambia ilikuwa ni moja ya defence mechanism yake