Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuKaka tu? Mm hd kusalimiwa nilikuwa nasalimiwa na nikamkamata vzr tu..
Sasa baada ya kuwa nae nikamuuluza kwa nn alikuwa ananisalimia akaniambia ilikuwa ni moja ya defence mechanism yake
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuNikushauri tu uwe unapitia ule uzi wa kula tunda kimasihara wala usingepata taabu ya kujua kinachofuata hapo
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuBora kuitwa kaka kuliko kuwekwa friend-zone.
Ukiitwa kaka ni rahisi sana kumpata mwanamke kimasihara masihara kuliko akuite rafiki yake.
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuIv mpka kuitwa dadie unatakiwa uwe na kiasi gani cha pesa?
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuHuo mda wa kufukuzia manzi wazee mnaupata wapi .....mmi nikitaka manzi na mwita tuna piga vyombo engine ikisha kolea tuna book chumba tunaenda poozana nampa chake ......... kila mtu anachukua hamsini zake .....
Yesu au?!Mbona mpenzi wangu namwita baba😁😁😁
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuunami namwita dada mpenzi,
zingatia neno "mpenzi"
Yesu ni baba?Yesu au?!
Wewe mwenye KAZI ya kufanya unatafuta nini hapa labda?? Si ukazalishe.?Hivi kwanini unapenda kuleta mada za kitoto, huna kazi ya kufanya?
Kuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuuMbeba Rawana[emoji777]️
Mbeba Lawama [emoji736]️
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
sio kweli, kuzaliwa mwanaume ni raha sana.. mambo ni mapambano ukilegea ujue hujawa mwanaumeKuzaliwa mwanaume, we ujue, Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuu
TouwaaaHapo hakijaharibika kitu ndiyo kwanza mchezo unakuwa mtamu.
Sijui nitoe shuhuda?😂
Japokuwa akiitwa kaka a lesser man would have fled, but not me
Nawaona nawaonasio kweli, kuzaliwa mwanaume ni raha sana.. mambo ni mapambano ukilegea ujue hujawa mwanaume
NdioYesu ni baba?
Na baba Yako ni nani?Ndio
Sasa wewe uzi WA wanaume umekujaje?!Na baba Yako ni nani?
Kuzaliwa mwanaume we ujue Kila kitu kwako kitakuwa NI tabuuuUnamwita dada.
Uje huku basi Naulizwa Eti dyu dyu ikiingia inauma kwenye tendo la ndoa?!Na baba Yako ni nani?