Kwa wanaume Tu....I fainally Got....

Kwa wanaume Tu....I fainally Got....

Atheeee ile kopi ulonitumia nafika page ya 100 tu mawani chali. Naenda kuchonga ingine pale kwa tabibu wa macho. Senk yuu saaaaaaa!
 
Kama hakuna masharti kwamba ni lazima nisome chote na pia kama inaruhusiwa ku-scan basi nitumie nakala moja (hard copy)!!
 
Kama hakuna masharti kwamba ni lazima nisome chote na pia kama inaruhusiwa ku-scan basi nitumie nakala moja (hard copy)!!

Kaka kitabu hicho wahitaji pick up kukibeba!


attachment.php
 

Attachments

  • Pick UP.jpg
    Pick UP.jpg
    73 KB · Views: 73
Kaka kitabu hicho wahitaji pick up kukibeba!

Sawa tu mkuu...Nikishindwa mimi kukisoma basi wanangu wataanza nacho nursery school.

Nambie tu nikakibebe....Labda bibi anaweza kupata bahati ya kuishi na DC baada ya kuongoka!! Hata hivyo nitakichoma moto kama kitakuwa na mwelekeo wa kuniharibu..I am sure Bibi ananiita Good Boy (sijui ndo wale Lizzy anawaita wapole....asiowataka???)!
 
Sawa tu mkuu...Nikishindwa mimi kukisoma basi wanangu wataanza nacho nursery school.

Nambie tu nikakibebe....Labda bibi anaweza kupata bahati ya kuishi na DC baada ya kuongoka!! Hata hivyo nitakichoma moto kama kitakuwa na mwelekeo wa kuniharibu..I am sure Bibi ananiita Good Boy (sijui ndo wale Lizzy anawaita wapole....asiowataka???)!

Hahahh babu..SORRY I MEAN Mzee DC upole kwa bibi ni muhimu!Vijana ndo tunahitaji kupelekeshana now and then....ila we na bibi mnahitaji utulivu!Hata mkigombana inakua kama mnabembelezana!!
 
Rev, I am not sure if this book will be helpful because as we (MEN) know, there are known knowns; there are things we know we know. We also know there are known unknowns; that is to say we know there are some things we do not know. But there are also unknown unknowns -- the ones we don't know we don't know....


Hahahahahah Have a great day 🙂

KUTOKA NDANI YA MOYO YANGU,
NATAMANI KAMA HAYO MANENO UNGEYAANDIKA KWA KISWAHILI,
KWA 7BU NAAMINI NINGEYAELEWA VIZURI ZAIDI , ZAID YA NIVYOYAELEWA SASA HIVI.
Nakuomba mkuu sana kama inawezekana...NATANGULIZA SHUKURANI ZANGU KAMA
UTATEKELEZA OMBI LANGU.....ASANTE SANA.
 
Lemme sleep now . . . .

Tuombe kabla ya kulala . . .

Ee Mungu, mwenye nguvu zote, Wayaamuru mambo yote;
Mapambazuko asubuhi, Na jua kali adhuhuri.

Uzime moto wa ugomvi, Tamaa mbaya ziondoe;
Amani tupe mioyoni, Na afya miilini mwetu

Tuangazie nuru yako, Tusije tukaona giza;
Twakushukuru kwa siku ya leo umetulinda mpaka jioni hii
Utume malaika zako watulinde usiku wa leo dhidi ya shetani na kazi zake

Ee Baba, hayo tuombayo

Kwa Mwana wako tujalie ; Amen

 
Hahaha, you made my day brother! hivi kweli wanawake tuko diffiicult kiasi hicho cha kusoma hilo tabu? Wanaume wote wa humu ndani ukitaka kuelewana na mwenza wako basi someni biblia yote kuanzia mwanzo mpaka ufunuo utaona miujiza mingi ikitokea kwenye maisha yako, Mungu atakubariki kwa kila unachofanya.

May God bless you all JF men. AMEN
 
I am proud of him jamani.... na anataka nimuite hivyo... Haya ni Sweet Kaizer, Umeridhika Rev? usije ahirisha kunipa kitabu....

orait...CPU and co....leave this gal of mine alone...

She is my everithing u know.... and I will do everyting for her

sasa uombe asije akataka kichwa chako kama binti Herode....:A S 103:


On a serious note hili lijitabu hata ukilimaliza naona itakuwa bado tu....
 
no way.. this is a comprehensive package for all women, including Lady Gaga's type... i personally think Rev has done a good job sharing this electronically
MTM ni mimi hunielewi au Original Gaga?
 
orait...CPU and co....leave this gal of mine alone...

She is my everithing u know.... and I will do everyting for her

sasa uombe asije akataka kichwa chako kama binti Herode....:A S 103:


On a serious note hili lijitabu hata ukilimaliza naona itakuwa bado tu....



Sweet sweet sweet K... LOVE you so so so......Mwaaaaah.... Achana na CPU....
 
Tatizo ukikimaliza kukisoma utaambiwa wamesha evolve kuwa something else na kuwaelewa utapewa vol 2 ambayo ni mara 2 kwa ukubwa...sorry wacha nisiwaelewe tu.
 
Tatizo ukikimaliza kukisoma utaambiwa wamesha evolve kuwa something else na kuwaelewa utapewa vol 2 ambayo ni mara 2 kwa ukubwa...sorry wacha nisiwaelewe tu.
hahahahahaha kwa kweli sie ni vinyonga
 
Hii labda ni 10th Edition....! hahahaha.... Walahi nitakufa sijaweza kumfahamu, maana sitomaliza katika maisha yangu yote....! Well, maana yaonesha ni jinsi gani ilivyo kazi kumfahamu mwanamke....!
 
Back
Top Bottom