Kwa wanaume tu! Makosa haya 10 ya uvaaji yatakushushia "CV" yako, Yaepuke!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Moja ya kupata kazi mzuri inaanzia na mwonekano wako. Huwezi amini unaweza kuwa hujasoma mwonekano wako ukakupa dili mzuri sanaaa, sasa Mzee endelea kupingana na kila kizuri madhara yako utatembea na vyeti mkononi Lakini unaoishana na dili za mjini. Mi sina elimu mzee ila naamini mwonekano wangu ndio umenipa kazi mzuri sanaaa na mshahara mzuri tu
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kuvaa soksi iliotoboka kwenye kisigino,ambapo wakati wa kutembea tundu linapanda kwa juu nyuma ya kisigino.
 
Suala la soksi acha Libaki option..
Pia si kila mtu anayekula MCHOMEKO anatokelezea kiivo, ni issue ya "Comfortability"., Km mtu hayuko comfortable na mchomeko Bsi atinge kwa Namna ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…